Nimewasikiliza wabunge wa CHADEMA waliohojiwa na PCCB, yawezekana Lijualikali ni mwongo wa "Kutupwa"

Nilisha sema huyu mbwana mdogo anaenda pigwa anguko kubwa kisiasa ,
Mkuu wangu .Faifa linakosa watu hasa vijana wanao shindwa kusimamia ukweli,why ?kuama Chama sio tatizo ila simamia ukweli ,sasa hasubili kama hatapotea kisiasa
 
Unafikiri wakati ukifika TAKUKURU hawatampeleka Mbowe mahakamani? Hapa mtuhumiwa ni Mwenyekiti na siyo chadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko anaenda kuwavua nguo bora waishie kwenye uchunguzi wapige kimya! Kitu kiko kwenye katiba ambayo hata msajili wa vyama alishaiidhinisha! Juzi nikalisikia lile taahira la Kongwa eti linamwambia waziri afuate hela ya kodi kwa CHADEMA, ama kweli viwavi jeshi vinaathiri hadi ubongo!
 
Hapana kuna tuhuma ni nyingi. Moja ni mwenyekiti kulazimisha kulipwa deni hewa zaidi ya bil 6 kwa miaka mitano.
Pili kuna fedha ambazo wabunge walikatwa kwa ajili ya uchaguzi.Na ziliwekwa kwenye fixed. Uchaguzi umekaribia hazijulikani zimepotea vipi.
Mosi dawa ya deni ni kulipa kama Mbowe anadai ni haki yake kulipwa.

Pili, mbunge akishakatwa ile fedha ni ya chama na kinaweza kutumia kwa kadri kinavyoona inafaa.

Wafanyakazi wanakatwa Nssf lakini matumizi ya kujenga daraja ka kigamboni yalifanywa na Bodi ya Nssf, huo ni mfano tu!
 
Mfano wa Nssf na pesa ya chama kwa akaunti maalumu ya uchaguzi haviendani
Pili deni lenyewe chama kilikopeshwa kwa mdomo kimabavu. Hii ni kwa mujibu wa Waitara. Ni deni hewa tu alilojitengenezea mwenyekiti. Hapa kuna mtu laziima aibike japokuwa alifanya maigizo.
 
Upuuzi mtupu!

TAKUKURU hawana weledi kwenye masuala ya fedha kumzidi CAG. Kunapokuwa na tuhuma za matumizi mabaya ya fedha, ofisi ya CAG ndiyo chombo sahihi cha kuchunguza.

Matumizi mabaya ya fedha hayachunguzwi na TAKUKURU. TAKUKURU ni chombo cha kuchunguza rushwa. Kwa hiyo fedha iliyokuwa inachangwa na wabunge wa CHADEMA ilikuwa inatumika kutoa rushwa kwa nani?

TAKUKURU wangekuwa na akili, weledi na uadilifu wa kazi yao, walistahili kuichunguza CCM kuhusu tuhuma za kununua na kuwahonga wabunge wa vyama vya upinzani ili waunge mkono juhudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbo
Mkuu mbona mnashindwa kujibu hoja ,hivi mfano ukichangia harusi kamati si ndo huwa wanaona sehem yenye mapungufu na kulekebisha ,sasa mtu eti anahoji makato ya Chama Leo kisa kahama Chama
na wakati alijua makato yapo kikatiba ,mliohama japo ni haki yenu kikatiba but jifunze kutoka kwa RWAKATARE.Mbeleko hipo siku ukatika ipo siku mtajuta
 
Kama ingekuwa ni account maalumu ya wabunge basi hiyo michango angekabidhiwa David Silinde na siyo Dr Mashinji

Mkataba unaweza kuingiwa kwa njia ya mdomo au maandishi haitajiki mwanasheria kulijua hili!
 
Kama ingekuwa ni account maalumu ya wabunge basi hiyo michango angekabidhiwa David Silinde na siyo Dr Mashinji

Mkataba unaweza kuingiwa kwa njia ya mdomo au maandishi haitajiki mwanasheria kulijua hili!
Kulikuwa hakuna mkataba,bali aliibua deni hewa baada ya uchaguzi.Kuwa aliuza maghorofa yake kwa ajili ya chama.
Hiyo ni account maalumu ya chama kwa ajili ya uchaguzi. Ndio maana ikawa fixed. Chama ni mali ya umma sio ya wabunge,kumbuka.
 
Kulikuwa hakuna mkataba,bali aliibua deni hewa baada ya uchaguzi.Kuwa aliuza maghorofa yake kwa ajili ya chama.
Hiyo ni account maalumu ya chama kwa ajili ya uchaguzi. Ndio maana ikawa fixed. Chama ni mali ya umma sio ya wabunge,kumbuka.
Na ruzuku ndio mali ya umma siyo michango.

Hili hata Wakili Msando analielewa vizuri!
 
Wabunge wa Chadema ni wajumbe wa kamati kuu hivyo kama kuna matumizi mabaya ni wao waliruhusu.

Lakini CAG alishatoa hati safi......hakuna kesi hapo!
CAG aliyepita aliwahi kutoa hati safi katika ubarozi wa tz lakini wakarudi aikaonekana kuna matumizi mabaya huko wakamuita barozi na kumua ubarozi
 
Weka wazi wewe unamuamini nani?? Lijuakali na kundi lake akiwemo Spika unafiki wao uko wazi malengo yao yako wazi. Walilenga kumchafua na kumdhalilisha Mh Mbowe na siyo eti wana uchungu na fedha za Chadema.

Katiba ya chama iko wazi sera za chama ziko wazi. Kwanini wanaolalamika iwe sasa?? Kama siyo Chadema asingejulikana leo.

Na wote wanaobeza Chadema wajiulize kama siyo uimara na umakini wa Chadema Mh Makufuli angepitishwa na ccm kuwa mgombea wake 2015?? Waaoshindwa kulitambua hilo basi hawana tofauti na Lijuakali.
 
Hapa tunamzungumzia CPA Charles Kichere siyo yule mwalimu!

Na ndio maana lijualikali alisema CAG hawezi kujua katiba ya chadema, hivyo Takukuru wao wanaenda kuona miongozo kama ilifuatwa, pia wabunge wengi na baadhi ya wajumbe wa hizo kamati wanasema hakuna vikao vilivyopitisha hiyo pesa na ndo maana wakiuliza wanaitwa wasaliti, kwa hiyo tusubiri majibu ya Takukuru mengine hapa tutajadili uongo
 
Nimekuelewa bwashee!
 
Mwenyekiti alijikopesha kwani hiyo michango anakusanya yeye?

Lijualikali apambane na CC ya Chadema!
Ningekuwa na nafasi ya kushauri ndani ya ccm ningependekeza wakupe hata Ukatibu mkuu au uenezi maana unauwezo mkubwa kuliko Dr Bashiru au Polepole. Halafu baadae unampata mwenyekiti kama Membe hivi hakika mngefika mbali na kuheshimika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…