Mkuu umemsoma mtoa mada vizuri?Mabadiliko ya fedha ndicho lijuakali alikuwa analamikia msihamishe magoli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umemsoma mtoa mada vizuri?Mabadiliko ya fedha ndicho lijuakali alikuwa analamikia msihamishe magoli
CAG asipojua katiba za vyama atavikaguaje?!Na ndio maana lijualikali alisema CAG hawezi kujua katiba ya chadema, hivyo Takukuru wao wanaenda kuona miongozo kama ilifuatwa, pia wabunge wengi na baadhi ya wajumbe wa hizo kamati wanasema hakuna vikao vilivyopitisha hiyo pesa na ndo maana wakiuliza wanaitwa wasaliti, kwa hiyo tusubiri majibu ya Takukuru mengine hapa tutajadili uongo
Kwani wewe unadhani magari ya Vodacom na Tigo ni ya kwao?!Yaani unataka kusema zile Ford ranger za M4C ni mali ya Mbowe? Ofisi ya kinondoni ni mali ya Mbowe?
Mbona supika alikuwa analalamika haowezekani mtu mmoja anakatakata mishahara wabunge tuMmebadilisha tena ninyi watu hatari sana kwa afya ya taifa
Chama cha siasa kinachokata kodi wanachama wake/wabunge wake kwa lazima.Nimwwasikiliza wabunge wote wa Chadema waliohojiwa na vyombo vya habari baada ya kutoka kwenye mahojiano na maofisa wa Takukuru.
Kwanza nilimsikiliza Lijualikali aliyedai wabunge wa Chadema wamepanga njama za kuidanganya Takukuru.
Nikakaa mkao wa kuwasikiliza wabunge wengine ili nibaini hizo njama.
Nilichogundua baada ya kuwasikiliza ni kweli wabunge wamekiri kukatwa fedha zao kwa ajili ya ujenzi wa chama na hiyo ni kwa mujibu wa katiba ya Chadema
Pili, makato hayo hukatwa na ofisi ya bunge chini ya Baraka za mh Spika na kuwasilishwa kwa Katibu mkuu wa Chadema.
Tatu, matumizi ya chama husimamiwa na Katibu mkuu na fedha za chama hutunzwa na mhasibu mkuu wakati matumizi ya chama huamuliwa na kupitishwa na kamati kuu ya chama.
Suzan Lyimo kwa mfano alishangaa wao kuulizwa maswali yaliyopaswa kuelekezwa kwa mhasibu kwani wao kama wabunge katiba inawataka kuchangia ujenzi wa chama siyo kupanga matumizi.
Suzan Kiwanga amedai makato yao hubsrikiwa na mh Spika.
Naye mbunge Pareso anasema kanuni ya makato huelezwa kuanzia day one unapojaza fomu ya maombi ya ubunge hivyo ni uamuzi wako kama hutaki usigombee.
Katika mazingira haya ni wazi makato ya wabunge wa Chadema yako kikatiba na matumizi yake huidhinishwa na kamati kuu ya chama.
Labda ndio maana CAG aliwapa hati inayoridhisha
Nimalizie kwa kusema fedha yoyote ya taasisi huweza kubadilishiwa matumizi na hiyo siyo dhambi ndio maana hata fedha za bajeti zikifika serikalini zinaweza kubafilishiwa matumizi kwa nia njema tu ya kuleta maendeleo kwa haraka.
Nawatakia Dominica yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Angekuwa kwenye ignore list yako ungeweza kuona hii post?Kwa hii post yako naanza kukufikiria kukutoa kwenye ignore list yangu
Nitajie wanakokata kodi kwa hiyari!Chama cha siasa kinachokata kodi wanachama wake/wabunge wake kwa lazima.
Nahisi umegenkeuka maana unajibu kama umelewa chakarii.Kwani wewe unadhani magari ya Vodacom na Tigo ni ya kwao?!
Leo ulipata somo gani kanisani.Nimwwasikiliza wabunge wote wa Chadema waliohojiwa na vyombo vya habari baada ya kutoka kwenye mahojiano na maofisa wa Takukuru.
Kwanza nilimsikiliza Lijualikali aliyedai wabunge wa Chadema wamepanga njama za kuidanganya Takukuru.
Nikakaa mkao wa kuwasikiliza wabunge wengine ili nibaini hizo njama.
Nilichogundua baada ya kuwasikiliza ni kweli wabunge wamekiri kukatwa fedha zao kwa ajili ya ujenzi wa chama na hiyo ni kwa mujibu wa katiba ya Chadema
Pili, makato hayo hukatwa na ofisi ya bunge chini ya Baraka za mh Spika na kuwasilishwa kwa Katibu mkuu wa Chadema.
Tatu, matumizi ya chama husimamiwa na Katibu mkuu na fedha za chama hutunzwa na mhasibu mkuu wakati matumizi ya chama huamuliwa na kupitishwa na kamati kuu ya chama.
Suzan Lyimo kwa mfano alishangaa wao kuulizwa maswali yaliyopaswa kuelekezwa kwa mhasibu kwani wao kama wabunge katiba inawataka kuchangia ujenzi wa chama siyo kupanga matumizi.
Suzan Kiwanga amedai makato yao hubsrikiwa na mh Spika.
Naye mbunge Pareso anasema kanuni ya makato huelezwa kuanzia day one unapojaza fomu ya maombi ya ubunge hivyo ni uamuzi wako kama hutaki usigombee.
Katika mazingira haya ni wazi makato ya wabunge wa Chadema yako kikatiba na matumizi yake huidhinishwa na kamati kuu ya chama.
Labda ndio maana CAG aliwapa hati inayoridhisha
Nimalizie kwa kusema fedha yoyote ya taasisi huweza kubadilishiwa matumizi na hiyo siyo dhambi ndio maana hata fedha za bajeti zikifika serikalini zinaweza kubafilishiwa matumizi kwa nia njema tu ya kuleta maendeleo kwa haraka.
Nawatakia Dominica yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... Narudia tena wewe unadhani yale magari ya Vodacom ni mali yao?!Nahisi umegenkeuka maana unajibu kama umelewa chakarii.
Muktadha wa hoja yangu unazungumzia kwenye chama wabunge kulazimishwa kukichangia chama kwa lazima wakati huo yale makato hayaonekani yanafanya nn, wakati nikiwa mwanachama wa Mawakili Tanganyika Zamani nikiwa Tanzania, mimi na wenzangu tulikuja na hoja ya kuchangishwa elfu50 kila wakati wa kulipa ada za TLS kwa ajili ya wakili house, ambapo hyo hela iliyokuwa inachangwa ikawa haionekani.Nitajie wanakokata kodi kwa hiyari!
Jibu swali kwanza. Ford ranger za M4C na magari yanayoingizwa kwa jina la Chadema ni mali ya Mbowe?Hahahaaaa...... Narudia tena wewe unadhani yale magari ya Vodacom ni mali yao?!
Hahahaaaa....... Lijualikali anataka kujipatia umaarugu wa bure wakati amekiri kabisa yeye na Lowassa waliiba kura uchaguzi mkuu 2015.Leo ulipata somo gani kanisani.
Naona upo na utulivu, na unajibu kwa upole na point sana.[emoji2]
Barozi ndio nini? MATAGA mna kaziCAG aliyepita aliwahi kutoa hati safi katika ubarozi wa tz lakini wakarudi aikaonekana kuna matumizi mabaya huko wakamuita barozi na kumua ubarozi
Bwashee, huu mchango wa wabunge wa Chadema uko kwenye katiba yao.Muktadha wa hoja yangu unazungumzia kwenye chama wabunge kulazimishwa kukichangia chama kwa lazima wakati huo yale makato hayaonekani yanafanya nn, wakati nikiwa mwanachama wa Mawakili Tanganyika Zamani nikiwa Tanzania, mimi na wenzangu tulikuja na hoja ya kuchangishwa elfu50 kila wakati wa kulipa ada za TLS kwa ajili ya wakili house, ambapo hyo hela iliyokuwa inachangwa ikawa haionekani.
Kwa kweli kama alikua na nia ya kuhama CHADEMA angehama tu kistaarabu ama kimya kimya. Sidhani kwa mapovu aliyotoa hata huko alikopokelewa watamuaminiHahahaaaa....... Lijualikali anataka kujipatia umaarugu wa bure wakati amekiri kabisa yeye na Lowassa waliiba kura uchaguzi mkuu 2015.
Watu wa aina hii ni hatari sana kwenye chama " kinachoongoza" nchi bwashee!
Barozi ndio nini? MATAGA mna kazi
Hivi hata umesoma ulichoandika.Muktadha wa hoja yangu unazungumzia kwenye chama wabunge kulazimishwa kukichangia chama kwa lazima wakati huo yale makato hayaonekani yanafanya nn, wakati nikiwa mwanachama wa Mawakili Tanganyika Zamani nikiwa Tanzania, mimi na wenzangu tulikuja na hoja ya kuchangishwa elfu50 kila wakati wa kulipa ada za TLS kwa ajili ya wakili house, ambapo hyo hela iliyokuwa inachangwa ikawa haionekani.
Ubaya au uzuri siko huko nyie pambaneni na masiah wenuHivi hata umesoma ulichoandika.
Hayaonekani yanafanya nini? Wewe ni mwanachama wa chadema ?
Si wengeende tu TLPau UDP