Nimewasikiliza wabunge wa CHADEMA waliohojiwa na PCCB, yawezekana Lijualikali ni mwongo wa "Kutupwa"

Nimewasikiliza wabunge wa CHADEMA waliohojiwa na PCCB, yawezekana Lijualikali ni mwongo wa "Kutupwa"

Tatizo sio kuchangia,tatizo je hizo pesa zimetumikaje?
Chadema wanatabia ya kukopeshana pesa za michango na ruzuku
Mbowe ana desturi ya kujilipa madeni feki
Takukuru wameshahakikishiwa pesa imechangwa,kinachofuata ni kufuatilia zimeingia kwenye akaunti halali za chama?je zimekwenda kweli kujenga chama?
Hapo tutatafutana na kufungua ma thread kwamba tunaandamwa kisiasa
Ujenzi wa chama una maana pana.

Polepole anaweza kunielewa zaidi!
 
Milion 50 za kila kijiji zilizoahidiwa na maccm zilitolewa kwa hayo matumizi?
Ndege je, manunuzi yake hayakutokana na mabadiliko ya matumizi ya fedha?
Nyie watu hivi akili zenu zipo sawa kweli?.. inawezekana mna kasoro kwenye ubongo!!
Ahadi inaweza kupatikana au isipatikane! Je, hiyo michango ilikuwa hewa?
 
Hii ni kama Richmond na Mbowe ni yule naniliu ....siyo Lowassa.

Huwezi kumfikia kwa mkono wa sheria!
Lakini Richmond wakati inatengenezwa Pccb haikua kama hii ya leo. Na hii fixed account mpaka zinanyofolewa Mbowe na Joyce Mukya hawakujua!
Antony Komu na Mashinji ni key witnesses,Mbowe anahusika. Ishu ya Richmond ni ya kimanunuzi zaidi,tofauti na kuhamisha mzigo toka fixed account.
 
Nimwwasikiliza wabunge wote wa Chadema waliohojiwa na vyombo vya habari baada ya kutoka kwenye mahojiano na maofisa wa Takukuru.

Kwanza nilimsikiliza Lijualikali aliyedai wabunge wa Chadema wamepanga njama za kuidanganya Takukuru.
Nikakaa mkao wa kuwasikiliza wabunge wengine ili nibaini hizo njama.

Nilichogundua baada ya kuwasikiliza ni kweli wabunge wamekiri kukatwa fedha zao kwa ajili ya ujenzi wa chama na hiyo ni kwa mujibu wa katiba ya Chadema

Pili, makato hayo hukatwa na ofisi ya bunge chini ya Baraka za mh Spika na kuwasilishwa kwa Katibu mkuu wa Chadema.

Tatu, matumizi ya chama husimamiwa na Katibu mkuu na fedha za chama hutunzwa na mhasibu mkuu wakati matumizi ya chama huamuliwa na kupitishwa na kamati kuu ya chama.
Suzan Lyimo kwa mfano alishangaa wao kuulizwa maswali yaliyopaswa kuelekezwa kwa mhasibu kwani wao kama wabunge katiba inawataka kuchangia ujenzi wa chama siyo kupanga matumizi.
Suzan Kiwanga amedai makato yao hubsrikiwa na mh Spika.

Naye mbunge Pareso anasema kanuni ya makato huelezwa kuanzia day one unapojaza fomu ya maombi ya ubunge hivyo ni uamuzi wako kama hutaki usigombee.

Katika mazingira haya ni wazi makato ya wabunge wa Chadema yako kikatiba na matumizi yake huidhinishwa na kamati kuu ya chama.
Labda ndio maana CAG aliwapa hati inayoridhisha

Nimalizie kwa kusema fedha yoyote ya taasisi huweza kubadilishiwa matumizi na hiyo siyo dhambi ndio maana hata fedha za bajeti zikifika serikalini zinaweza kubafilishiwa matumizi kwa nia njema tu ya kuleta maendeleo kwa haraka.

Nawatakia Dominica yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!

Wabunge wote waliohojiwa hawajajibu hoja ya matumizi mabaya ya fedha za chama.

Tatizo siyo makato, tatizo ni matumizi.
 
Lakini Richmond wakati inatengenezwa Pccb haikua kama hii ya leo. Na hii fixed account mpaka zinanyofolewa Mbowe na Joyce Mukya hawakujua!
Antony Komu na Mashinji ni key witnesses,Mbowe anahusika. Ishu ya Richmond ni ya kimanunuzi zaidi,tofauti na kuhamisha mzigo toka fixed account.
Hii ya reallocation mbona ya kawaida kabisa.

Huyu Lijualikali akijua siri za CCM anaweza kuwauzia hata mabeberu!
 
Nimwwasikiliza wabunge wote wa Chadema waliohojiwa na vyombo vya habari baada ya kutoka kwenye mahojiano na maofisa wa Takukuru.

Kwanza nilimsikiliza Lijualikali aliyedai wabunge wa Chadema wamepanga njama za kuidanganya Takukuru.
Nikakaa mkao wa kuwasikiliza wabunge wengine ili nibaini hizo njama.

Nilichogundua baada ya kuwasikiliza ni kweli wabunge wamekiri kukatwa fedha zao kwa ajili ya ujenzi wa chama na hiyo ni kwa mujibu wa katiba ya Chadema

Pili, makato hayo hukatwa na ofisi ya bunge chini ya Baraka za mh Spika na kuwasilishwa kwa Katibu mkuu wa Chadema.

Tatu, matumizi ya chama husimamiwa na Katibu mkuu na fedha za chama hutunzwa na mhasibu mkuu wakati matumizi ya chama huamuliwa na kupitishwa na kamati kuu ya chama.
Suzan Lyimo kwa mfano alishangaa wao kuulizwa maswali yaliyopaswa kuelekezwa kwa mhasibu kwani wao kama wabunge katiba inawataka kuchangia ujenzi wa chama siyo kupanga matumizi.
Suzan Kiwanga amedai makato yao hubsrikiwa na mh Spika.

Naye mbunge Pareso anasema kanuni ya makato huelezwa kuanzia day one unapojaza fomu ya maombi ya ubunge hivyo ni uamuzi wako kama hutaki usigombee.

Katika mazingira haya ni wazi makato ya wabunge wa Chadema yako kikatiba na matumizi yake huidhinishwa na kamati kuu ya chama.
Labda ndio maana CAG aliwapa hati inayoridhisha

Nimalizie kwa kusema fedha yoyote ya taasisi huweza kubadilishiwa matumizi na hiyo siyo dhambi ndio maana hata fedha za bajeti zikifika serikalini zinaweza kubafilishiwa matumizi kwa nia njema tu ya kuleta maendeleo kwa haraka.

Nawatakia Dominica yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!

Sidhani hayo mawazo yako na jinsi ulivyowasikia utegemee watasema waliyohojiwa na mwaswali waliyojibu wakwambie,
Swala la msingi ninkwamna pesa zinatoka kwa kutumia kanuni au sio hivyo?
Wenye majibu ya maana ni watu wa kamatibya pesa,
Hawa waunge wao maelezo yao ni kwamba walichanga au hawakuchanga basi, je wanjua chochote kuhusu hizo pesa sana ndo maswali kwao.
 
Wabunge wote waliohojiwa hawajajibu hoja ya matumizi mabaya ya fedha za chama.

Tatizo siyo makato, tatizo ni matumizi.
Watajuaje matumizi ya pesa? Matumizi anayajua Katibu mkuu na mhasibu mkuu. Wao wana changa tuu.. Naona kama TAKUKURU ina wasumbua hawa wabunge na kuwapotezea muda.. Kama CAG hakuona matumizi mabaya ya hizo Pesa TAKUKURU wana kwenda kuziona kwa kuhoji watu au kufanya ukaguzi? Je TAKUKURU itakwenda kurekebisha katiba ya CHADEMA?
 
Wabunge wote waliohojiwa hawajajibu hoja ya matumizi mabaya ya fedha za chama.

Tatizo siyo makato, tatizo ni matumizi.
Matumizi hayana tatizo lolote kwa mujibu wa CAG!

Takukuru wanachunguza kama wabunge walikatwa fedha isivyo halali......hilo la matumizi ya fedha wabobezi wako ofisi ya CPA Charles Kichere!
 
Sidhani hayo mawazo yako na jinsi ulivyowasikia utegemee watasema waliyohojiwa na mwaswali waliyojibu wakwambie,
Swala la msingi ninkwamna pesa zinatoka kwa kutumia kanuni au sio hivyo?
Wenye majibu ya maana ni watu wa kamatibya pesa,
Hawa waunge wao maelezo yao ni kwamba walichanga au hawakuchanga basi, je wanjua chochote kuhusu hizo pesa sana ndo maswali kwao.
Wabunge wa Chadema ni wajumbe wa kamati kuu hivyo kama kuna matumizi mabaya ni wao waliruhusu.

Lakini CAG alishatoa hati safi......hakuna kesi hapo!
 
Matumizi hayana tatizo lolote kwa mujibu wa CAG!

Takukuru wanachunguza kama wabunge walikatwa fedha isivyo halali......hilo la matumizi ya fedha wabobezi wako ofisi ya CPA Charles Kichere!
Hapana kuna tuhuma ni nyingi. Moja ni mwenyekiti kulazimisha kulipwa deni hewa zaidi ya bil 6 kwa miaka mitano.
Pili kuna fedha ambazo wabunge walikatwa kwa ajili ya uchaguzi.Na ziliwekwa kwenye fixed. Uchaguzi umekaribia hazijulikani zimepotea vipi.
 
Juakali hakulalamika juu ya makato ya fedha kwani hilo swala lipo ndani ya katiba bali alicholalamika ni kubadirishwa matumizi ya hayo makato ikiwemo mwenyekiti kujikopesha na mpaka sasa chama hakina fedha ni vyema tusiwe na haraka kwani zote ni tuhuma tusubiri takukuru wamalize uchunguzi mbivu na mbichi zitajulikana
Nadhani Lijuakili ana tatizo la akili kwa kiwango fulani. Huwezi kumtuhumu mtu kujikopesha fedha wakati yeye siyo mhasibu, na siye anayeidhinisha matumizi yake.

Angekuwa na akili, japo kidogo sana, angemtuhumu Katibu Mkuu, Mhasibu na Kamati Kuu.

Lijuakali is a low brain with no wisdom.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi thread hii ni ya John Mbatizaji kweli? Mimi siamini imekuwaje ameuona ukweli huo?
Yohana Mbatizaji wakati tunasoma nayealikuwaga genius sasa sijui ukirudi ccm utopolo akili unaacha wapi hata sijui! Sijui unakakabidhi ka Polepole wewe unabaki kutembea na kopo tupu?
 
Nimwwasikiliza wabunge wote wa Chadema waliohojiwa na vyombo vya habari baada ya kutoka kwenye mahojiano na maofisa wa Takukuru.

Kwanza nilimsikiliza Lijualikali aliyedai wabunge wa Chadema wamepanga njama za kuidanganya Takukuru.
Nikakaa mkao wa kuwasikiliza wabunge wengine ili nibaini hizo njama.

Nilichogundua baada ya kuwasikiliza ni kweli wabunge wamekiri kukatwa fedha zao kwa ajili ya ujenzi wa chama na hiyo ni kwa mujibu wa katiba ya Chadema

Pili, makato hayo hukatwa na ofisi ya bunge chini ya Baraka za mh Spika na kuwasilishwa kwa Katibu mkuu wa Chadema.

Tatu, matumizi ya chama husimamiwa na Katibu mkuu na fedha za chama hutunzwa na mhasibu mkuu wakati matumizi ya chama huamuliwa na kupitishwa na kamati kuu ya chama.
Suzan Lyimo kwa mfano alishangaa wao kuulizwa maswali yaliyopaswa kuelekezwa kwa mhasibu kwani wao kama wabunge katiba inawataka kuchangia ujenzi wa chama siyo kupanga matumizi.
Suzan Kiwanga amedai makato yao hubsrikiwa na mh Spika.

Naye mbunge Pareso anasema kanuni ya makato huelezwa kuanzia day one unapojaza fomu ya maombi ya ubunge hivyo ni uamuzi wako kama hutaki usigombee.

Katika mazingira haya ni wazi makato ya wabunge wa Chadema yako kikatiba na matumizi yake huidhinishwa na kamati kuu ya chama.
Labda ndio maana CAG aliwapa hati inayoridhisha

Nimalizie kwa kusema fedha yoyote ya taasisi huweza kubadilishiwa matumizi na hiyo siyo dhambi ndio maana hata fedha za bajeti zikifika serikalini zinaweza kubafilishiwa matumizi kwa nia njema tu ya kuleta maendeleo kwa haraka.

Nawatakia Dominica yenye baraka

Maendeleo hayana vyama!
Pentekoste njema kwako pia.
PCCB imekuwa tawi la UVCCM na kufuata maelekezo ya MUSIBA na LIJULIKALI, imepoteza credibility
 
Back
Top Bottom