Nimewaza ni namna gani Mindset yangu imenisababishia umasikini sioni kabisa! Majibu ya umasikini yanaangukia poor Government

Nimewaza ni namna gani Mindset yangu imenisababishia umasikini sioni kabisa! Majibu ya umasikini yanaangukia poor Government

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Wakuu mi nakataa kusema umasikini nilio nao umesababishwa na mindset yangu.

Naona Tu ni poor government imesababisha

Mfano:
Nimesoma hadi chuo ajira serikalini hamna, zikitoka chache za kujuana (poor government)

Nimefungua biashara, biashara ngumu bado TRA wananikadiria kadirio la juu Tax, Leseni, Taka, mlinzi, mara mwenye pango Nachorudi nacho home ni 10% Wanaotoa rushwa wanakadiriwa kidogo (poor government)

Niliajiriwa na kampuni binafsi mshahara ulikua mdogo tu nimekatwa nssf 3years sasa sina kazi nataka hela yangu Hawatak kunipa!! Hata ufanyaje hupewi hata kama unataka kwenda kusoma. Plus ndo nilitaka nipatemo kamtaji (poor government).

Ebu niambie namna gan umasikini hausababishwi na poor goverment wakat nategemea mazingira wezeshi
 
Akili yako hiyo hiyo haiwezi kukupa majibu tofauti, uliza watu wengine na uwatake wakwambie ukweli.
 
Nssf Wanataka rushwa ndugu yangu ukienda mikono mitupu Kama hela yako inasoma million nakuendelea upati Ila laki 6 au 3 chapu tu.
 
Anaetaka utajiri basi kukinai kunamtosha.

Alisema Mwl. Nyerere hutapata utajiri mpaka uwe mnyonyaji, na uchague mambo mawili uwe bepari ama kabaila.

Sasa ukitaka utajiri utaupataje katika nchi ambayo inajenga ujamaa.
 
Anaetaka utajiri basi kukinai kunamtosha.

Alisema Mwl. Nyerere hutapata utajiri mpaka uwe mnyonyaji, na uchague mambo mawili uwe bepari ama kabaila.

Sasa ukitaka utajiri utaupataje katika nchi ambayo inajenga ujamaa.
Nchi hiii
 
wanasema ukiwa auna hela uwezi KUVIMBA, labda ung'atwe na nyukii...
Usikate tamaa mkuu, endelea kupambana utatoboa tu。
 
Back
Top Bottom