Nimewaza ni namna gani Mindset yangu imenisababishia umasikini sioni kabisa! Majibu ya umasikini yanaangukia poor Government

Nimewaza ni namna gani Mindset yangu imenisababishia umasikini sioni kabisa! Majibu ya umasikini yanaangukia poor Government

Bro nakuelewa sana ila kama anayosema mange yana ukweli tunapaswa kutawaliwa milele aisee
 
Pole sana, ila endelea kupambana na kuwaza zaidi unaweza ukawa mfugaji ukapasua hicho cheti
Kuna watu wanaanza na Belo moja la mtumba na baada ya miaka 5 anashusha container 10 zake
Ni bahati au kapata channel nzuri?
Huwezi kuwa unawaza hayo makodi ila kuna kazi zinadharauliwa hata na TRA lakini zinaingiza hela nzuri tu
 
Wakuu mi nakataa kusema umasikini nilio nao umesababishwa na mindset yangu.

Naona Tu ni poor government imesababisha

Mfano:
Nimesoma hadi chuo ajira serikalini hamna, zikitoka chache za kujuana (poor government)

Nimefungua biashara, biashara ngumu bado TRA wananikadiria kadirio la juu Tax, Leseni, Taka, mlinzi, mara mwenye pango Nachorudi nacho home ni 10% Wanaotoa rushwa wanakadiriwa kidogo (poor government)

Niliajiriwa na kampuni binafsi mshahara ulikua mdogo tu nimekatwa nssf 3years sasa sina kazi nataka hela yangu Hawatak kunipa!! Hata ufanyaje hupewi hata kama unataka kwenda kusoma. Plus ndo nilitaka nipatemo kamtaji (poor government).

Ebu niambie namna gan umasikini hausababishwi na poor goverment wakat nategemea mazingira wezeshi
Ni poor government au governance?
 
Wakuu mi nakataa kusema umasikini nilio nao umesababishwa na mindset yangu.

Naona Tu ni poor government imesababisha

Mfano:
Nimesoma hadi chuo ajira serikalini hamna, zikitoka chache za kujuana (poor government)

Nimefungua biashara, biashara ngumu bado TRA wananikadiria kadirio la juu Tax, Leseni, Taka, mlinzi, mara mwenye pango Nachorudi nacho home ni 10% Wanaotoa rushwa wanakadiriwa kidogo (poor government)

Niliajiriwa na kampuni binafsi mshahara ulikua mdogo tu nimekatwa nssf 3years sasa sina kazi nataka hela yangu Hawatak kunipa!! Hata ufanyaje hupewi hata kama unataka kwenda kusoma. Plus ndo nilitaka nipatemo kamtaji (poor government).

Ebu niambie namna gan umasikini hausababishwi na poor goverment wakat nategemea mazingira wezeshi
subiri mkopo uliofatwa na wasanii
 
Back
Top Bottom