Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
naona leo bado wamelalaNgoja wajuzi waje
navo wasubiri sasaWatakuja wazee wa Ukwasi.
riba ni % kwa mwezi 12% kwa mwakaMkatab upoje , tupe details ya makubaliano ya uwwekezaji huo
nilisoma soma mkuu lakini kimahesabu mbona haiendi hiviFriedrich Nietzsche mkuu naona kama kipindi unajiunga na hii mifuko haukusoma vizuri na kuelewa inavyotenda kazi pia inaonekana unataka mafanikio ya haraka haraka kweli ndan ya wiki moja unaanza kuhaha😀😀😀 maana yake kila muda unachungulia? Kwa hyo mil 3 yako kwa hesabu ya haraka haraka mwisho wa mwezi utapata kati ya sh 18-21 elf kuwekeza sio jambo jepesi mzee kuwa mvumilivu na inaonekana ulijazwa upepo haukusoma na kuelewa utt ni nini na mifuko yake inafanyaje kazi.
Kama umelipwa 360 ni % moja ya hyo pesariba ni % kwa mwezi 12% kwa mwaka
😳Liquid fund itakuwa ipo na riba chache sana maana ukisema liquid maana yake wame invest kwenye investment instruments za mda mfupi ambazo zina riba ndogo
hata maana ya liquid sikua najua😂
Kitu kingine ni kwamba UTT ni kama fund management company ambalo linakuwa na normal operations expenses, maana yake ni kwamba returns ambazo unapata zinakuwa tayari zimepigwa panga kiaina. Ndo mana ni vizuri sana kama ungewekeza hizo pesa direct kwa kununua T-Bills au Fixed deposits za mda mfupi.
namm naonaDogo uliempa simu akuwekee pesa amekuchapa hajaweka 3M ameweka laki 3 amebaki na 2.6+M mfukoni nenda kamdai chap kabla hajaitumbua yote
% moja n 1000 sasa iyo sijui n asilimia 0.25Kama umelipwa 360 ni % ya hyo pesa
T bills ndo nn??Liquid fund itakuwa ipo na riba chache sana maana ukisema liquid maana yake wame invest kwenye investment instruments za mda mfupi ambazo zina riba ndogo
Kitu kingine ni kwamba UTT ni kama fund management company ambalo linakuwa na normal operations expenses, maana yake ni kwamba returns ambazo unapata zinakuwa tayari zimepigwa panga kiaina. Ndo mana ni vizuri sana kama ungewekeza hizo pesa direct kwa kununua T-Bills au Fixed deposits za mda mfupi.
fixed deposite zina hela shida ni hapo kwene tax ndo inaua kila kituLiquid fund itakuwa ipo na riba chache sana maana ukisema liquid maana yake wame invest kwenye investment instruments za mda mfupi ambazo zina riba ndogo
Kitu kingine ni kwamba UTT ni kama fund management company ambalo linakuwa na normal operations expenses, maana yake ni kwamba returns ambazo unapata zinakuwa tayari zimepigwa panga kiaina. Ndo mana ni vizuri sana kama ungewekeza hizo pesa direct kwa kununua T-Bills au Fixed deposits za mda mfupi.