Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Kuna Jamaa Aliweka Cash UTT Hata Masaa 48~78 Hajafika Kwa Siku 3 Za Kazi Ili Vipande Vinunuliwe Yeye Akaenda Kutoa Pesa YakeFriedrich Nietzsche mkuu naona kama kipindi unajiunga na hii mifuko haukusoma vizuri na kuelewa inavyotenda kazi pia inaonekana unataka mafanikio ya haraka haraka kweli ndan ya wiki moja unaanza kuhaha😀😀😀 maana yake kila muda unachungulia? Kwa hyo mil 3 yako kwa hesabu ya haraka haraka mwisho wa mwezi utapata kati ya sh 18-21 elf kuwekeza sio jambo jepesi mzee kuwa mvumilivu na inaonekana ulijazwa upepo haukusoma na kuelewa utt ni nini na mifuko yake inafanyaje kazi.
Anasema Nina Shida, Hapo Changamoto