Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #61
jumla unaisomaje utasema ni milion 3 au utasema ni milion 4.Mbona kwenye picha inaonekana 100,360
Hiyo laki n ya kwangu faida yao n hiyo 360 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jumla unaisomaje utasema ni milion 3 au utasema ni milion 4.Mbona kwenye picha inaonekana 100,360
Hii ni laki au milioni?Utakua umeongezewa bonus bando la wiki 360
Laki 360Hii ni laki au milioni?
Mi nataka flexibility ya kutoa muda wowote.Iko hivi ukiwekeza kwenye mfuko wa UTT Liquid funds kikawaida huu mfuko hutoa Ongezeko la asilimia 7-10 kwa mwaka, Makadirio tuweke 8% .
Kwa uwekezaji wako wa 3,000,000/= Nikikupigia hesabu kwa mwaka kwa Interest rate ya 8% kwa mwaka inakuja 3240,000/= 👇
View attachment 3159720
Sasa nikikupigia hesabu ya Mwezi utakua na 3,20,000/=
View attachment 3159723
Kwa maana hiyo kwa wiki ilitakiwa isome 3,05,000/=
Kwanza nikuulize, kwenye muda wa kuwekeza umeweka malengo ya Miezi mingapi au Miaka mingapi?
yaan we mkata gogo n bure kabisaLaki 360
hii calculator yako naipata wapiIko hivi ukiwekeza kwenye mfuko wa UTT Liquid funds kikawaida huu mfuko hutoa Ongezeko la asilimia 7-10 kwa mwaka, Makadirio tuweke 8% .
Kwa uwekezaji wako wa 3,000,000/= Nikikupigia hesabu kwa mwaka kwa Interest rate ya 8% kwa mwaka inakuja 3240,000/= 👇
View attachment 3159720
Sasa nikikupigia hesabu ya Mwezi utakua na 3,20,000/=
View attachment 3159723
Kwa maana hiyo kwa wiki ilitakiwa isome 3,05,000/=
Kwanza nikuulize, kwenye muda wa kuwekeza umeweka malengo ya Miezi mingapi au Miaka mingapi?
Bure nini tena?yaan we mkata gogo n bure kabisa
Kwenye maelezo yako ulisema umewekeza 3M kumbe ki uhalisia umewekeza 3.1M. Mkuu kiuwekezaji hii ina tofauti.Nimeongelea milioni sijaongelea laki
hiyo laki ni sehemu ya mtaji wangu
lakini mkuu hapa projection ya Return naona umeweka kidogo sana.Iko hivi ukiwekeza kwenye mfuko wa UTT Liquid funds kikawaida huu mfuko hutoa Ongezeko la asilimia 7-10 kwa mwaka, Makadirio tuweke 8% .
Kwa uwekezaji wako wa 3,000,000/= Nikikupigia hesabu kwa mwaka kwa Interest rate ya 8% kwa mwaka inakuja 3240,000/= 👇
View attachment 3159720
Sasa nikikupigia hesabu ya Mwezi utakua na 3,20,000/=
View attachment 3159723
Kwa maana hiyo kwa wiki ilitakiwa isome 3,05,000/=
Kwanza nikuulize, kwenye muda wa kuwekeza umeweka malengo ya Miezi mingapi au Miaka mingapi?
wanadai mwaka 2022 ilikua 14%Iko hivi ukiwekeza kwenye mfuko wa UTT Liquid funds kikawaida huu mfuko hutoa Ongezeko la asilimia 7-10 kwa mwaka, Makadirio tuweke 8% .
Kwa uwekezaji wako wa 3,000,000/= Nikikupigia hesabu kwa mwaka kwa Interest rate ya 8% kwa mwaka inakuja 3240,000/= 👇
View attachment 3159720
Sasa nikikupigia hesabu ya Mwezi utakua na 3,20,000/=
View attachment 3159723
Kwa maana hiyo kwa wiki ilitakiwa isome 3,05,000/=
Kwanza nikuulize, kwenye muda wa kuwekeza umeweka malengo ya Miezi mingapi au Miaka mingapi?
Hii calculator kibokoSasa nikikupigia hesabu ya Mwezi utakua na 3,20,000/=
Natambua hilo , kwenye hesabu za uwekezaji hua tunapigia kile kiwango cha makadirio ambacho huwa hakishuki zaidi ya hapo, kama kikizidi bhasi Tunasema "Buuum"..lakini mkuu hapa projection ya Return naona umeweka kidogo sana.
platform yao inasema kwa mwaka jana wamefunga na 13%
Ina vary miaka na miaka, mwezi kwa mwezi, wiki kwa wiki, siku kwa siku. Hapo wanaongelea wastani wa riba ambayo wamekuwa wakitoa kama gawio. Kwa mfano kipindi cha corona faida ilishuka.lakini mkuu hapa projection ya Return naona umeweka kidogo sana.
platform yao inasema kwa mwaka jana wamefunga na 13%
duuhIna vary miaka na miaka, mwezi kwa mwezi, wiki kwa wiki, siku kwa siku. Hapo wanaongelea kiwangu cha juu ambacho wamesha wahi kutoa gawio. Kwa mfano kipindi cha corona faida ilishuka.
asante kwa hii commentNatambua hilo , kwenye hesabu za uwekezaji hua tunapigia kile kiwango cha makadirio ambacho huwa hakishuki zaidi ya hapo, kama kikizidi bhasi Tunasema "Buuum"..
Expection ziwe ndogo kuliko reality, hii itakusaidia kutokutoa fedha kirahisi kadiri hisa zinavyoshuka [Investment Consistent].
Yah ilikua 13.7%wanadai mwaka 2022 ilikua 14%
Huu uwekezaji unahitaj uvumilivu[emoji1] yaan kwa mwaka mzima faida 240,000 huku mtaji wako ukiwa 3m...hapana mwee mm sina uvumilivu huo[emoji854]Iko hivi ukiwekeza kwenye mfuko wa UTT Liquid funds kikawaida huu mfuko hutoa Ongezeko la asilimia 7-10 kwa mwaka, Makadirio tuweke 8% .
Kwa uwekezaji wako wa 3,000,000/= Nikikupigia hesabu kwa mwaka kwa Interest rate ya 8% kwa mwaka inakuja 3240,000/= [emoji116]
View attachment 3159720
Sasa nikikupigia hesabu ya Mwezi utakua na 3,20,000/=
View attachment 3159723
Kwa maana hiyo kwa wiki ilitakiwa isome 3,05,000/=
Kwanza nikuulize, kwenye muda wa kuwekeza umeweka malengo ya Miezi mingapi au Miaka mingapi?