Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #81
mi nimeogopaHii calculator kiboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nimeogopaHii calculator kiboko
😂😂😂Huu uwekezaji unahitaj uvumilivu[emoji1] yaan kwa mwaka mzima faida 240,000 huku mtaji wako ukiwa 3m...hapana mwee mm sina uvumilivu huo[emoji854]
Eeeh, Unataka kusema?🤔Dogo uliempa simu akuwekee pesa amekuchapa hajaweka 3M ameweka laki 3 amebaki na 2.6+M mfukoni nenda kamdai chap kabla hajaitumbua yote
3m baada ya wiki imeongezeka 360? Hata jero haijafika? Umepigwa? Bora ungekopesha vikoba mitaani ungeonekana wa maana!wakuu mimi niko Liquid fund .Haya ndo niliyoyaona nimeweka 3M nina wiki na imeongezeka 360 ndo nn yaan mbona haiendani na % nazo calculate
NB: Nyie wa kulike kila comment tafadhari sana Mnisamehe.Nahitaji notification za hoja siyo like! Natafuta maisha jamani tusameheane
Mhwakuu mimi niko Liquid fund .Haya ndo niliyoyaona nimeweka 3M nina wiki na imeongezeka 360 ndo nn yaan mbona haiendani na % nazo calculate
NB: Nyie wa kulike kila comment tafadhari sana Mnisamehe.Nahitaji notification za hoja siyo like! Natafuta maisha jamani tusameheane
kukopesha bure3m baada ya wiki imeongezeka 360? Hata jero haijafika? Umepigwa? Bora ungekopesha vikoba mitaani ungeonekana wa maana!
Hapana! Mwaka una wiki 52. Hivyo 360x53=28,720! Ndo maana nawaambia elimu ya ujasiriamali ni muhimu!. Just imagine wastaafu wanavyopigwa!Huu uwekezaji unahitaj uvumilivu[emoji1] yaan kwa mwaka mzima faida 240,000 huku mtaji wako ukiwa 3m...hapana mwee mm sina uvumilivu huo[emoji854]
Haha uongo!Zile asilimia zinazotajwa huwa ni kwa mwaka sio kwa wiki au siku.
Kwa layman labda tunaweza kujaribu kuchanganua hivi...
Mfano: faida ni 12% = 0.12 × kiasi ulichoweka kwa mwaka.
Ina maana Ukitaka kujua unapata ngapi kwa wiki/siku:
Ni sawa na 0.12÷ siku 366!
niko na hesabu hiyo hyo mkuuZile asilimia zinazotajwa huwa ni kwa mwaka sio kwa wiki au siku.
Kwa layman labda tunaweza kujaribu kuchanganua hivi...
Mfano: faida ni 12% = 0.12 × kiasi ulichoweka kwa mwaka.
Ina maana Ukitaka kujua unapata ngapi kwa wiki/siku:
Ni sawa na 0.12÷ siku 366!
Ukizungumzia uwekezaji inamaanisha ni mpango wa miaka 10 na kuendelea .Huu uwekezaji unahitaj uvumilivu[emoji1] yaan kwa mwaka mzima faida 240,000 huku mtaji wako ukiwa 3m...hapana mwee mm sina uvumilivu huo[emoji854]
Sahihi uvumilivu unahitajikaHuu uwekezaji unahitaj uvumilivu[emoji1] yaan kwa mwaka mzima faida 240,000 huku mtaji wako ukiwa 3m...hapana mwee mm sina uvumilivu huo[emoji854]
Milioni 3 ilitakiwa upate kama tshs. 900 au zaidi kwa sikuniko na hesabu hiyo hyo mkuu
Loan Interest calculator.hii calculator yako naipata wapi
Huyo ni muongo. Usimfuatishe amekurupuka.Hapana! Mwaka una wiki 52. Hivyo 360x53=28,720! Ndo maana nawaambia elimu ya ujasiriamali ni muhimu!. Just imagine wastaafu wanavyopigwa!
Tatizo la watanzania ni maneno! Maneno! Maneno! Longolongo na uongo! Wizi na upigaji na deal feki! Mnachokijua ni ngono! Mdau kaja clear na figure! Na nyie mumjibu kwa figure! Nachoona mleta mada anaishi maisha ya mwaka 47! Kama una hela zako ziwekeze mwenyewe au kama huwezi, jenga nyumba vya mbavu za mbwa upangishe hata 20,000 kwa mwezi kuliko kuwapelekea wezi na matapeli!Ukizungumzia uwekezaji inamaanisha ni mpango wa miaka 10 na kuendelea .
Neno kuwekeza means Long term plan yaani watafaidika mpaka wanao .
Mfano kuna Bro wangu mmoja [Mentor], anafanya uwekezaji wa real estate, amejenga Hoteli mpaka inaanza kufanya kazi ametumia Milioni 430, Kwa mwaka anatarajia kupata return ya 10-15%
Tuseme 13% kwa hesabu ya Albert Einstein chukua 72 gawanya kwa 13=5.5
HA!HA!HA yaani itamchukua miaka 5 na Miezi mitano kurudishia mara2 ya pesa aliyowekeza, ndipo awe na 860M
Kwahiyo uwekezaji sio kwa ajili yako tu, ni mpaka vizazi vinavyokufuatia .
Uwekezaji wa real Estate mfano nyumba za kupangisha unawauwa kwa Pressure wastaafu wengi sana wanaoukurupukia, Huu uwekezaji ni mtamu kama ukiuwahi ukiwa na 20s -Early 30s..Tatizo la watanzania ni maneno! Maneno! Maneno! Longolongo na uongo! Wizi na upigaji na deal feki! Mnachokijua ni ngono! Mdau kaja clear na figure! Na nyie mumjibu kwa figure! Nachoona mleta mada anaishi maisha ya mwaka 47! Kama una hela zako ziwekeze mwenyewe au kama huwezi, jenga nyumba vya mbavu za mbwa upangishe hata 20,000 kwa mwezi kuliko kuwapelekea wezi na matapeli!
Hii hesabu yako sijaielewa. Please fafanuaUkizungumzia uwekezaji inamaanisha ni mpango wa miaka 10 na kuendelea .
Neno kuwekeza means Long term plan yaani watafaidika mpaka wanao .
Mfano kuna Bro wangu mmoja [Mentor], anafanya uwekezaji wa real estate, amejenga Hoteli mpaka inaanza kufanya kazi ametumia Milioni 430, Kwa mwaka anatarajia kupata return ya 10-15%
Tuseme 13% kwa hesabu ya Albert Einstein chukua 72 gawanya kwa 13=5.5
HA!HA!HA yaani itamchukua miaka 5 na Miezi mitano kurudishia mara2 ya pesa aliyowekeza, ndipo awe na 860M
Kwahiyo uwekezaji sio kwa ajili yako tu, ni mpaka vizazi vinavyokufuatia .
Nafikiri hapo kwa Albert Einstein, au ni sehemu nyingine ?Hii hesabu yako sijaielewa. Please fafanua