Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Hapo itatatiwa uweke sii chini ya milion 57Mi nataka flexibility ya kutoa muda wowote.
Lengo langu ifike mtaji wakuweza kunipa atleast 500k kila mwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo itatatiwa uweke sii chini ya milion 57Mi nataka flexibility ya kutoa muda wowote.
Lengo langu ifike mtaji wakuweza kunipa atleast 500k kila mwezi
Hii bado siyo kweli mkuu. Itamchukua miaka 20 ku double investment. Piga hesabu vizuri.Ukizungumzia uwekezaji inamaanisha ni mpango wa miaka 10 na kuendelea .
Neno kuwekeza means Long term plan yaani watafaidika mpaka wanao .
Mfano kuna Bro wangu mmoja [Mentor], anafanya uwekezaji wa real estate, amejenga Hoteli mpaka inaanza kufanya kazi ametumia Milioni 430, Kwa mwaka anatarajia kupata return ya 10-15%
Tuseme mfano ingekua kaweka UTT kwabriba ya 13%, Tukitumia hesabu ya Albert Einstein chukua 72 gawanya kwa 13=5.5
Yaani itamchukua miaka 5 na Miezi mitano kurudishia mara2 ya pesa aliyowekeza, ndipo awe na 860M .
Kwahiyo uwekezaji sio kwa ajili yako tu, ni mpaka vizazi vinavyokufuatia .
Nachoka kabisaHii bado siyo kweli mkuu. Itamchukua miaka 20 ku double investment. Piga hesabu vizuri.
Hotel kwa faida 13% kwa mwaka itamchukua miaka 8 kurudisha mtaji. Na itachukua miaka mingine 8 kupata faida ya 430m. Jumla miaka 16 ku double. Assuming faida ni ile ile y a 13% kwa mwaka, gharama za uendeshaji ziko pale pale na hakuna matengenezo makubwa yamefanyika.
Nadhani huwa wanatoa 11%, - 15% depends kwa mwaka Nakupa mfano ukiweka 500,000 Kwa mwaka means mwisho wa mwaka Utakula 50000 Sasa chukua gawia kwa miez 12=Ina Utakuwa unakula 4166.7 Kila mwezi as dividend(kama gawio)wakuu mimi niko Liquid fund .Haya ndo niliyoyaona nimeweka 3M nina wiki na imeongezeka 360 ndo nn yaan mbona haiendani na % nazo calculate
NB: Nyie wa kulike kila comment tafadhari sana Mnisamehe.Nahitaji notification za hoja siyo like! Natafuta maisha jamani tusameheane
RE: Jamaa yangu [My Mentor], kawekeza M430 kwenye RealEstate [hoteli], kumbuka Real Estate [Mf, Hoteli] huwezi kuipigia hesabu ya Compound Interest.Hii bado siyo kweli mkuu. Itamchukua miaka 20 ku double investment. Piga hesabu vizuri.
Hotel kwa faida 13% kwa mwaka itamchukua miaka 8 kurudisha mtaji. Na itachukua miaka mingine 8 kupata faida ya 430m. Jumla miaka 16 ku double. Assuming faida ni ile ile y a 13% kwa mwaka, gharama za uendeshaji ziko pale pale na hakuna matengenezo makubwa yamefanyika.
Ngoja aje Mwl wa hesabu asahisheHesabu iko sawa
Hujui hata mabenki hufilisika? Hujui haijalishi umeweka kiasi gani bima hulipa max Tsh 1.5mil?Acha uongo.
UTT/Liquid Fund hazina hasara.
Ni kama fixed income tu za mabenki
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini kwako!Mbona Mimi nimeweka sh.600000,kwa wiki wananiingizia sh.1300 kwa wiki?wakuu mimi niko Liquid fund .Haya ndo niliyoyaona nimeweka 3M nina wiki na imeongezeka 360 ndo nn yaan mbona haiendani na % nazo calculate
NB: Nyie wa kulike kila comment tafadhari sana Mnisamehe.Nahitaji notification za hoja siyo like! Natafuta maisha jamani tusameheane
Kaka una haraka sana. Anyway kwanza nikutoe wasiwasi UTT sio private company ni serikali hiyo ina zaid ya miaka 20. Wana mtaji zaid ya trilion kwa mifuko yao combined .. sema Wameanza kujitangaza kwa nguvu kwenye miaka ya karibuni.wakuu mimi niko Liquid fund .Haya ndo niliyoyaona nimeweka 3M nina wiki na imeongezeka 360 ndo nn yaan mbona haiendani na % nazo calculate
NB: Nyie wa kulike kila comment tafadhari sana Mnisamehe.Nahitaji notification za hoja siyo like! Natafuta maisha jamani tusameheane
Uwekezaji wa 100ml utakupatika kati ya 8ml na 13ml kwa mwaka siyo 90ml.Ni fisadi pekee ndiye atakuwa radhi kuwekeza huko.
Fisadi haoni hasara, hata akiweka 100ml baada ya mwaka akapewa 90ml yeye ataona poa tu
Nimewaambia huyo ni muongo.Nashindwa kuelewa tatizo ni nini kwako!Mbona Mimi nimeweka sh.600000,kwa wiki wananiingizia sh.1300 kwa wiki?
Pia aliyehudhuria mkutano wa wawekezaji naomba atuambie performance za faida ZA mifukowakuu mimi niko Liquid fund .Haya ndo niliyoyaona nimeweka 3M nina wiki na imeongezeka 360 ndo nn yaan mbona haiendani na % nazo calculate
NB: Nyie wa kulike kila comment tafadhari sana Mnisamehe.Nahitaji notification za hoja siyo like! Natafuta maisha jamani tusameheane
za mwaka gan unatakaPia aliyehudhuria mkutano wa wawekezaji naomba atuambie performance za faida ZA mifuko