Nimeweka shabu maji lakini bado meusi?

Nimeweka shabu maji lakini bado meusi?

wataaalam wa teknologia ya maji

KAMA TUJUAVYO shabu inasafisha na kung’arisha maji.Nimenunua nimeweka kisimani lakin maji bado yana rangi ya juice cola!!

Mbinu gan nyingine ya kitaalam nimesahau
Sikumbuki mkuu....
Nilitumia shabu miaka ya 1980's tukiwa tunaishi kotaz za Makokola mkoani Tabora.
Ila nakumbuka miaka ile tulikua tunakata kipande tunaweka kwenye maji ambayo tayari tulikua tumesha wachota na kuweka kwenye vyombo.
Nafikiri shabu haifai kusafisha maji ambayo yapo kisimani na yanaendelea kuongezeka.
 
wataaalam wa teknologia ya maji

KAMA TUJUAVYO shabu inasafisha na kung’arisha maji.Nimenunua nimeweka kisimani lakin maji bado yana rangi ya juice cola!!

Mbinu gan nyingine ya kitaalam nimesah

wataaalam wa teknologia ya maji

KAMA TUJUAVYO shabu inasafisha na kung’arisha maji.Nimenunua nimeweka kisimani lakin maji bado yana rangi ya juice cola!!

Mbinu gan nyingine ya kitaalam nimesahau
Umeweka kilo ngapi? Na je icho kisima kina urefu gani?In
Jar test inafanyikaje mkuu
Maabara za maji mkuu.Ingia ata youtube,uone inafanyikaje!Search jar test experiment.
 
Sikumbuki mkuu....
Nilitumia shabu miaka ya 1980's tukiwa tunaishi kotaz za Makokola mkoani Tabora.
Ila nakumbuka miaka ile tulikua tunakata kipande tunaweka kwenye maji ambayo tayari tulikua tumesha wachota na kuweka kwenye vyombo.
Nafikiri shabu haifai kusafisha maji ambayo yapo kisimani na yanaendelea kuongezeka.
aah kumbe haya ni ya kuweka kwene tank
 
Nafkiri mkuu umeweka kidogo...ulitakiwa ujue size ya kuweka per m³ halafu yatakua acidic uitoe hiyo acid ucheki Ph level...and then ucheki tds...na usafishe kisima chako na ile swimming pool cleaner...
Halafu ndio uweke chlorine nayo kwa kipimo
 
Kuna dawa ya kupunguza chumvi maji ya kisima?
 
Back
Top Bottom