Nafanya mwenyewe,Hujasema umewekeza kwenye biashara gani, nani anafanya kazi wewe au umeweka mtu, location na mambo mengine mengi. Inashangaza kuona waomba ushauri hamtaki kujisumbua kutoa details kisha mnataka washauri wajisumbue kufikiria
Inatosha sana mkuu. Komaa zaidi mambo yatakuwa mazuri zaidi.Nafanya mwenyewe,
Hayo mengine naona hayana maana yeyote kwa lengo la mada hii
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Wakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku
Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny uoande wenu mnaonaje hii faida?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
we ndo maana hupati faida🤣🤣Nafanya mwenyewe,
Hayo mengine naona hayana maana yeyote kwa lengo la mada hii
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Hahahahah kwenye hii biashara principal haikati kirahisi hivoUnaweza pewa hizo baada ya Mwaka principle yako hakuna na zikakata, bora ungezila taratibu
Hahaahahwe ndo maana hupati faida[emoji1787][emoji1787]
Unatakiwa kutoa details maana mtu wa kukushauri ni ambaye anafanya kitu kama unachofanya
Naona nimeweka pesa nyingi sanaaaaa halafu profit ndogo hahahInatosha sana mkuu. Komaa zaidi mambo yatakuwa mazuri zaidi.
Hahahahah kwenye hii biashara principal haikati kirahisi hivo
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Tufanye unapata minimum 500k,Wakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku
Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny uoande wenu mnaonaje hii faida?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Njoo kwenye kubet utatoboa mtaji wa 5mil unafaa[emoji3]Wakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku
Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny uoande wenu mnaonaje hii faida?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Naruhisiwa kukuchek PM kwa maongezi mkuuWakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku
Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny uoande wenu mnaonaje hii faida?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app