Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Wakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku
Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny upande wenu mnaonaje hii faida?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku
Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny upande wenu mnaonaje hii faida?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app