Nimewekeza Milioni tano, faida napata laki 6, ni sahihi?

Nimewekeza Milioni tano, faida napata laki 6, ni sahihi?

Wakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku

Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny upande wenu mnaonaje hii faida?

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo ni kwa siku au kwa mwezi?
 
Hata mm boss nilitaka niweke Uzi Kama huu mana nmeinvest mashine ya popcorn mahal cost Tu za mashine ni lak 4 ,plus eneo Kodi ,na gharama za kuvuta umeme kwnye eneo husika jumla ni km nmetumia lak 7 lakin Kwa siku naingiza 10k sikunyingne 7k Profit ko Kwa mwez ni. Laki 3 mpk lak. 2 hii nayo. Vp mkuu tutatoboa kwel. ....
Average.. ila safi
 
Yeah running cost tayari nishazitoa na mm ndo narun the business since sijaoa so for that 200k namudu kwenye life kulipia Kodi ya geto na all other basic Needs ndan ya mwezi ,ila SA ndo sijajua km through that biashara itaweza kukua more Zaid ya apo ili hata nifungue vibranch vingine vya mashine hizi
Umepiga bonge la step mkuu,komaa utatoboa tu.
 
Yeah running cost tayari nishazitoa na mm ndo narun the business since sijaoa so for that 200k namudu kwenye life kulipia Kodi ya geto na all other basic Needs ndan ya mwezi ,ila SA ndo sijajua km through that biashara itaweza kukua more Zaid ya apo ili hata nifungue vibranch vingine vya mashine hizi
Unajua hilo unallfanya,kuna watu hawawezi kabisa nitegemezi tu,so hongera sana kwa hiyo hatu.

Yani biashara yako inakulisha,pambana ikue zaidi
 
Hiyo biashara inalipa sanaaa. Biashara yeyote inayolipa 10% ya mtaji kwa MWAKA ni biashara nzuri. Wewe unaingiza mora than 10% kwa mwezi hiyo ni moja ya biashara nzuri sana duniani kama ni halali.
 
Wakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku

Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny upande wenu mnaonaje hii faida?

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Iko poa sana within the profit margin 10%
 
Wakuu heshima yenu
Kuna mahali nimejishikiza, nimeweka 5M, kwa mwezi baada ya cost zote napata laki 6,
Muda wa kazi ni saa 2 asubuhi hadi saa 4 usiku

Naona hii faida kama ndogo sana,
Vipi wakuu niny upande wenu mnaonaje hii faida?

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Hiyo faida kubwa sana kila siku tsh 20,000/kwa mwaka 7,200,000,shika hapo hapo usiachie
 
we ndo maana hupati faida[emoji1787][emoji1787]
Unatakiwa kutoa details maana mtu wa kukushauri ni ambaye anafanya kitu kama unachofanya
Au muongo[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kama capital 5m inabaki bila hasara naona haina shida
Watu wananunua bajaj 8.5m wanaingisha 20k per day
Manake kwa mwezi ni laki 6 ile ile kama yajamaa kasoro yeye kidogo kaweka hela kidogo kulinganisha na mwenye bajaji
 
Hujasema umewekeza kwenye biashara gani, nani anafanya kazi wewe au umeweka mtu, location na mambo mengine mengi. Inashangaza kuona waomba ushauri hamtaki kujisumbua kutoa details kisha mnataka washauri wajisumbue kufikiria
Ni gharama sana kuwaza mambo ya mtu ambae hayupo teyari kuwaza mambo yake mwenyewe
 
Hata mm boss nilitaka niweke Uzi Kama huu mana nmeinvest mashine ya popcorn mahal cost Tu za mashine ni lak 4 ,plus eneo Kodi ,na gharama za kuvuta umeme kwnye eneo husika jumla ni km nmetumia lak 7 lakin Kwa siku naingiza 10k sikunyingne 7k Profit ko Kwa mwez ni. Laki 3 mpk lak. 2 hii nayo. Vp mkuu tutatoboa kwel. ....
Tuseme jumla ya mtaji woteee wa biashara ni 1m kwa mwezi unapata faida ya laki3 uko vzr mno
Ongeza bidii na nidhamu
 
Tuseme jumla ya mtaji woteee wa biashara ni 1m kwa mwezi unapata faida ya laki3 uko vzr mno
Ongeza bidii na nidhamu
Sawa dadaake nakarbisha na ushauri pia jinsi ya kuikuza hii biashara hata Kwa wenye tenda za harusi wanichek pm Nije nipop ukumbini [emoji12][emoji12]
 
Sawa mkuu Kwa ushauri nmekuelewa Sana tutazidi kuwasiliana na kupeana feedback na mtaji ukikua pia nitakuchek hata unielekeze niinvest wp tena ili hata mm nifikie uwezo wa kumiliki ndinga, nyumba tuhame kwny makodi Aya mana ni ndoto za kila hustler kuwa na that life[emoji12][emoji12]
I mean no malice to nobody, tupo pamoja 💪💪. Munishi1698 and everyone else
 
Yeah running cost tayari nishazitoa na mm ndo narun the business since sijaoa so for that 200k namudu kwenye life kulipia Kodi ya geto na all other basic Needs ndan ya mwezi ,ila SA ndo sijajua km through that biashara itaweza kukua more Zaid ya apo ili hata nifungue vibranch vingine vya mashine hizi
Nilikuwaga nako hako kamashine kwanza kalikaa ndaani weee, nikakatumia miez kadhaa sikuona cha maana nikakauzia mbali tena kwa bei ya hasara laki, looh kama sio mpambanaj sio mpambanaji tu ,
 
Back
Top Bottom