mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mimi binafsi sijawahi kuvuka nafasi ya tatu tangu nianze darasa la kwanza
Chuoni sijawahi kusupp au kudisco japo niliwahi kudrop chuo kwa sababu ambazo sio za kitaakuma..
Watoto wa mke mkubwa wana akili kunizidi, mkubwa alioata Div 1 pts 4,mdogo wake nwaka huu darada la saba amepiga A tupu.
Wanawake waliobaki sasa wana akili za average,sio vilaza sio vipanga,hii maana yake nini,??
Maana yake watoto urithi akili za mama zao,kuwa makini na wanawake unaotaka kuoa au kuzaa nao je wana akili kiasi gani
Chuoni sijawahi kusupp au kudisco japo niliwahi kudrop chuo kwa sababu ambazo sio za kitaakuma..
Watoto wa mke mkubwa wana akili kunizidi, mkubwa alioata Div 1 pts 4,mdogo wake nwaka huu darada la saba amepiga A tupu.
Wanawake waliobaki sasa wana akili za average,sio vilaza sio vipanga,hii maana yake nini,??
Maana yake watoto urithi akili za mama zao,kuwa makini na wanawake unaotaka kuoa au kuzaa nao je wana akili kiasi gani