BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Natafuta chakula kitakachofanya mbunye yangu kuwa na jotroHakuna chakula kitachomfanya mtoto awe genius,hayo ni mawazo ya kijinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta chakula kitakachofanya mbunye yangu kuwa na jotroHakuna chakula kitachomfanya mtoto awe genius,hayo ni mawazo ya kijinga
Maskini huwa tunawambia Hela sio kila kitu wanapinga.Mengi mpaka anakufa hana mjukuu,kijana waje mkubwa Motie Rodney alikufa early 2000 bila mtoto,hawa wakubwa waliobaki hawajaoa wala kuolewa ,so wakifa biashara imekufa,he was right kutafuta warithi wa jona na mali hata kama hatakuwepo dunianj
Kuna Yule Mtoto wa kike alioleww na mzanzibar naye hakupata watoto?Kuna kitu hukijui,Legacy advocancy,usione vigogo wanataka kurithisha watoto wao uongozi,its all about legacy advocacy,Uhuru Kenyata alizaliwa baba yake akiwa na miaka 60+ so kuanzia 1960s mpaka leo. Familia yao haijasahulika,ndio maana kuna jamii mtoto wa kiune anakuwa oreferd kuliko wa kike ili kuendeleza Legacy.
Hakuna mtu wa kuendeleza jina lako kama haupo zaidi ya uzao wako.
Mengi mpaka anakufa hana mjukuu,kijana waje mkubwa Motie Rodney alikufa early 2000 bila mtoto,hawa wakubwa waliobaki hawajaoa wala kuolewa ,so wakifa biashara imekufa,he was right kutafuta warithi wa jona na mali hata kama hatakuwepo dunianj
Mimi wazee wangu hawajakanyags shule kabisa .Kazii ya juu waliofanya ilikuwa ni kufagia pale Mwatex .So inawezekana😂😂Umerithi kutoka kwa Mzazi mmoja wapo
Umejua kunichekeshaNikikuonesha bundle langu la vyeti vyangu vya kurisiti mbona kamzozo .Akili zangu zilikuwa nzito kama futari ya magimbi iliyopoa.Sio kila mtu ana akili.
Hatari😂😂😂Umejua kunichekesha
😅😅😅Mimi wazee wangu hawajakanyags shule kabisa .Kazii ya juu waliofanya ilikuwa ni kufagia pale Mwatex .So inawezekana😂😂
Yeah mambo ya kitabuni na nje kwenye field ni tofauti kabisa.Hao ambao unaona hawana akili ndiyo wanakuja kukulea na kulea familia
Taratibu ofsa hawakawii hawa kugawanisha viungo vya kiumbe.Maana yake watoto wa mke mkubwa siyo watoto wako unalea damu za watu
Usichanganye mambo,unaweza kuwa na akili usipate fursa ya kupelekwa shule,huenda wazazi wako walikuwa na akili ila hswakupelekwa shule,kuna wajinga wengi tu wamejaza mavyeti ndaniMimi wazee wangu hawajakanyags shule kabisa .Kazii ya juu waliofanya ilikuwa ni kufagia pale Mwatex .So inawezekana😂😂
Rejea bundle langu la vyeti vya kidato cha nne mpaka umesema nimerithi kwa mmoja😂😋😋Usichanganye mambo,unaweza kuwa na akili usipate fursa ya kupelekwa shule,huenda wazazi wako walikuwa na akili ila hswakupelekwa shule,kuna wajinga wengi tu wamejaza mavyeti ndani
Watoto wanachukua akili za mama hii imetokana na uchunguzi wangu nilioufanya. Kuna watoto wengi wa kishua wanaosumbua mama zao ni vilaza. Na kama Mama ana akili jua kuwa hapo nyumbani Mama ndiyo ana hela kuliko mumewe fanya uchunguzi na uje utuambie. Kuna bilionea alizaa na mabaamedi kibao watoto wake wote ni vilaza wengine amewasomesha mpaka Australia. Silaumu au kumsema vibaya mtu lakini inabidi tujifunze.Mimi binafsi sijawahi kuvuka nafasi ya tatu tangu nianze darasa la kwanza
Chuoni sijawahi kusupp au kudisco japo niliwahi kudrop chuo kwa sababu ambazo sio za kitaakuma..
Watoto wa mke mkubwa wana akili kunizidi, mkubwa alioata Div 1 pts 4,mdogo wake nwaka huu darada la saba amepiga A tupu.
Wanawake waliobaki sasa wana akili za average,sio vilaza sio vipanga,hii maana yake nini,??
Maana yake watoto urithi akili za mama zao,kuwa makini na wanawake unaotaka kuoa au kuzaa nao je wana akili kiasi gani
Kwenye familia yetu Kuna Prof watatu lkn Sasa sio tegemezi kwenye familia tegemezi mzee wangu ambae kaishia lasaba yeye ndiyo anajua shida za wazazi wake na kutatua hao wasomii wametekwa na wake zao na wakike katekwa na wagangaYeah mambo ya kitabuni na nje kwenye field ni tofauti kabisa.
Unajuaje mtoto yeyote hapo ni wako?Mimi binafsi sijawahi kuvuka nafasi ya tatu tangu nianze darasa la kwanza
Chuoni sijawahi kusupp au kudisco japo niliwahi kudrop chuo kwa sababu ambazo sio za kitaakuma..
Watoto wa mke mkubwa wana akili kunizidi, mkubwa alioata Div 1 pts 4,mdogo wake nwaka huu darada la saba amepiga A tupu.
Wanawake waliobaki sasa wana akili za average,sio vilaza sio vipanga,hii maana yake nini,??
Maana yake watoto urithi akili za mama zao,kuwa makini na wanawake unaotaka kuoa au kuzaa nao je wana akili kiasi gani
Kawaida sana hiyo hak7naga mtoto asiye na umuhimuKwenye familia yetu Kuna Prof watatu lkn Sasa sio tegemezi kwenye familia tegemezi mzee wangu ambae kaishia lasaba yeye ndiyo anajua shida za wazazi wake na kutatua hao wasomii wametekwa na wake zao na wakike katekwa na waganga
MgaganiNatafuta chakula kitakachofanya mbunye yangu kuwa na jotro