Nimezaa na wanawake tofauti,watoto wa mke mkubwa wanaongoza darasani, waliobaki mhh

Nimezaa na wanawake tofauti,watoto wa mke mkubwa wanaongoza darasani, waliobaki mhh

Mimi binafsi sijawahi kuvuka nafasi ya tatu tangu nianze darasa la kwanza

Chuoni sijawahi kusupp au kudisco japo niliwahi kudrop chuo kwa sababu ambazo sio za kitaakuma..

Watoto wa mke mkubwa wana akili kunizidi, mkubwa alioata Div 1 pts 4,mdogo wake nwaka huu darada la saba amepiga A tupu.

Wanawake waliobaki sasa wana akili za average,sio vilaza sio vipanga,hii maana yake nini,??

Maana yake watoto urithi akili za mama zao,kuwa makini na wanawake unaotaka kuoa au kuzaa nao je wana akili kiasi gani
Mkuu una Umri mkubwa bado una watoto wa Primary?

Kweli wafrika umaskini tunausababisha sisi wenyewe.

Wewe ulitakiwa mtoto wako sa Mwisho awe Chuo kikuu na sio darasa la saba
 
Mimi binafsi sijawahi kuvuka nafasi ya tatu tangu nianze darasa la kwanza

Chuoni sijawahi kusupp au kudisco japo niliwahi kudrop chuo kwa sababu ambazo sio za kitaakuma..

Watoto wa mke mkubwa wana akili kunizidi, mkubwa alioata Div 1 pts 4,mdogo wake nwaka huu darada la saba amepiga A tupu.

Wanawake waliobaki sasa wana akili za average,sio vilaza sio vipanga,hii maana yake nini,??

Maana yake watoto urithi akili za mama zao,kuwa makini na wanawake unaotaka kuoa au kuzaa nao je wana akili kiasi gani
Kitaakuma 🤣 ila umeeleweka
 
Umri wangu umeujulia wapi?
Unanifahamu?
Hao wenye akili average walishe mayai ya kienyeji, ndizi mbivu, uone watakavyokuwa vichwa class.

Ila pia akili hutegemea ukoo mtokao mke na mume, Kuna wengine baba hamna mama hamna lakini mtoto achaa kbsaa.

Mfano kwetu , Kuna mmoja karithi akili za Babu, baba na mama wote wapo average lkn mtoto wao kichwa hataree.

Na pia akili huletwa na lishe ya mama akiwa mjamzito, anakula vyakula gani!?, Akila vyakula vya lishe mtoto anatoka kichwani yupo vzrii sanaa.
 
Hao wenye akili average walishe mayai ya kienyeji, ndizi mbivu, uone watakavyokuwa vichwa class.

Ila pia akili hutegemea ukoo mtokao mke na mume, Kuna wengine baba hamna mama hamna lakini mtoto achaa kbsaa.

Mfano kwetu , Kuna mmoja karithi akili za Babu, baba na mama wote wapo average lkn mtoto wao kichwa hataree.
Hapo safi sana
 
Kufaulu mitihani ya darasani tena hii elimu yetu TAKATAKA ndiyo kipimo cha akili eeh?, basi sawaa, kwa namna hii wasomi wote pamoja na hao wanaouza mitumba&kulia njaa kisa pesa wangeshapata ufumbuzi/solution la matatizo Yao ya kiuchumi.

Karne hii Kuna watu bado mnapima watu kwa level ya kufaulu shuleni?.

Bahati mbaya sana kipimo cha IQ huwa kinaongozwa kwa super grade na hao hao vilaza ambao shule ya kukalili kwao haipo.

Oa mwanamke mwenye uwezo wa kuhandle nyakati mgumu za kiuchumi, kiafya&kijamii pia kutatua changamoto za mfumo wa malezi kwa watoto, na sio hao wasomi vilaza ambao tofauti na kukalili notes darasani hakuna la maana mtaani wanaweza kulifanya bila kuongozwa ama sapoti ya ujira wa serikali.
 
Mimi ni classmate wa haji Manara,Kitenge na Ben Kinyaiya,so sio mzee sio kijana,kumbuka Reginald Mengi watoto wake wa mwisho wako Primary bado ,na alikufa akiwa Mzee,
Kawaacha watoto wadogp hawana Baba kwa urafi wake wa nyapu.

Mtu tajiri bilionea at your 70s kitu gani ambacho hujapata kwenye maisha unachodhani utakipata ukiwa na 70yrs?
 
Hao wenye akili average walishe mayai ya kienyeji, ndizi mbivu, uone watakavyokuwa vichwa class.

Ila pia akili hutegemea ukoo mtokao mke na mume, Kuna wengine baba hamna mama hamna lakini mtoto achaa kbsaa.

Mfano kwetu , Kuna mmoja karithi akili za Babu, baba na mama wote wapo average lkn mtoto wao kichwa hataree.

Na pia akili huletwa na lishe ya mama akiwa mjamzito, anakula vyakula gani!?, Akila vyakula vya lishe mtoto anatoka kichwani yupo vzrii sanaa.
Hakuna chakula kitachomfanya mtoto awe genius,hayo ni mawazo ya kijinga
 
Nikikuonesha bundle langu la vyeti vyangu vya kurisiti mbona kamzozo .Akili zangu zilikuwa nzito kama futari ya magimbi iliyopoa.Sio kila mtu ana akili.
Na bado maisha yanasonga.

Education is important but

Life itself is an education
 
Kawaacha watoto wadogp hawana Baba kwa urafi wake wa nyapu.

Mtu tajiri bilionea at your 70s kitu gani ambacho hujapata kwenye maisha unachodhani utakipata ukiwa na 70yrs?
Kuna kitu hukijui,Legacy advocancy,usione vigogo wanataka kurithisha watoto wao uongozi,its all about legacy advocacy,Uhuru Kenyata alizaliwa baba yake akiwa na miaka 60+ so kuanzia 1960s mpaka leo. Familia yao haijasahulika,ndio maana kuna jamii mtoto wa kiune anakuwa oreferd kuliko wa kike ili kuendeleza Legacy.
Hakuna mtu wa kuendeleza jina lako kama haupo zaidi ya uzao wako.
Mengi mpaka anakufa hana mjukuu,kijana waje mkubwa Motie Rodney alikufa early 2000 bila mtoto,hawa wakubwa waliobaki hawajaoa wala kuolewa ,so wakifa biashara imekufa,he was right kutafuta warithi wa jona na mali hata kama hatakuwepo dunianj
 
Back
Top Bottom