BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
ππππππ mseng kbsaMgagani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππ mseng kbsaMgagani
AKili ni ule uwezo wa kutatua changa moto za kimaisha ikiwa Degree na Vyeti vimefutwa kichwani.Kwenye familia yetu Kuna Prof watatu lkn Sasa sio tegemezi kwenye familia tegemezi mzee wangu ambae kaishia lasaba yeye ndiyo anajua shida za wazazi wake na kutatua hao wasomii wametekwa na wake zao na wakike katekwa na waganga
Hayo ni maarifa,akili ni uwezo wa kuelewa na kuchanganua mambo kirahisiAKili ni ule uwezo wa kutatua changa moto za kimaisha ikiwa Degree na Vyeti vimefutwa kichwani.
Yaani ukiondoa vyeti zile sinazobaki ndio akili. Tupimane hapo.
Inaonyesha haupo serious unachangamsha genge mkuuMimi wazee wangu hawajakanyags shule kabisa .Kazii ya juu waliofanya ilikuwa ni kufagia pale Mwatex .So inawezekanaππ
Hii haipatikani shuleni mzee. Ndio maana kile ambacho hajafundishwa hawezi kukichanganua. Sasa hiyo ni akili?Hayo ni maarifa,akili ni uwezo wa kuelewa na kuchanganua mambo kirahisi
Umezaa na mautopolo matoto yamekuwa utopolo square! Sasa ukichanganya na akili zako ndiyo bure kabisa!Mimi binafsi sijawahi kuvuka nafasi ya tatu tangu nianze darasa la kwanza
Chuoni sijawahi kusupp au kudisco japo niliwahi kudrop chuo kwa sababu ambazo sio za kitaakuma..
Watoto wa mke mkubwa wana akili kunizidi, mkubwa alioata Div 1 pts 4,mdogo wake nwaka huu darada la saba amepiga A tupu.
Wanawake waliobaki sasa wana akili za average,sio vilaza sio vipanga,hii maana yake nini,??
Maana yake watoto urithi akili za mama zao,kuwa makini na wanawake unaotaka kuoa au kuzaa nao je wana akili kiasi gani
Kwahiyo unataka kusema akili ni Malezi ama?Baba alikuwa noma kichwa kwelikweli
Kitu kizitokitaakuma
Nafikiri malezi pengine ndiyo yanachangiaKwa kweki inachanganya,maana kuna ndugu zangu wako average kama mama
Kwa hiyo akili za dunia nzima tumerithi kwa wanawake, sasa wanaume wana mchango gani kurithisha akili.Watoto wanarithi akili za mama zao, jipambanue baba junya
Ndio ulivyorishwa mitango ya porini !!!!Kitanda hakizai haramu
Wengine hurithi za babaWatoto wanarithi akili za mama zao, jipambanue baba junya