Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Raha Sana yani
Acha kabisa, sijui wanafunzwa[emoji2297]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa, sijui wanafunzwa[emoji2297]
Is it good or bad ? .Sijasema real man anakuwa na mwanamke mmoja au mke mmoja I said change your attitude.
Wake za watu it's really very bad. Unless uwe hujui km ni mke wa mtuIs it good or bad ? .
Yaani raha sana, ukiachana tu mapenzi kuna hali fulani ya kujiona uko salama yaani kama huyu wangu kitengo alichopo na cheo chake najikuta najiona namna fulani hivi.Raha Sana yani
Kama angenipa mapenzi nayopata na huduma zote nazopata ningesemaAngekuwa mwalimu wa shule ya msingi ungesema haya
Utulie na mke wako sasa mkuu.Achana na michepuko 😁Nimekula wake saba wa wajeda.
Saizi ninademu mchepuko wangu, ni mke wa mjeda
Aiseee huyi dada anajua mahaba khaaaa sijapata ona
Yaaan ananipa wivuuu siku hizi, najikuta nakuwa na wivuuu sanaaaaaa akiniambia mjeda wake kajaa
Juzi nmemlia nyumban kwa mjeda.. Usikuu mpaka
Mishale ya saa 11 alfajiri nikawasha tukutuku langu nikasepa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mpepo
usiombe kukutwa ndezi wewe, lazima ufurahie show yakeHakuna majitu nayadharau kama hayo MABOYA.....kazi kula kodi zetu tu PUMBAVU.....nimeshayagongea WAKE zao kama WANNE hivi....kitandani sifuri hayo MABOYA...ni MALEVI tu.
Aaahhh sawa kumbeWake za watu it's really very bad. Unless uwe hujui km ni mke wa mtu
huduma angeziwezaje mshahara wake laki 4Kama angenipa mapenzi nayopata na huduma zote nazopata ningesema
Sitashangaa kusikia anakaribia kustaafu maana nyie watu mmekuwa na mikakati mikali sanaHabari wanajamvi,
Acha niongee maana penzi limenikaba koo sifurukuti. Natamani kuhadithia raha nazopata jamani, sikuwahi dhani kuna mapenzi matamu hivi hasa kutokana na kutendwa huko nyuma jamani.
Kwa kweli shikamoo mjeda laaaaa, ananipa kile mwanamke anatakiwa kupewa!! Ananijali ananitunza utadhani malaika uwii mwanzo nilijua huenda ananiigizia kumbe ndivyo alivyo yapata mwaka sasa ila ndio penzi linazidi kuwa tamu tu jamani.
Yaani kakamilika kila idara anajua nataka nini kabla sijasema kafanya hakika duniani bado kuna wanaume, tukiwa ndani ndio ibaki kuwa siri yangu maana uwiii.
Nami najitahidi kumpa heshima, uaminifu wa kiwango cha SGR na nidhamu kama zote na sukari nampatia la hela yote yaani sitaki chezea bahati.
Mapenzi matamu nyie acha tu labda kama hujapewa.
Nalog off
😂😂Ndio ndio unakuwa unajiamini popote, si rahisi kumfanya mjeda a fall in love kwahiyo ukiwa nae kimahusiano na wewe automatically unajiona umekuwa mjeda, ni kujifariji tu lakini sio mbaya maana maisha mazuri yanataka kujifariji😅,Yaani raha sana, ukiachana tu mapenzi kuna hali fulani ya kujiona uko salama yaani kama huyu wangu kitengo alichopo na cheo chake najikuta najiona namna fulani hivi.
Mkiwa barabara trafic akipiga mkono anashusha kioo tu mara mnaambiwa pita basi najikuta na mimi afande vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waambie wenzako!!
Maana hatuaminiki kabisa washika bunduki!!!!
N.B
Tatizo mnatupenda mkiona BAKA(Ulimbo)..tumelivaa...Wengine tukilivua tunaonekana kama sabaya tu:
Sent using Jamii Forums mobile app
It's obvious you need to thank the money as well.Yaani raha sana, ukiachana tu mapenzi kuna hali fulani ya kujiona uko salama yaani kama huyu wangu kitengo alichopo na cheo chake najikuta najiona namna fulani hivi.
Mkiwa barabara trafic akipiga mkono anashusha kioo tu mara mnaambiwa pita basi najikuta na mimi afande vile.
Yes boss.Aaahhh sawa kumbe
Good Question indeedAngekuwa mwalimu wa shule ya msingi ungesema haya