Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatzo ulimbukeni wa papuchi..Hakuna majitu nayadharau kama hayo MABOYA.....kazi kula kodi zetu tu PUMBAVU.....nimeshayagongea WAKE zao kama WANNE hivi....kitandani sifuri hayo MABOYA...ni MALEVI tu.
Si ndo hapo?!!!.Yaani Wanawake bhana!!!. Ukute ni vitu vidogo tu lkn anawehuka balaa.Mjeda nae ni binadamu kama wengine tu ukitoa yale mavazi ni mtu wa kawaida kabisa
Leo vipi?!!Hata Joyce kiria alikuwa akimsifia mumewe adi mwanamke mwingine unaweza kuhisi haujaolewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Offcourse, maisha ni kutesa kwa zamu.Acha niinjoi moment
Mwanangu hukuogopa kuteguliwa kiuno??.Hakuna majitu nayadharau kama hayo MABOYA.....kazi kula kodi zetu tu PUMBAVU.....nimeshayagongea WAKE zao kama WANNE hivi....kitandani sifuri hayo MABOYA...ni MALEVI tu.
mkuu umeeleza kwa haraka mno..labda si mahala pake[emoji38][emoji38][emoji38]Nimekula wake saba wa wajeda.
Saizi ninademu mchepuko wangu, ni mke wa mjeda
Aiseee huyi dada anajua mahaba khaaaa sijapata ona
Yaaan ananipa wivuuu siku hizi, najikuta nakuwa na wivuuu sanaaaaaa akiniambia mjeda wake kajaa
Juzi nmemlia nyumban kwa mjeda.. Usikuu mpaka
Mishale ya saa 11 alfajiri nikawasha tukutuku langu nikasepa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mpepo
Sawa.Lkn tembea na K-Y.Nimekula wake saba wa wajeda.
Saizi ninademu mchepuko wangu, ni mke wa mjeda
Aiseee huyi dada anajua mahaba khaaaa sijapata ona
Yaaan ananipa wivuuu siku hizi, najikuta nakuwa na wivuuu sanaaaaaa akiniambia mjeda wake kajaa
Juzi nmemlia nyumban kwa mjeda.. Usikuu mpaka
Mishale ya saa 11 alfajiri nikawasha tukutuku langu nikasepa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mpepo
Habari wanajamvi,
Acha niongee maana penzi limenikaba koo sifurukuti. Natamani kuhadithia raha nazopata jamani, sikuwahi dhani kuna mapenzi matamu hivi hasa kutokana na kutendwa huko nyuma jamani.
Kwa kweli shikamoo mjeda laaaaa, ananipa kile mwanamke anatakiwa kupewa!! Ananijali ananitunza utadhani malaika uwii mwanzo nilijua huenda ananiigizia kumbe ndivyo alivyo yapata mwaka sasa ila ndio penzi linazidi kuwa tamu tu jamani.
Yaani kakamilika kila idara anajua nataka nini kabla sijasema kafanya hakika duniani bado kuna wanaume, tukiwa ndani ndio ibaki kuwa siri yangu maana uwiii.
Nami najitahidi kumpa heshima, uaminifu wa kiwango cha SGR na nidhamu kama zote na sukari nampatia la hela yote yaani sitaki chezea bahati.
Mapenzi matamu nyie acha tu labda kama hujapewa.
Nalog off
Ngoja pesa zimuishie aje atoe nyuzi yako..!!!Habari wanajamvi,
Acha niongee maana penzi limenikaba koo sifurukuti. Natamani kuhadithia raha nazopata jamani, sikuwahi dhani kuna mapenzi matamu hivi hasa kutokana na kutendwa huko nyuma jamani.
Kwa kweli shikamoo mjeda laaaaa, ananipa kile mwanamke anatakiwa kupewa!! Ananijali ananitunza utadhani malaika uwii mwanzo nilijua huenda ananiigizia kumbe ndivyo alivyo yapata mwaka sasa ila ndio penzi linazidi kuwa tamu tu jamani.
Yaani kakamilika kila idara anajua nataka nini kabla sijasema kafanya hakika duniani bado kuna wanaume, tukiwa ndani ndio ibaki kuwa siri yangu maana uwiii.
Nami najitahidi kumpa heshima, uaminifu wa kiwango cha SGR na nidhamu kama zote na sukari nampatia la hela yote yaani sitaki chezea bahati.
Mapenzi matamu nyie acha tu labda kama hujapewa.
Nalog off
Sorry...Uzuri wa wajeda bhana akiwa anakugonga unahisi kubembea juu ya yale mangao na manyota yao kuna ka hali flani hivi kakujifariji kanatokea.
Enjoy sweetheart✌️
Kila la kheri...
[/QUO
😂😂😂Ila mkuu comment zko znanifurahishaga sana kama co
Asante kwa muongozo basi ni
Subiri waje wakupe muongozo au
Kila la kheri
Asante kwa taarifa ...
Natumai mleta mada umepata muongozo.....
Naenjoy
JWTZ una swali lingine?Sorry...
Hii research ulifanya kwa WAJEDA WANGAPI?
#YNWA
Ewaaaa hapo baby hafanyi utani ananipeleka mpaka naomba poo,Hongera mapenzi ni matamu sana sema siku hizi matapeli wa penzi wamekuwa wengi. Kitandani vipi lakini anapiga pigo za uhakika hadi unaomba mma!?