Nimezama kwenye penzi la mjeda, sioni sisikii

Hongera sana na muoane sasa tujue true colors zenu, maana baadhi ni good pretenders kwenye urafiki na uchumba ila wakiingia ndoani yanawashinda.
 
Umepotea sana, jiandae, kaswende, kisonono, ukimwi, gonolea na magonjwa mengine ya zinaaa, 👈👈👈👈👈zingatia sana hayo maneno, ni swala la mda tu
 
Mpende mheshimu na mtunze atazidi kukupenda, ila usisikilize maneno ya watu, watakuharabia sana .

Hiyo ni bahati yako ishikirie kwa nguvu zote.
Wanaume kama hao ni wachache
 
Kina watu wanajua kuombea wenzao mabaya, na kuwakatisha tamaa , hata kuwaharibia , sasa wewe usiangalie hayo wala hao wewe linda mahusiano yako , na achana na uanaharakati , kuwa mwelevu na mwaminifu kwa hata jambo dogo hapo jamaa utakuwa umemmaliza kabisa.

Alafu punguza mdomo.
 
Alafu jiulize upande wa pili wa sentensi yako, sisi tukija huko uraiani yanafanyika mengi sema safi tu.
 
Sema tu umependa gwaride la mjeda.
 
Jitulize.
 
Kula Maraha ya kupaishwa
Ewaaaa hapo baby hafanyi utani ananipeleka mpaka naomba poo,

Changanya na mazoezi yake nabinuliwa kama mtoto uuu ananipa mpaka nahisi nipo peponi.

Ukomando wake hadi kitandani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…