Nimezama kwenye penzi la single mother ila naogopa

Kumbe single Maza wanapimwa kwa mwili?
Kwamba ni wanene au wembamba au warefu au wafupi au Wana sura mbaya?
Huu mwili wangu ni WA single Maza au double Maza wakuu?
Usikute watu wananichanganya?
 
Vishu Mtata ambia huyu mdogo ako, nikiwa na umri alio nao nilisha kuwa na kwangu.

wakati yeye aki jaza server kwa upuuzi, Haina haja ya kuni diss ili aoneshe makuzi
Nia yako mimi niku attack alafu unipe ban..
Nani asiyejua kuwa weww ni mod mnoko humu πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™Œ
 
Poor Brain ni dogo fulani noma kiroho Safi, mh !!.
shida kuni diss ili asikike, sio sahihi.
Nyombi bomb...
Una lap kama bambo..
Zombi es 2kiz taku shoot kama rambo...

Uwezo wako bado kijana nenda ukalime..
Hapa bongo hapakufai blaza nenda tarime...
😁😁😁😁
 
Unajua nini huyu intell kwanza atuambie kwanini alikua kimya kwa miezi kazaa alikua wapi na anafanya nn.

Baada ya kujibu ndo tutaendelea na hoja
Njo hapa Intelligent businessman
nime andika Uzi, una weza kwenda kusoma na uka fahamu.

beside watu wangu wa karibu humu, Kama adriz na Selikavu wana jua nili kuwa. Wapi πŸ˜‚ πŸ˜†
 
nime andika Uzi, una weza kwenda kusoma na uka fahamu.

beside watu wangu wa karibu humu, Kama adriz na Selikavu wana jua nili kuwa. Wapi πŸ˜‚ πŸ˜†
Sema ukweli ulikua wapi...? Unataka kutuaminisha mambo yako hapa...

Kwanza naomba buttle na wewe nataka nikufundishe kitu beyond human abilities
 
Nyombi bomb...
Una lap kama bambo..
Zombi es 2kiz taku shoot kama rambo...

Uwezo wako bado kijana nenda ukalime..
Hapa bongo hapakufai blaza nenda tarime...
😁😁😁😁
mbona taarab nyingi we kima..
maneno mengi ya nini, ka una niweza pima.

ukosee, uni vagae, nikuzike mzima mzima.
 
Anajiita intel mfanya biashara,
Hkitaani hana kazi ye ni shisha na sigara..

Vishu alishasema we dogo ujichunge,
Kushindana na mimi kwanza mpaka ujifunze.

Kwa sasa nipo ni deep na hawa single maza,
Usitake bato na mimi ni bora ukanyamaza..

Intelligent businessman
Ngoja nitoke library kwanza nikuchane vzr an hapa wangeruhusu voice not daah ungechafuka kwa puch line mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…