safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Nimeziba jino mmoja ya hospitali hapa mjini sio vizuri kuitaja jina kwa sababu nitaharibu biashara ya watu wakaikimbia Dar.
Jino langu nimeziba zaidi ya mwezi wakuu siku ya kuziba nilichomwa sindano ya ufizi ganzi ikaingia uzuri nikafanyiwa harakati nikamaliza, nikarudia kama awamu mbili kisha wakaziba kabisa.
Sasa hivi hili jino ambalo nimeziba naona kama nikila kitu kama linafanya ile ganzi ya kuuma pale ninapotafuna ama ikitokea jino nimeligonga basi nahisi maumivu kama ya ganzi hivi nisipolifanya kitu haliumi.
Sasa nikibonyeza upande wa juu kule ambako nilichomwa sindano naona kama naskia maumivu hivi,tena ile sehemu ya maumivu iko sawa sawa na jino ukishuka kwa chini.
Je nini tatizo mpaka maumovu haya wana ndugu?
Jino langu nimeziba zaidi ya mwezi wakuu siku ya kuziba nilichomwa sindano ya ufizi ganzi ikaingia uzuri nikafanyiwa harakati nikamaliza, nikarudia kama awamu mbili kisha wakaziba kabisa.
Sasa hivi hili jino ambalo nimeziba naona kama nikila kitu kama linafanya ile ganzi ya kuuma pale ninapotafuna ama ikitokea jino nimeligonga basi nahisi maumivu kama ya ganzi hivi nisipolifanya kitu haliumi.
Sasa nikibonyeza upande wa juu kule ambako nilichomwa sindano naona kama naskia maumivu hivi,tena ile sehemu ya maumivu iko sawa sawa na jino ukishuka kwa chini.
Je nini tatizo mpaka maumovu haya wana ndugu?