Mimi sina jazba ila naona huu ujinga mwengine ni wa kudhalilishana. Na hakuna kilichonifurahisha ila nyinyi mulioanza ku'label' watu wa jamii fulani kwamba hii ndiyo tabia yao.
Pole sana mkuu nimeyasoma maelezo yako kwa makini, lakini pia nimeyasoma maelezo ya wachangiaji wengine. ushauri uliopewa na wachangiaji mwingine nauafiki mwingine naona kama ni mzaha.
Nimesene nina utalaamu wa kutosha kujibu swali lako. Hakuna uwezakano wowote na naomba nisisitize tena hakuna uwezokano wowote kwa mtalaamu yeyote kufahamu kama mama mjamzito alikuwa anashiriki matendo hayo au la, iwe wakati wa kujifungua au wakati mwingine wowote. Na tena makunga si kazi yao kuchunguza vitu hivyo na hawana ujuzi na utaalamu au vipimo vya kuchunguza hayo.
Na tena wakati wa kujifungua hakuna uhusiano wowote unaohusisha kutoka mtoto na njia ya haja kubwa japo ni viungo ambavyo vipo karibukaribu. Na tena hakuna hali imbayo hupata mama wakati wa kujifungua ambayo huwalazimu manesi wajaze pamba sehemu hiyo kama ulivyosema!
Nakushauri kama una ushahidi wa kutosha lalamika kwa mkuu wa hiyo hospitali kwa maandishi na dai fidia. otherwise wafungulie mashitaka kwa kosa la kukudhalilisha wewe na mkeo, kwa kitu ambacho hawawezi kukitolea ushahidi.
Ho huenda wamembadilisha mtoto sasa wanatafuta mazingira ya kuonekana mtoto huyo si wa kwako na kwamba mkeo si muaminifu! Mkeo unamjua vizuri kama ana tabia hiyo ungeshamjua toka zamani manesi!!!!!!! wasikie tu! kwa kutengeneza ishu. Wanaweza kubadili mtoto wa jinsia fulani toka hospitali ya Mwananyamala hadi Temeke na mzazi asijue, hapo usifanye haraka kutoa maamuzi badala ya kufurahia mtoto unakuwa ugomvi, be careful!
Bujibuji huo ni uzembe mkubwa, haiwezekani ukashindwa kujua mkeo kama alikuwa anagawa tigo yake nje!ukiwa unasex na mkeo kama huwa analiwa tigo nje utajua tu, there are some signs..........we vipi bana bujibuji acha uzembe!
we mbea hebu toa uthibitisho wapi imetokea, wewe inaonekana ni mmoja wapo wa wanaotumia mtandao huo wa tigo. Wapo wasichana wengi tu wanatabia hizi yeye anagawa tigo ili akiolewa aonekana ni bikra, na hii ni common sana kwa waznz, wahhindi na waarabu kutokana na sheria zao za kiimani na mila. Mattokeo yake wakati wa kuzaa wanaanza kutoa 1st twin (kinyesi) na anashindwa kusukiuma mtoto ila yanatoka mavi tu na ukihoji wanasema. Acheni kutumia huo mtandao