Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Wewe umekuja hapa JF kumdhalilisha mkeo tu, hakuna jingine. Kwanini usiyamalize wewe na mkeo, uko uko nyumbani kwenu, au kwanini usiwaite wazee wake na wako mkayaongea? Kuyaleta hapa adharani ndio iweje mkuu?
Sasa ndugu yangu wengine station hii redio haishiki kabisa ...............utafanyaje........... mi naona mauzauza tu hapa:lying::doh:Umenikumbusha tabia ya wapemba!!!Kama nimpemba au asili ya kiarabu usishangae kwani nilazima akutwe na bikra hivyo hakukosea ni mila nadesturi yao wewe endeleza shamba pale ulipolikuta lasivyo aliyelianzisha ataendelea kulilima kama wewe hutaki kulipalilia!!jifunze kutokana na makosa!!:smile-big:
Na si kumdhalilisha tu mkewe, amejidhalilisha hata yeye mwenyewe!na ni moja ya sheria za JF kutodhalilishana
kwanza hapa maadili ya kazi hayakuzingatiwa
hata kama ana tatizo na ana fanya vitendo hivyo kweli, ni suala baina ya mgonjwa na daktari/mhudumu wake, sio kwenda kumwambia mume.
itifaki ya tiba haikuzingatiwa.
Sasa ndugu yangu wengine station hii redio haishiki kabisa ...............utafanyaje........... mi naona mauzauza tu hapa:lying:
Kaka hapo ni jino kwa jino. nwe kamata demu wa mtu mpe kitu. Acha kulalamika, mkaribishe wifu home na kiumbe chake lakini hasira zote ziende kwa wake wa majirani zako
Hahaha hhhhhha ........... nacheka mwenyewe hapa jamaniUnaonaje akianza na mkeo/mumeo?
I second that, unajua hapo, hiyo information inaweza ikawa ndio mwisho wa hiyo familia ........ God forbid ......mie kwanza ningeanza kwa kuwashitaki ma nesi .........................mameniondolea amani wakati kimsingi kazi yao haiwaruhusu kunipa mie maelezo hayo 😀
Hahah .......... hii baiskeli ni ile ya uwanda wa sita kwa sita au nyingineSidhani kama itasaidia. Cha muhimu hapo ni wewe kuyamaliza na mkeo, akwambie kama huo mlango wa chai maharage ulitanuliwa na baiskeli au kazi nzito za shambani
GFM..........haya ni maji yamezidi unga mwenzangu hata sijui nsemeje.................nway pole Buji buji inaelekea hamkuwa wazi to each other toka mwanzo.........but mh angeanzaje kukwambia kuwa alienda kinyume??
But hapa nimepata somo ...........una uhakika kuwa tangu umekutana naye amekuwa mwaminifu kwako? Kama ndio ina maana hii ni hayo ni madhara ya miaka miwili sijui mitatus kabla hujamwoa. Kama ni ndio basi ina maana yale marinda huwa hayarudi sehemu yake hata ufanyeje............si kama voda ambayo ikishamaliza upiga credits hurudi na kuwa intact??
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
Mhhh.....! Aidha, pole sana, na umuombe Mungu akupe nguvu na faraja kwa kipindi hiki kigumu....! Lakini nina shaka na ukweli wa tukio hili, kwa maana ingelikuwa ni mimi hata nisingekuwa na nguvu ya kuandika kama wewe ulivyoweza....! Lakini pia kaa chini, utulie kama mwezi bila kutoa maamuzi yoyote, hadi upate nguvu ya kufikiria juu ya tukio hili....!Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
PHP:
Mkuu nakupa pole sana mapenzi yana asarikubwa najuakiasigani unaumia lakini mkuu kapime na ukisalimika peleka kwao akalee mtoto huyo sio binaadm wakawaida mchezo mchafu huo kaka FUNZALIKISHA ingia halitoki ama utakuwa na ndoa msumari kwakuwa wewe simchezo wako mungu akuepuche na uchafuhuo mpetalaka bila kuangalia nyuma hakufai manesi hawaongopi
Mke wangu mpenzi, nimemtoa kijijini.
Nimemuoa akiwa na bikira yake, hapo mwaka juzi mwishoni.
Mwaka huu Mungu akatusaidia, akabeba ujauzito.
usiku wa kuamkia leo kajifungua katoto kazuri ka kike.
Nilipoenda kumsalimia, nikapokelewa na manesi wenye hasira, wamenitukana sana na kunidhalilisha eti mi nimemuharibu mke wangu kwa kumwendea kinyume na maumbile.
Kwa kweli sijawahi kumfanya hivyo hata mara moja, na wala sina tabia hiyo.
Je nimfanye nini huyu mama watoto wangu?
Hebu zitaje hizo sign?Bujibuji huo ni uzembe mkubwa, haiwezekani ukashindwa kujua mkeo kama alikuwa anagawa tigo yake nje!ukiwa unasex na mkeo kama huwa analiwa tigo nje utajua tu, there are some signs..........we vipi bana bujibuji acha uzembe!