Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 679
- 1,295
Jioni baada ya kutoka mihangaikoni nimekaa geto, nikitafakari siku yangu imeendaje. Wakati huo wa kutafakari huwa napenda kusikiliza muziki na miziki yangu mara nyingi ni Hip Hop na Reggae ila leo nikaamua nisikilize Gospel.
Dah, siku yangu imeisha vizuri mnoo. Hawa wamehusika kuniburudisha;
~ Mwahangila
~ Mwisabwite
~ Mwaitege
~ Muhando
~ Boaz Danken
~ Sifael Mwabuka
Dah, ila Mwahangila ni fundi sana na ana kwaya inaimba ni balaa.
Dah, siku yangu imeisha vizuri mnoo. Hawa wamehusika kuniburudisha;
~ Mwahangila
~ Mwisabwite
~ Mwaitege
~ Muhando
~ Boaz Danken
~ Sifael Mwabuka
Dah, ila Mwahangila ni fundi sana na ana kwaya inaimba ni balaa.