Nimfanyaje huyu dada? Yamenikuta leo asbh

Hekaya za Abunwasi............................................
 
Chief acha umalaya, kwa nini uwape lift kina dada tu, acha ufataki utakufa.
 
Nakujibu kutokana na uzoefu binafsi. Huyo ni changudoa. Na ukimuendekeza kuna siku atakuumbua utajuta sana. Machangudoa kitabia hawana heshima hata chembe, na silaha yao kubwa hasa kwa mtu anayeonekana ana 'heshima zake' ni blackmail.
 
kwann siti yake ya mbele umpandishe mwingine loh! na mwenzio alishaizoea na pengine alishasema mungu amemletea mume jamani.............umeua ndoto za mwenzio jamani cpati nega usiku wake mana nina uhakika hajalala kabisaaaaaaaaaa mawazo chungu mzima ............angalia asije mpiga jirani yako kipapai kwa kuzani anamzibia riziki
 
Chief acha umalaya, kwa nini uwape lift kina dada tu, acha ufataki utakufa.

Kutoa lifti ni umalaya??? Hii sijapata kusikia! Lifti ni kitu cha kawaida na watu wa jinsia zote huwa wanaomba lifti, ila kwa huyu dada kesi yake imekuwa ni tofauti kabisa ndiyo maana nikaileta kwenu.
 
Hilo halikuhusu wala lisikupe presha,utapata presha kama utakuwa na lengo na mmoja wao!
 
anachohitaji ni kupigwa machine na wewe kama mwanaume lazima ulikuwa umeshagundua sema ukampotezea.
 
sometimez huruma zetu zina2ponza, we mpotezee 2 and next tym hta ukikutana na wa aina gan we huruma weka kando. kma vp apande daladala. pole mkuu ndo binadamu walivyo!
 
Khaaa ! Mimi hapo kidogo nahofu kwann uwe unawapa lift wadada 2 ? Mtaan wenu hakuna masela.
 

tatizo ni wanawake unaokutana nao.do not generalize kuwa wanawake wanawivu wakijinga kama huo upuuzi wa huyo dada.wivu wa mume ni wakawaida hata mungu alimwambia mwanamke utakuwa na wivu kwa mumewe ila sio kiboyfriend.sema baadhi ya wanawake.me binafsi sina wivu.....mwombe mungu upate mwanamke ambaye hana wivu utaenjoy
 
inaonekana gari yako ina tinted kama usiku.!achana nae,u have nothing to lose
 
Du mzee kama kweli nia yako ilikuwa ni kumsaidia tu nahaujamuelekeza upande mwingine huyo achana naye kabisa maana hamjuani sasa tatizo liko wapi, ila basi kama ulisha changanya habari ukaingia sector zingine tubu kwanza kwa Mungu na kwake pia alafu ubadilikee mtu wangu hali hiyo sio! Na kingine umeoa? kama umeoa Chunga sana maana huyo anaweza kuhatarisha nyumba yako.
 
Achana nae kaka....japo hajafanya ustaarabu. Hakupaswa kusonya.
 
Pole sana braza. Shukrani ya punda mateke. Usipokuwa na gari tabu, ukiwa na gari tabu! Angggrrrh! Ipotezee, huyo demu hafai hata kwa kurumangia mtu wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…