Alidhamiria huyu, mimi nilishawahi piga maji Vibaya na mke wangu alikuwa Safarini zaidi ya mwezi mmoja nilikuwa na ukame wa kutisha, mbaya zaidi mdada wetu wa nyumbani alikuwa mzuri na hajatulia akawa ananiwekea mazingira nimwingilie mbona nilimuasa na kumgombeza asinifanyie hivyo kaka yake kesho yake alitoroka kwenda kwao maana hakuona mahala pa kuiweka sura yakeMsisingizie pombe ni umalaya wenu ebooo mbona wengine tunakunywa na hatufanyi upuuzi kama huuu
Mbona hapo kwenye rangi nyekundu pana tofauti kubwa sana na hapa pa bluu..!
Join Date : 3rd August 2011
Posts : 3
Rep Power : 0
kitufe cha thank you hakipo,ila kula tano.vitu vyengine sio sifa,ni aibu hasa kuulizaYaani mke wako anauguza ndugu yenu na amelala hospitali wewe unaacha watoto na unakwenda kunywa hadi masaa ya lala salama? Umesahau ndugu ya mke wako ni wenu wote..na umesahau watoto..na umekumbuka pombe na HG?
Yaani bila aibu umeweza kuandika hapa.. duh! inataka moyo sana!
Akiula huo mzigo ndio atakuwa katika hatari kubwa!kaka kwa usalama wako ni lazima ukomae ule mzigo huo,, ama sivyo uko kwenye hatari kubwa
<br /><br /><br />
<br /><br />
akaze moyo wa nini? Kama ni pombe mbona anakumbuka muda aliorudi nyumbani,<br />
.... mbona anakumbuka kuwa alimwomba akakataa,<br />
.... mbona anakumbuka alianza kumlazimisha?<br />
Acheni ufala, na huyo housegel angekuwa na akili kama yangu ishu ni dharau mtindo moja, asubuhi kuamka sa 3, kuosha vyombo sa 6 kudeki sa 10, angekoma kweli.
Wandugu kwema?
Jamani mimi ni mdau wa humu siku nyingi sana ila nimekutwa na makubwa mwenzenu.
Siku tatu zilizopita mke wangu alikuwa amelala hospitali akimuuguza ndugu yake. Baada ya mimi kuwa huru basi nakaamua kutandika maji ile kisawasawa. Nilirudi majira ya saa tisa usiku nikiwa niko bati. Nilivyofika nyumbani dada akanifungulia mlango. Akili yangu ikanituma nimuombe dada penzi. Yule dada akawa mkali sana, nikajaribu kumlazimisha kwa kumshika akaning'ata mkono na kukimbilia chumbani kwake.
Basi nikaogopa watoto wasije wakaamka kwani walikuwa wamelala na bibi yao yaani mama yangu. Huyu dada sasa hivi namwona aibu na ninaogopa asije akamwambia wife. Shida ninayoipata nikamsalimia haitiki, nikimtuma kitu hafanyi kwa kweli ananidharau sana. Pia inabidi niwe karibu na wife mda wote kwani naogopa asije akamwambia.
Nimeomba ushauri kwa baadhi ya marafiki wengine wananiambia nikitaka niwe salama eti nihakikishe natembea nae na wengine wananiambia nimshawishi mama tumfukuze kazi.
<br />Mbona hapo kwenye rangi nyekundu pana tofauti kubwa sana na hapa pa bluu..!<br />
<br />
<font color="#0000cd">Join Date : 3rd August 2011<br />
</font><font color="#0000cd">Posts : 3</font><br />
<br />
<font color="#0000cd">Rep Power : 0</font>
<br />Alidhamiria huyu, mimi nilishawahi piga maji Vibaya na mke wangu alikuwa Safarini zaidi ya mwezi mmoja nilikuwa na ukame wa kutisha, mbaya zaidi mdada wetu wa nyumbani alikuwa mzuri na hajatulia akawa ananiwekea mazingira nimwingilie mbona nilimuasa na kumgombeza asinifanyie hivyo kaka yake kesho yake alitoroka kwenda kwao maana hakuona mahala pa kuiweka sura yake
Msisingizie pombe ni umalaya wenu ebooo mbona wengine tunakunywa na hatufanyi upuuzi kama huuu