Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
- Thread starter
-
- #81
Jamani hizi nyege gani we kaka, dah na hivi ndio natoka safari sijui dada keshamegwa? wanaume jamani kwa nini hamna uvumilivu.yaani unataka kulala na dada wa ndani kwani huko bar hukuona wadada webgine,kama ni hizo ny... zilipanda?
Wandugu kwema?
Jamani mimi ni mdau wa humu siku nyingi sana ila nimekutwa na makubwa mwenzenu.
Siku tatu zilizopita mke wangu alikuwa amelala hospitali akimuuguza ndugu yake. Baada ya mimi kuwa huru basi nakaamua kutandika maji ile kisawasawa. Nilirudi majira ya saa tisa usiku nikiwa niko bati. Nilivyofika nyumbani dada akanifungulia mlango. Akili yangu ikanituma nimuombe dada penzi. Yule dada akawa mkali sana, nikajaribu kumlazimisha kwa kumshika akaning'ata mkono na kukimbilia chumbani kwake.
Basi nikaogopa watoto wasije wakaamka kwani walikuwa wamelala na bibi yao yaani mama yangu. Huyu dada sasa hivi namwona aibu na ninaogopa asije akamwambia wife. Shida ninayoipata nikamsalimia haitiki, nikimtuma kitu hafanyi kwa kweli ananidharau sana. Pia inabidi niwe karibu na wife mda wote kwani naogopa asije akamwambia.
Nimeomba ushauri kwa baadhi ya marafiki wengine wananiambia nikitaka niwe salama eti nihakikishe natembea nae na wengine wananiambia nimshawishi mama tumfukuze kazi.
Tatizo lako ushazoea kubaka inaelekea angekuwa mkeo yupo hme ile kufika bed tu ungemparamia huo pia ni ubakaji kama ulikuwa hujui,yani hata aibu huoni unaomba penzi kisa mkeo hajupo for some few daiz akisafiri si utamuomba mpaka mwanao wa kike?ol in ol mwisho wa ubaya ni aibu
Lulu mbona umekuwa mkali bana,,, nini zaidi, jamaa si alikuwa bati kasema!!!acha tuisingizie pombe tu hapa....
<br />lazima uelewe kiasi cha pombe unachotosheka sio kulewa bila mpangilio. pombe sio chai; siku moja utaweza kummbaka mwanao na hata mama yako mzazi pia ukimfananisha na mkeo.<br />
<br />
funda moja la ziada litakuumbua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!jitambue!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Dada mbona unanisimanga? Ilikuwa ni ulevi tu
Nimesoma comments zote, wengine wamenidharau, wengine wamenitukana ila mimi nimeongea ukweli and I dont know what to do. Kama una lolote la maana la kuniambia plz let me know.
<br />Dada mbona unanisimanga? Ilikuwa ni ulevi tu
Tatizo lako ushazoea kubaka inaelekea angekuwa mkeo yupo hme ile kufika bed tu ungemparamia huo pia ni ubakaji kama ulikuwa hujui,yani hata aibu huoni unaomba penzi kisa mkeo hajupo for some few daiz akisafiri si utamuomba mpaka mwanao wa kike?ol in ol mwisho wa ubaya ni aibu
Wandugu kwema?
Jamani mimi ni mdau wa humu siku nyingi sana ila nimekutwa na makubwa mwenzenu.
Siku tatu zilizopita mke wangu alikuwa amelala hospitali akimuuguza ndugu yake. Baada ya mimi kuwa huru basi nakaamua kutandika maji ile kisawasawa. Nilirudi majira ya saa tisa usiku nikiwa niko bati. Nilivyofika nyumbani dada akanifungulia mlango. Akili yangu ikanituma nimuombe dada penzi. Yule dada akawa mkali sana, nikajaribu kumlazimisha kwa kumshika akaning'ata mkono na kukimbilia chumbani kwake.
Basi nikaogopa watoto wasije wakaamka kwani walikuwa wamelala na bibi yao yaani mama yangu. Huyu dada sasa hivi namwona aibu na ninaogopa asije akamwambia wife. Shida ninayoipata nikamsalimia haitiki, nikimtuma kitu hafanyi kwa kweli ananidharau sana. Pia inabidi niwe karibu na wife mda wote kwani naogopa asije akamwambia.
Nimeomba ushauri kwa baadhi ya marafiki wengine wananiambia nikitaka niwe salama eti nihakikishe natembea nae na wengine wananiambia nimshawishi mama tumfukuze kazi.