KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,651
- 6,104
Lakini lazima nimuonyeshe kwamba amenikosea, na hivyo lazima apate adhabu japo kidogo!
Utampa adhabu gani? Si ndo utanuua kabisa naye? Na pengine utamuathiri kisaikolojia. Hapo alipo hajakuona na hajui ukirudi utamfanyaje. Hyo ni adhabu tosha. Time heals, msamehe tu na ndipo Mungu atakapofungua mibaraka.