SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
- Thread starter
- #141
Wewe ndio una utuMkongwe unakosa utu na utulivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio una utuMkongwe unakosa utu na utulivu
Mzee mwenzangu kuna mambo mengine ni Self Golden Chance , haina haja ya excuse aiseeMkongwe unakosa utu na utulivu
Mungu ambahatishie...sikuhizi kupata ndoa si ushindi....kuitunza mpenzi....For sure humu Kuna wanaume wazuri,smart
Wa ovyo piawapo
Kwa Mimi nina ushuhuda Kuna rafikyng anaona next month na bint wa humu humu mahusiano hayajuchukua hata mwaka
Sali sana my dear mapenzi ni ya walioshiba 😀😀



Mi mwepesi kuomba msamaha hasa nikijua nimeyumba mahali ila hapo Wala hata nasoma tu kaandika nn nalike napita hvMzee mwenzangu Mpaji Mungu muombe msamaha huyu Bibie bado analo na atalala nalo na inawezekana likamkaba na kumtoa uhai![]()
Muombe msamaha huyu Bibie bado analalamika aiseeMi mwepesi kuomba msamaha hasa nikijua nimeyumba mahali ila hapo Wala hata nasoma tu kaandika nn nalike napita hv
Kukutana na Aaliyyah sio kama unaenda kukutana na Mwavita Chupikubwa huyo mtoto ni next level unaweza enda na boda boda yako mkapoteana aibu si aibu fedheha si fedhehaMzee mwenzangu kuna mambo mengine ni Self Golden Chance , haina haja ya excuse aisee
Umeingia kwenye trap yake?Muombe msamaha huyu Bibie bado analalamika aisee
Sijui mimiFor sure humu Kuna wanaume wazuri,smart
Wa ovyo piawapo
Kwa Mimi nina ushuhuda Kuna rafikyng anaona next month na bint wa humu humu mahusiano hayajuchukua hata mwaka
Sali sana my dear mapenzi ni ya walioshiba 😀😀
Aiseee halafu msala wa Boda ukabaki nao mwenyewe, Kusema kweli Aaliyyah hata ile kwa kufanya imagination unagundua kwamba huyu ni Mzuri sana Kimuonekano hata kiroho...Kukutana na Aaliyyah sio kama unaenda kukutana na Mwavita Chupikubwa huyo mtoto ni next level unaweza enda na boda boda yako mkapoteana aibu si aibu fedheha si fedheha
Ukitaka nimsamehe niambie geresa nini
Umeingia kwenye trap yake?





Usimwombe naenda kumtambikia namchuna namtema mie geresa ngoja ataona na wala sio lazima awe na mimi kimapenziMzee mwenzangu Mpaji Mungu muombe msamaha huyu Bibie bado analo na atalala nalo na inawezekana likamkaba na kumtoa uhai![]()
Inawezekana Ubavu wake unao wewe, tulia atakuomba tu msamahaUsimwombe naenda kumtambikia namchuna namtema mie geresa ngoja ataona na wala sio lazima awe na mimi kimapenzi
Afadhali maana Wapemba hawanaga vichwa vya vilevi wakionja birauli tu unaweza dhani wamekunywa pipa la vodka.Such a disaster hizo vurugu.Sheikh anaandikaga tu humu mambo ya -OH lakini sidhani kama anaonja
Hujui nnSijui mimi