#COVID19 NIMR: Tunafanyia utafiti dawa 7 za Kitanzania kama zinatibu Covid 19, chanjo za Magharibi bado hazijathibitika kukinga

#COVID19 NIMR: Tunafanyia utafiti dawa 7 za Kitanzania kama zinatibu Covid 19, chanjo za Magharibi bado hazijathibitika kukinga

Awamu hii;
Doctor wa PHd =Dokta Manyaunyau
Mungu atufungue kwenye hiki kifungo,
Wote tuitikie kwa pamoja Amen!!
 
Hawa ni mataahira nini?

Hakuna dawa ya Korona ila kuna kinga.

Chanjo ni kinga sio tiba na waache upumbavu.

Itafikia hatua hakuna kwenda nchi za watu bila ya chanjo
 
Huyu ni mpuuzi sana anaropoka ropoka ujinga utadhani hakwenda shule! Chanjo zinazotumika nchi za Magharibi hazijathibitisha kukinga Covid-19? Huu utafiti wa hii kauli zwazwa aliufanya lini na wapi?
 
Kati ya hizo ni ipi ilitumika kwa Mipango?

Maana nilisikia vibaya alitumia mtungi wa oxygen kwani malimao na mikaratusi shambani ilikua imeisha vipi kuhusu dozi ya kwa mswati si wangetuma ndege nyingine.

Na hao NIMR kama dawa zao haziimpi mgonjwa oxygen mpaka atumie mtungi wa mabeberu wanakazi gani hapa nchini?
 
Unasema chanjo hazifanyi kazi wamefanya uchunguzi gani au hata wamepinga kitu gani hasa maana chanjo zote utafiti uko wazi!!
 
Huyu ni mpuuzi sana anaropoka ropoka ujinga utadhani hakwenda shule! Chanjo zinazotumika nchi za Magharibi hazijathibitisha kukinga Covid-19? Huu utafiti wa hii kauli zwazwa aliufanya lini na wapi?
Zilithibitishwa wapi?
 
Hujasikia huko nchi za Magharibi jinsi namba za maambukizi na vifo zinavyozidi kupungua kwa 80% katika nchi nyingi? Au Bwashee wewe ni TBC tu 24/7?
Hujasikia Japan wameionya China isithubutu kuwachanja raia wake?

Hapo Ufipa mpo tayari kwa chanjo ya China bwashee?
 
Hahahahahahaha wewe kweli bado sana Bwashee! Kama huelewi kinachozungumwa au kilichoandikwa uwe unauliza Bwashee! Aliyekudanganya China inawapa chanjo Wajapani ni nani Bwashee? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hujasikia Japan wameionya China isithubutu kuwachanja raia wake?

Hapo Ufipa mpo tayari kwa chanjo ya China bwashee?
 
Hahahahahahaha wewe kweli bado sana Bwashee! Kama huelewi kinachozungumwa au kilichoandikwa uwe unauliza Bwashee! Aliyekudanganya China inawapa chanjo Wajapani ni nani Bwashee? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani Watanzania waliopo China hawachanjwi?

Tuanzie hapo bwashee!
 
Back
Top Bottom