#COVID19 NIMR: Tunafanyia utafiti dawa 7 za Kitanzania kama zinatibu Covid 19, chanjo za Magharibi bado hazijathibitika kukinga

Mwisho niseme tu huku niliko nilipata Chanjo ya Moderna nina mwezi sasa na sijaona shida yoyote hadi sasa...sasa...
Kabla ya chanjo ulikuwa umewahi kuona shida yoyote kwako binafsi wewe kama wewe?
 
Kabla ya chanjo ulikuwa umewahi kuona shida yoyote kwako binafsi wewe kama wewe?
Sikupata shida yoyote niliona ni wasaa mzuri pia wa kujilinda kwa siku za usoni nikapata chanjo as long as nilishasoma na mechanism of action ya vaccine so haikunipa shida kutumia maana kila kitu kiko wazi na chanjo hii hata Rais ametumia...
 
Bichwa lako,
 
Wewe siku ukishuka ulaya ni rahisi sana kupasuliwa mali......nd
Maana hutaona ugumu wa kushusha suruari,
Na.kwa kuea jambo hilo kwa wazungu ni haki basi hutaona shida kupata hiyo haki.
 
Ongelea nafsi yako..usiongelee sisi.. inawezekana kuna mbumbumbu wengine kama wewe ila usitumie kauli za sisi watanzania, kuna wengine tunajielewa!
huo ndio msimamo wa sisi watanzania, wewe mtanzania wa marekani unaweza endelee na taratibu za chanjo huko ulipo.
 
Ondoa porojo zako hapa. Watu wanazungumza Sayansi wewe unaleta za kuleta ili mradi umeandika. Leta hoja kwa nini tukatae chanjo, madhara yake au athari tokezi kisayansi siyo porojo zisizo na mashiko
huo ndio msimamo wa nchi ya Tanzania, sasa nakushangaa wewe unazungumza kutoka nchi gani?
hatutaki kusika chanjo za majaribio hapa kwetu.Tz
 
huu ndio muda muwafaka wakuchuma pesa kama kikombe cha babu
 
Walizindua dawa yao ya NIMRICAF bila ya kufanya utafiti wowote.

Nashauri utoaji wa chanjo zote usitishwe Tz na tujikite katika tiba za asili.
 
angalia tbc
 

Sawa, nipe chanjo zilizoingia kwenye soko na 100% perfection unazozijua na ziliingia sokoni na percent ngapi? Just looking for impossible. Kasomeni ugunduzi wa chanjo mbalimbali ulivyokuwa, msihamishiwe U-paranoid tu.
 
Sawa, nipe chanjo zilizoingia kwenye soko na 100% perfection unazozijua na ziliingia sokoni na percent ngapi? Just looking for impossible. Kasomeni ugunduzi wa chanjo mbalimbali ulivyokuwa, msihamishiwe U-paranoid tu.
kwa kifupi chanjo za korona zilizo gunduliwa ktk kipindi hiki kuanzia 2020/2021 bado haziwezi kuwa "salama" na pia hazina uhakika wa kutibu kilicho kusudiwa.
kuna changamoto nyingi za kisayansi bado zina maswali mengi kuliko majibu. ndio maaana sisi watanzania tunasema hatutaki chanjo za majaribio kwetu, halafu badae tuanze kujilaumu.
kinacho fanywa na mataifa makubwa hivi sasa haswa yale yaliyo gundua ni kujaribu kutuliza tu hali ilivyo sasa duniani lkn kwa sasa bado hakuna chanjo ya uhakika na salama kwa maisha ya binaadamu.

hadi sasa chanjo zilizopo
1. BioNTech
2. Moderna
3. JJJ
zote hizo magumashi,
 

Jibu swali langu la msingi.
Don't be jumpy jumpy!
 
Ni mstaafu, lazima atetee contract yake. Otherwise akitumbuliwa hana cha kufanya zaidi ya kufuga samaki. Professor of aquatic science .....hahahaha
Kuna jamaa humu jf amesema mpaka uviko-19 tuagane nayo waTz wengi itawaacha uchi kielimu. Nikakumbuka na nchi fulani iliyofungulia simba kudhibiti wakiukaji wa lockdown!
Swali la kujiuliza mtaalamu wa wanyama kuongoza taasisi ya utafiti wa magonjwa na tiba ya binadamu. Hakuna wataalamu watafiti wa tiba ya binadamu? Bin Adam ni mnyama kweli lakini ni mnyama pekee anayeweza kusoma wanyama kiwango cha utaalamu. Utabibu wake umetenganishwa na wa wengine. Au waTz ni sahihi kama Reagan alivyosema kuwa ni ngedere?
Uviko-19 kweli ni zoonosis lakini pandemic hii ni ya binadamu. Prof yupo kwa mkataba. Angemtuma kijana kama ilikuwa lazima mtu atoke nimr. Wapate uzoefu. Aidha hiyo kazi ni yao wao wataalamu wa tiba ya binadamu. Au wote nimr ni zoologists? Kule veterinary kuna nani? Nchi ya uchumi wa kati lower wa vi-wonder!
 
Kwanza aliyekuambia chanjo ni dawa kuwa inatibu?

Pia kusema hamtaki means mnazo zenu je ziko wapi zileteni tufanye analysis za kitaalam..

Pia mbona chanjo kama BCG, Rotavirus, Mumps nk ziligunduliwa bila approval ya watanzani na zinatimika ila hakuna ya Tanzania?


Mbona ARV bado zinapokelewa kwa shehena za kutosha na hazitegenezwi Tanzania na hataviongozi wapo wanatumia
 
Inapendeza sana... nasi tuwe na dawa zetu kwa matakwa yetu..
 
Prof mjinga kuliko kabugi,toka lini huo uharo wake ukatibu covid..awamu hii imejaza maprof wenye akili za chikumbalanga
 
Kuna mtaalamu mmoja alieleza kuwa utafiti wa dawa au chanjo unahitaji miaka takriban 10 kupitia hatua zote muhimu na kuthibitishwa kama zinafanya kazi na hazina madhara kwa mwanadamu. Hivyo kama wameanza utafiti kwa dawa 7 kama wanavyodai basi tutarajie matokeo ya utafiti wao mwaka 2030.
 
Prof mjinga kuliko kabugi,toka lini huo uharo wake ukatibu covid..awamu hii imejaza maprof wenye akili za chikumbalanga
Hapana ndugu umetumia maneno makali sana! Ni habari njema kuwa wameanza utafiti wa hizo dawa 7 tuendelee kuwatia moyo wakamilishe utafiti huo na watupatie majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…