onjwayo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 1,356
- 1,309
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi ya nini? Huwezi kujibu hoja bila matusi? Sijatukana katu katika post yangu, umeamua kunitukana. Basi Mbuzi mama yako, muulize ninavyompandaIla wewe ni mbuzi
Unajua training ya NIMR scientists? Do they have the knowledge/ expertise to do necessary basic science related to this field of discovery??NIMR watafute dawa hicho walichotengeneza hata majumbani inawezekana watafate njia bora zaidi ya hiyo.
IlishathibitishwaShukrani sana kwa taarifa,ngoja tusubiri majibu ya mkemia mkuu.
Au vidonda vya tumboDuh.. pilipili kichaa tena? Mtu anayebanwa kifua si atakohoa sana?
Hatari kwa kweli.Halafu unaambiwa ni dawa! Unaweza kuisafirisha Dar hadi Kigoma huko Buhigwe then ikamsubiri Mteja? Tutakuja kuuana
It sounda like kiungo cha mboga tuu kama ilivyo tomato pasteTaasisi ya Utafiti NIMR imefanikiwa kutengeneza dawa lishe itakayowasaidia wenye maambukizi ya Corona kukabiliana na virusi hivyo.
Mkuu wa NIMR Prof Yunus Mgaya amesema dawa hiyo inasaidia kufungua kifua kwa wale wanaobanwa pumzi na kuwapa wepesi wa kupumua.
Prof Mgaya amesema dawa hiyo ina mchanganyiko wa Tangawizi, kitunguu maji, kitunguu swaumu, limao na Pilipili kichaa.
View attachment 1442912
Source: Channel ten habari!
Hapana Mgaya kwenye taarifa ya habari alisema walipeleka sample kwa Mkemia Mkuu ili aweze kucheck ubora wake ila watu waendelee kutumia kwasababu contects zake ni chakula hazina madhara yeyote.
Kabisa mie huwa natengeneza pilipili ya kusaga na mix na tangawizi ,vitunguu saumu naichemsha halafu naiweka kwenye friji naitumia kwa mda hata wiki mbili bila kuharibika mpaka inakwisha ila ya NIMR ni funga kazi ina expire FASTA.
Mzungu ameshindwa ngozi nyeusi ndio ataweza?
Uleta joto mwilini na kuupandisha joto
Habari njema sana.Lakini huyu prof Mgaya ni mtoto wa Mzee Mgaya?Taasisi ya Utafiti NIMR imefanikiwa kutengeneza dawa lishe itakayowasaidia wenye maambukizi ya Corona kukabiliana na virusi hivyo.
Mkuu wa NIMR Prof Yunus Mgaya amesema dawa hiyo inasaidia kufungua kifua kwa wale wanaobanwa pumzi na kuwapa wepesi wa kupumua.
Prof Mgaya amesema dawa hiyo ina mchanganyiko wa Tangawizi, kitunguu maji, kitunguu swaumu, limao na Pilipili kichaa.
View attachment 1442912
Source: Channel ten habari!