imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ngozi nyeusi hatupendi kuumiza kichwaMzungu ameshindwa ngozi nyeusi ndio ataweza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngozi nyeusi hatupendi kuumiza kichwaMzungu ameshindwa ngozi nyeusi ndio ataweza?
Mzungu ameshindwa ngozi nyeusi ndio ataweza?
Mzungu ameshindwa ngozi nyeusi ndio ataweza?
DuhKuliko kuzaliwa chini ya serikali ya ccm yuko sahihi
Ngozi nyeusi tuna akili kuliko wazunguMzungu ameshindwa ngozi nyeusi ndio ataweza?
Au mjusi MarekaniKwahiyo wanachadema wote wanatamani wangezaliwa mbwa ulaya [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Kwa kweli niwape pole tu makamanda [emoji23][emoji1787][emoji2960]Au mjusi Marekani
Mtindio wa ubongo ni tatizoMzungu ameshindwa ngozi nyeusi ndio ataweza?
Ikieksipaya inakua tamu zaidiKwa hiyo haifai na inadumu kwa mda gani toka imetengenezwa kabla ya ku expire.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole ya nini wakati mumeitafuna Nchi mpaka wananchi wamekata tamaaKwa kweli niwape pole tu makamanda [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Mkuu, usiidharau kabisa ngozi nyeusi aiseeMzungu ameshindwa ngozi nyeusi ndio ataweza?
Hakuna mwanainchi alie kata tamaa huo ni upotoshaji labda kwenu huko mtaa wa ufipa ndio mliokata tamaaPole ya nini wakati mumeitafuna Nchi mpaka wananchi wamekata tamaa
Watanzania asilimia kubwa sanaAnae tamani kuwa mbwa badala ya binadamu Ni chadema tu hakuna mwengine
Hakuna mwanainchi alie kata tamaa huo ni upotoshaji labda kwenu huko mtaa wa ufipa ndio mliokata tamaa
Duh.. pilipili kichaa tena? Mtu anayebanwa kifua si atakohoa sana?
Umekazania tusi hilo. Nawe basi umezaliwa na mbwaNaweza kuamini labda mbwa ni Bora kuliko wewe! Kwanini nasema hivyo kwa kukubali kwako tu kuwa ni Bora ungezaliwa mbwa ulaya kuliko ulivyozaliwa binadamu Tanzania siwezi kukupinga Wala sitakuita mbwa kwakuwa tu unatamani uwe mbwa