Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
..huenda zabuni akashinda Dr.Mwakyembe kama njia ya kumnyamazisha.
Masaki,
Vallambia alishalipwa fedha zake millioni 55. Lakini hapo katikati mfanyibiashara mjanja Nolan akakimbia nazo Ulaya. Yeye alitapeliwa na mwenzake na akarudi kudai tena serikali. Ndiyo maana benki ilikataa kumlipa hata baada ya kushinda mahakamani.
WanaJF wenzangu, utani kidogo kama Issa Michuzi alivyotuwekea kule kwake (copmliments to him and KP)
Naendelea kucheka manake KP ame "sum up" haya tunayoyaongea kwenye picha mbili tu...............
Kaaz kweli kweli!!!
Malindi, unapaswa kuelewa kuwa waungwana hapa hawataki blah blah. Hii habari ni nyeti kweli kweli lakini haina nyama za kutosha kuwafanya watu waamini moja kwa moja.
Ni kweli vita vya panzi ni furaha kwa kunguru na kama ni kweli yanatokea hayo tutafaidi mambo.
Lakini inaelekea unajua mengi zaidi ya haya uliyoeleza. Ubu mwaga mavituuuuuz zaidi.
Mpita njia, wewe mwenyewe unafahamu kuwa Bi Karume ni mmoja wa wana IMMMA kwa sasa. Waliazimia kuchota fedha za kidume mzoefu, hatua ya kwanza ni kumchomoa kwenye mrija... Wamefanikiwa lakini wao kutia mdomo imekuwa shida kwani aliyechomolewa hakubali. Kwa kifupi ni hivyo, ya zaidi tusubirie.
Oh! Analipwa kama kawaida. Ila kwenye taarifa ya leo kutoka kwenye kampuni hiyo kuhusu makala za Mwanahalisi wanasema amechukua likizo ya 'kisiasa'! ila yeye ni bado mmoja wa wamiliki na wenye hisa.
kwa hiyo bado anavuna matunda ya Tangold na Deep Green siyo? Hivi alikuwa hapa IMMMA wakati madili hayo yanaingiwa?
Malindi, unapaswa kuelewa kuwa waungwana hapa hawataki blah blah. Hii habari ni nyeti kweli kweli lakini haina nyama za kutosha kuwafanya watu waamini moja kwa moja.
Ni kweli vita vya panzi ni furaha kwa kunguru na kama ni kweli yanatokea hayo tutafaidi mambo.
Lakini inaelekea unajua mengi zaidi ya haya uliyoeleza. Ubu mwaga mavituuuuuz zaidi.