Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Hii Tanzania naona wanakula wenye meno na huku usalama wa taifa wakihangaika kujua nani anapost hapa JF! Huyu mkono ndiyo anatishia usalama wa taifa na ndiye angefaa achunguzwe na wala sio wana JF! grrrrrrrrrrrrrr