Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch

Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch

Jambo hili limekuwa likinichefua kila siku hapa JF, mara nyingi members, haswa senior members, walikileta habari hapa kuna mtu ataitilia walakini, watakuwa doubted and questioned- hii ina discourage watu kumwaga vitu hapa, hata kama member kasikia issue fulani kwa juu juu tu anachopaswa kufanya ni kuianzisha tu akiileta hapa na kutatokea mtu mwenye data zaidi na hivyo vidogo vidogo tunavyojua as individuals vinaishia kutoa habari kamili.
Tukumbuke kwamba wengi wetu hapa uandishi wa habari sio profession yetu na wala hili sio gazeti so its unfair to expect 'habari kamili' kila mara. Hebu fikiria hii habari kama ingeletwa na Senior member flani hapa mabavyo jinsi watu wangemmwagia 'thanks'.

KKN,

Usijali sana hapa mkuu kwani hata hao unaowaona senior members kuna wakati walikuwa juniors na walikuwa wakileta habari zao na zinawekewa doubts. Kuna wengi tu hata leo hii tukiweka habari hapa bado zinawekewa doubts.

Hii sidhani kama inaweza kudiscourage mtu yeyote mwenye uchungu na nchi. Haijalishi kama watu wanadiscourage au hawakupi thanks, kumbuka kuwa kama kitu unakiamini basi unaweza kukisimiamia mpaka mwisho na baadaye wale wenye hoja hafifu na wenye kukejeli wataondoka na hoja yako itasimama.

Tuendeleza mapammbano na mkuu malindi anaruhusa kabisa ya kuendeleza habari au story yake na so far naona watu wanachangia so dont worry about that. Discouragement ziko kila mahali na ukumbuke kuwa kuna wengine hapa kazi yao ni kuharibu kile kinachoandikwa na wenzao.

Asante
 
KKN,

Usijali sana hapa mkuu kwani hata hao unaowaona senior members kuna wakati walikuwa juniors na walikuwa wakileta habari zao na zinawekewa doubts. Kuna wengi tu hata leo hii tukiweka habari hapa bado zinawekewa doubts.

Hii sidhani kama inaweza kudiscourage mtu yeyote mwenye uchungu na nchi. Haijalishi kama watu wanadiscourage au hawakupi thanks, kumbuka kuwa kama kitu unakiamini basi unaweza kukisimiamia mpaka mwisho na baadaye wale wenye hoja hafifu na wenye kukejeli wataondoka na hoja yako itasimama.

Tuendeleza mapammbano na mkuu malindi anaruhusa kabisa ya kuendeleza habari au story yake na so far naona watu wanachangia so dont worry about that. Discouragement ziko kila mahali na ukumbuke kuwa kuna wengine hapa kazi yao ni kuharibu kile kinachoandikwa na wenzao.

Asante

Laana ya kuwaibia Watanzania masikini na kula kama mchwa itwakumba kila mmoja na kwa zamu kwa kweli watakiona .Hakuba buyu pesa liliweza kuwa pale juu miaka kadhaa ,sasa la CCM linaelekea kukatika .
 
KKN,

Usijali sana hapa mkuu kwani hata hao unaowaona senior members kuna wakati walikuwa juniors na walikuwa wakileta habari zao na zinawekewa doubts. Kuna wengi tu hata leo hii tukiweka habari hapa bado zinawekewa doubts.

Hii sidhani kama inaweza kudiscourage mtu yeyote mwenye uchungu na nchi. Haijalishi kama watu wanadiscourage au hawakupi thanks, kumbuka kuwa kama kitu unakiamini basi unaweza kukisimiamia mpaka mwisho na baadaye wale wenye hoja hafifu na wenye kukejeli wataondoka na hoja yako itasimama.

Tuendeleza mapammbano na mkuu malindi anaruhusa kabisa ya kuendeleza habari au story yake na so far naona watu wanachangia so dont worry about that. Discouragement ziko kila mahali na ukumbuke kuwa kuna wengine hapa kazi yao ni kuharibu kile kinachoandikwa na wenzao.

Asante

Hizo 'Thanks' siyo big deal lakini kinachoshangaza zaidi ni watu wanavyo kurupuka na kui label story ya mtu kuwa ni majungu na udaku.

Nadhani ni busara na utaratibu mzuri kwa member kusoma kile kilichoandikwa kwenye thread then kama kuna wanachotaka kufahamu zaidi wamuulize maswali mwenye kuanzisha hiyo thread na hata kama yeye hana majibu kuna uwezekano akatokea member mwingine akatoa majibu.
 
Hizo 'Thanks' siyo big deal lakini kinachoshangaza zaidi ni watu wanavyo kurupuka na kui label story ya mtu kuwa ni majungu na udaku. Nadhani ni busara na utaratibu mzuri kwa member kusoma kile kilichoandikwa kwenye thread then kama kuna wanachotaka kufahamu zaidi wamuulize maswali mwenye kuanzisha hiyo thread na hata kama yeye hana majibu kuna uwezekano akatokea member mwingine akatoa majibu.

Hiyo ni kweli kabisa na ninakubaliana na wewe katika. Mimi sina tatizo na thanks za watu kwani hazibadili sana ukweli au uongo kwenye post iliyowekwa hapa. Usijali sana ukiona watu wakipewa hizo thanks mia mbili au wengine wakianza kujipanga na kukosoa. Huu ndio mchezo wa JF na bahati mbaya ni kwamba ni vigumu sana kufunga watu na kuwaamulia cha kufanya.

Mimi ningeshauri kama mtu ana story na ana uhakika na kila anachojaribu kusema hapa basi afanye hivyo na hata kama watu wakidoubt story yake basi yeye aendelee kushikilia msimamo wake na kutetea hoja zake kwani mwisho wa siku hoja zenye nguvu hubaki zimesimama.

Asante mkuu!
 
Hizo 'Thanks' siyo big deal lakini kinachoshangaza zaidi ni watu wanavyo kurupuka na kui label story ya mtu kuwa ni majungu na udaku. Nadhani ni busara na utaratibu mzuri kwa member kusoma kile kilichoandikwa kwenye thread then kama kuna wanachotaka kufahamu zaidi wamuulize maswali mwenye kuanzisha hiyo thread na hata kama yeye hana majibu kuna uwezekano akatokea member mwingine akatoa majibu.

Sijasema kuwa kilichoelezwa ni udaku, nilichosema ni kuwa hiyo ni habari nyeti sana. Nikamtaka amwage vitu zaidi ili nasi ambao hatufahamu vya kutosha kuhusu vitu hivyo tufaidike.

Sikuwa na nia ya kumdiscourage mtu kwa sababu najua kuwa kwa mchango wake, na wa watu wengine, kibaba kitajaa na tutapata habari kamili. Tupo pamoja mkuu
 
Wasiwasi wangu mkubwa kwa sasa ni Serikali kutofanya kazi na Mawaziri na maafisa wengine wa ngazi za juu Serikalini kukaa kupanga jinsi ya kupangua kashfa za ufisadi zinazoweza kuwaandama wakati wowote.

Jamani, lets go back to work. Haya mambo ndiyo aliyofanya Kibaki wa Kenya na Raila wake for the whole of the past term in Kibaki's administration, kila kukicha ni kutafutana uchawi tu badala ya kufanya kazi.

Siku hizi hata magazeti hatusikii wakiandika habari za miradi yoyote ile mikubwa, kila mtu yuko bize kufichua mafisadi.
 
Haya maoni binafsi hayafai tunachjotaka ni uthibitisho wa hizi habari. Weka link hizi habari umezitoa wapi au sema wazi kuwa nililala nikaota habari hii. Longolongo kibao.
 
Kuna habari ambzo hazipingiki kwamba kuna vita kali kati ya makampuni wawili ya sheria tajwa. Inasemekana kampuni ya Mheshimiwa Mkono ina vita kali na IMMMA kwa sababu imefanya fitna mpaka ikaondolewa kwenye tender ya BOT. Pia inasemekana kwamba kwa mvuto mkubwa iliyo nayo kwa sasa (IMMMA) ina mpango wa kupewa nafasi iliyokuwa ikishikwa na Mokono.

Hali hiyo umepelekea Mkono kuapa kuwa atakufa na mtu! Yaani yuko tayari tenda hiyo aperwe mwingine lakini lakini sio fisadi Masha. Hali ni tete zaidi kwani Mvuto wa Masha kwa serikali kwa sas ni kubwa zaidi ya Mkono kwa serikali ya awamu hii ikizingatiwa na nafasi aliyo nayo. Vita hii imepelekea kuibuliwa kwa madhambi ambayo ambayo haiyumkini tukashuhudia mengi zaidi siku za karibuni hasa ukizingatia kwamba wanajuana vizuri.

Mkono na IMMMA Wote wana uzoefu wa kutosha na zile account zinazomwaga fedha kwenye benk kubwa ya nchi.

Tusubiri tuone vita ya panzi, sie yetu macho!!!


Aiyaaaah Umesha Pre-empty move muhimu sana aaah nyie watoto kwa ukimbelembele!
 
Wasiwasi wangu mkubwa kwa sasa ni Serikali kutofanya kazi na Mawaziri na maafisa wengine wa ngazi za juu Serikalini kukaa kupanga jinsi ya kupangua kashfa za ufisadi zinazoweza kuwaandama wakati wowote.

Jamani, lets go back to work. Haya mambo ndiyo aliyofanya Kibaki wa Kenya na Raila wake for the whole of the past term in Kibaki's administration, kila kukicha ni kutafutana uchawi tu badala ya kufanya kazi.

Siku hizi hata magazeti hatusikii wakiandika habari za miradi yoyote ile mikubwa, kila mtu yuko bize kufichua mafisadi.

Miradi mikubwa itatoka wapi wakati pesa yote imeishia na mafisadi?
 
"vita vya panzi ni furaha kwa kunguru" i like this quote..

Ulaji kwa wale wanasheria wadogo waliobaniwa kwa miaka mingi!! LOL..Sasa tusubiri tuone nani atapewa hii tenda..ningependa kwa kweli kuona smaller firms kujitokeza..swali je wanaexperience na expertise to handle such?? But then again in the Tanzanian system who needs expertise and experience...tutajifunza kazi tukishapewa..(Naona nimejijibu)

Ole wetu waTZ kama IMMMA na Nkono wataamua kugawana maeneo ya ulaji badala ya kuzozana. Cha moto tunachokiona sasa kinaweza kugeuka kuwa sawa na freezer
 
Kana ka Nsungu,
Malindi, unapaswa kuelewa kuwa waungwana hapa hawataki blah blah. Hii habari ni nyeti kweli kweli lakini haina nyama za kutosha kuwafanya watu waamini moja kwa moja.
Ni kweli vita vya panzi ni furaha kwa kunguru na kama ni kweli yanatokea hayo tutafaidi mambo.
Lakini inaelekea unajua mengi zaidi ya haya uliyoeleza. Ubu mwaga mavituuuuuz zaidi.

Mkuu binafsi sioni kosa ktk maelezo ya Mpita njia, nadhani kadadisi zaidi tupate yale aloyaficha kibindoni.
Pumua mkuu wangu pumua acha watu wamwange mavituzzzz!

Inaonyesha wazi mawakili wa TZ wanafaidika kishenzi imefikia hadi kutaka kutoana roho! Eeeeh ama kweli ngawila sii mchezo.
 
Siku hizi hata magazeti hatusikii wakiandika habari za miradi yoyote ile mikubwa, kila mtu yuko bize kufichua mafisadi.
Sio hivyo. Ila wewe pia kama una habari za maendeleo na miradi hiyo mikubwa na jinsi inavyokwamua andika nasi tutachangia. Miradi ya kitaifa kwa sasa si rahisi kuwepo kwani huoni kila kukicha 'wafadhili' wanafunga bomba la pesa.

Wao wanaziita serikali zetu ni kama 'bottomless pit'. Kwa hiyo ufisadi umetuonyesha kuwa pesa tunazo ila zinaelekezwa kusiko. Hiyo miradi ni ipi Kiwira coal, Richmond?
 
CCM wapigana mkwara ubunge 2010


*Asiyefanya kama Nimrod Mkono kutemwa

Na George John, Musoma

WAJUMBE wa Mkutano wa siku mbili wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) kinatarajia kufanyika leo kijijini Butiama, mkoni Mara, wamesema wabunge watakaogombea ubunge 2010 watapimwa kwa walichokifanya majimboni mwao.

Walisema hayo juzi walipokuwa wakikagua miradi iliyoanzishwa na Mbunge wa Musoma vijijini, Bw. Nimrod Mkono, na kuonesha kuridhishwa na miradi hiyo jimboni mwake.

Wajumbe hao kila mmoja kwa kauli yake, walielezea kuridhishwa na kazi kubwa zinazofanywa na Bw. Mkono ambaye pia ni mjumbe wa NEC, baada ya kutembelea sehemu ya miradi ya shule iliyojengwa kwa nguvu zake jimboni humo.

Walisema baadhi ya viongozi hasa wabunge, wamekuwa ving’ang’anizi wa kuomba kuteuliwa kugombea kila baada ya kipindi chake kwisha bila kujali kama wametekeleza Ilani ya CCM kama ilivyooneshwa kwa vitendo na Bw. Mkono.

Kutokana na hatua ya Mbunge Mkono, walisema hakuna sababu ya kumtuhumu kwa ufisadi, kutokana na kutumia sehemu kubwa ya mapato yake kuwapelekea wananchi maendeleo ya haraka kupitia elimu.

Huku wakionesha kushangazwa na ujenzi wa shule hizo za kisasa walizotembelea juzi, wajumbe hao walisikika wakisema kuwa mfano wa Mbunge Mkono ni wa kuigwa na viongozi wengine hata kama ni wezi wa mali za umma.

Wajumbe hao walisema hatua ya Bw. Mkono kujitolea kujenga shule kama hizo ni moyo wa kuiga, kwani hata kama alizipata bila halali lakini amezileta kwa wananchi badala ya kujali tumbo lake, kwani hata angekula au kuzipeleka nje asingeulizwa.

Naye mjumbe kutoka mkoa wa Kigoma, alimfananisha Mbunge huyo na nabii aliyeshushwa na Mungu kuwatumikia wananchi na kutaka kila kiongozi kuiga mfano huo, badala ya maneno ya majukwaani na wakati mwingine kuchafuana majina bila sababu.

Shule za Sekondari zilitombelewa na wajumbe hao wa NEC ni pamoja na Chifu Ihunyo, Oswald Mang’ombe, Chifu Wanzagi, Buturu na Kiabakari.

Wajumbe hao pia walitembelea eneo ambalo mbunge huyo anatarajia kujenga Chuo Kikuu cha Sayansi, ambacho kitakuwa na jina la kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
 
Is this man our moden day Robin Hoods or just another fisadi?

At least he is doing something good for the poor.
 
Huyu mheshimiwa yupo katika ile orodha ya mafisadi, kwa hiyo na yeye ni mchafu kabisa kama mafisadi wenzake.

Sina cha kujazia zaidi!
 
Jamaa anakwiba na kuwaanzishia miradi watanzania wenzake.
Kwa hili anastahili pongezi hata kama yuko kwenye list ya mafisadi.
 
Mh. Nkono yupo sharp sana katika kutafuta, hali kadhalika kuona ni jinsi gani anawewezesha hao wanaomweka katika system.

Wakati JK alipokuwa anatangaza ajila milioni, wataalamu wa ajila walitegemea kuwa moja ya sehemu ambazo zitaweza kutoa ajila hizo ni kwenye zao la Mkonge. Hadi sasa Tz inatumia asilimia ndogo sana ya zao hilo.

Kwa wale watumiao vinywaji vikali watakua wanajua tekila ni nini. Tekila hutengenezwa kutokana na mkonge. Nkono aliposikia hivyo aliamua kununua mikonge yote kwenye maboma ya huko Mara ili aweze kusafilisha malighafi hiyo ambayo inazidi kupanda soko.
 
Mh. Nkono yupo sharp sana katika kutafuta, hali kadhalika kuona ni jinsi gani anawewezesha hao wanaomweka katika system.

Wakati JK alipokuwa anatangaza ajila milioni, wataalamu wa ajila walitegemea kuwa moja ya sehemu ambazo zitaweza kutoa ajila hizo ni kwenye zao la Mkonge. Hadi sasa Tz inatumia asilimia ndogo sana ya zao hilo.

Kwa wale watumiao vinywaji vikali watakua wanajua tekila ni nini. Tekila hutengenezwa kutokana na mkonge. Nkono aliposikia hivyo aliamua kununua mikonge yote kwenye maboma ya huko Mara ili aweze kusafilisha malighafi hiyo ambayo inazidi kupanda soko.


Sasa tuelewe kwua Mkono ni fisadi? Mjasiriamali? au mfanyabiashara wenye akili?
 
Sasa tuelewe kwua Mkono ni fisadi? Mjasiriamali? au mfanyabiashara wenye akili?

Mkono ni Fisadi tu! ameshindwa kujisafisha kwenye ile "list of shame". Na hata Gavana Mpya Prof Ndullu ameshtukia hilo amesitisha mkataba wa firm yake (Mkono Advocate) na BoT. Huyu ulindwa wale wenje njaa, naye uwajua sana ni nani mwenye njaa ndani ya serikali na hata taifa!!
 
Mkono sasa ajitetea


Mkono defends Sh7.9bn pay from BoT
By Mkinga Mkinga


Mr Mkono, who is also the Musoma Rural MP, made the remarks in a telephone interview from the US.

�The CAG claims have been repeated for two years now but the fact is that there are people who want to use his office to undermine me politically,� he said.

He was responding to the 2006/7 CAG report which shows that his law firm, Mkono & Co Advocates, was overpaid by the Bank of Tanzania during the 2006/7 financial year.

�When the CAG is saying that I was overpaid, where does he base his findings because all payments were done according to the agreement entered between the two parties,� Mr Mkono told The Citizen.

He his firm was international recognised, adding that this could be the reason why the figures �don�t add up for the CAG�.

�I charge $500 (Sh600,000) an hour�I won the tender for BoT legal provision services, and I am surprised to see that today that the CAG is questioning my payments,� he said.

Mr Mkono added: �I don�t understand it when somebody says Mkono and Company advocates was overpaid by BoT, while all payments were done according to the agreed contract.�

"BoT was required to pay $500 an hour for three lawyers working in Dar es Salaam and $1,000 (Sh1.2 million) per hour for four lawyers working in Ireland and Czechoslovakia. On average they all work 8 hours a day and that is how the Sh5 billion was reached,� he clarified.

He said while the CAG claimed that his firm was overpaid, BoT had contracted another law firm at the cost of $700 (Sh840,000) an hour for senior lawyers and $500 for junior ones.

�I am aware that there are people who are trying to use the CAG�s office to implicate me in financial scandals, but they will never win this battle.�

According to the CAG�s report, BoT made excessive payments in legal fees to the tune of Sh5 billion to Mkono and Co Advocates as part of the charges for the firm�s handling of the Valambhia case.

Mr Ludovick Utouh said when unveiling the report in Dodoma last week that the amount paid to the Dar es Salaam-based law firm last financial year was twice what the company was paid previous year.

The amount is just the cost of defending BoT in a single civil case after BoT was ordered to pay businessman Devram Valambhia Sh60 billion.

In 2005/6, BoT paid a total of Sh2.9 billion to Mkono and Co Advocates as the cost of defending the central bank in the case that has dragged on for a decade now.

CAG says that under normal circumstances, the amount has already exceeded 10 per cent of the sum being disputed by BoT. This is according to advocate remuneration procedures.

Mr Utouh said when reached for comment: �We reached the conclusion after doing a comparison of what he (Mr Mkono) was paid compared to the value of the suit which is Sh60 billion.�

�These figures just don�t make sense as payments have gone beyond ten per cent of the actual value of the suit.� The CAG added

Asked to comment on allegations that his office was being used to tarnish the image of Mr Mkono, Mr Utouh replied, �We haven�t stated anywhere that he is corrupt�we have just presented the facts as we got them.�



Mh. Nkono, turudishie pesa yetu.

BoT overpaid advocate Mkono, says CAG report

TUMA ABDALLAH
Daily News; Monday,April 14, 2008 @00:03


THE Bank of Tanzania (BoT) made excessive payment of legal fees at the tune of 5bn/- to Mkono and Company advocates during the last financial year, as part of the charges for handling the Valambia case.

Controller and Auditor General (CAG), Ludovick Utouh, says in his report on the financial statements of Public Authorities and other bodies for the 2006/07 that the amount is twice as much of what was paid in the previous fiscal year (2.9bn/-).

"This makes the total payment made as of June 30th 2006 reach 8.1bn/-", he says. According to the CAG, the amount paid is already more than 10 per cent of the 60bn/- the case's contingent liability to the government.

"The bank may end up paying excessively high legal fees on the case, considering the fact that neither the outcome nor the time frame the matter will take is known," he cautions. Meanwhile, the CAG says that a number of parastatals have not repaid 175.3bn/- in loan issued under government guarantees.

"The reasons for failure to repay the loans and efforts of the guarantor in fulfilling the guaranteed conditions were not disclosed," he says. Mr Utouh warns that non- repayment of the loans may lead the government to bear the liability and loss of tax payer's money.

He urges the government and respective accounting officers to ensure the outstanding loans are recovered and remitted to relevant authorities. Mr Utouh's report also reveals an outstanding loan of 63.2bn/- issued to various beneficiaries.

It includes a 35.4bn/- SONGAS loan which TANESCO has defaulted to pay. Another 15.2bn/-, Mr Utouh says, is a TTCL loan which is being dealt with by the Technical Debt Management Committee (TDMC), under debt swap arrangements. "Efforts have been made to recover the arrears, including issuing reminder letters to concerned institutions," he says.
 
Back
Top Bottom