Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wa Musoma Vijijini Bw. Nimrod Mkono amesema kuwa yuko tayari kumtetea aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu endapo Gavana huyo atafunguliwa mashtaka katika mahakama ya sheria.
..Wakati huo huo, Katibu Mkuu wa Hazina Bw. Gray Mgonja amedai kuwa endapo uchunguzi utafanyika, basi wataonesha kuwa yeye ni safi.
Naye Mwanasheria Mkuu Bw. Mwanyika amesema kuwa anaangalia sheria za nchi ili aweze kuona ni sheria gani zinaweza kutumika katika kufuatilia na hatimaye kuwafikisha wale wanaotuhumiwa ubadhirifu katika Benki Kuu.
Askari wa K.A.R anajipanga sawa kwa mashambulizi. Mzee Mkono nasikia wateja wanamkimbia kwa kuhusishwa kwake na ufisadi, naona anachangamkia tenda mapemaaaaa.
Pundit,
Huyu mzee ni fisadi tu kama wenzake na huyo anayetaka mkumtete hana lolote,wezi tu hao.
Na hiyo ya wateja kumkimbia si kweli,WABONGO hatua utamaduni wa namna hiyo,zaidi zaidi watu watataka sifa ya kufanya wanamjua sanaaa.. ili waonekane na mtu maarufu.
la kwa kutaka aonekane msafi ataangaza kwamab wateja wan mkiambia ili watu wamuone msafi.
System is broken. That is why Mr. Mkono is strong believed nothing can be done. It is hard to fight against this guy, especial with broken system like the one we had.
I still wait and see what measures will Attorney general takes. To fight with Mkono is not a easy battle.
Naamini Mr. Mkono ana-deal na wateja wengi wa kimataifa ambao kabla ya kufanya business wanafuatilia rekodi za wanasheria.Hawa ndiyo nawaongelea,
He is still reviewing!I still wait and see what measures will Attorney general takes. To fight with Mkono is not a easy battle.
Wakati huo huo, Katibu Mkuu wa Hazina Bw. Gray Mgonja amedai kuwa endapo uchunguzi utafanyika, basi wataonesha kuwa yeye ni safi.
Mkono is right,
Kazi ya Law Firm yoyote ni exactly hiyo... sio kazi ya Law firm kuangalia mtu atakuwa guilt or not.
so there is no wrong doing for him to help Balali tuache unazi!
Ni kweli kabisa Mkono hata kama ni Mwanasheria na anahaki ya kumtetea mtu yeyote katika hili alipaswa kufikiri kidogo kabla ya kukurupuka na kuropoka.Kasheshe,
Lakini unasahau kwamba Nkono ni mwanasiasa, kwahiyo ungetegemea asikubali kuwatetea mafisadi. Lakini kwa Tanzania ambako mafisadi wako juu ya sheria, sishangai kusikia alichosema.
Ila angelikuwa huku majuu, na kama ni mbunge na akasema atamtetea fisadi, hiyo kampuni yake ingelikuwa kwenye matatizo makubwa sana.