Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
- Thread starter
- #341
sasa Keshamshitaki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakati wote tunajua kwa Ditopile alishuka kwenye gari lake akaenda kwenye basi na kumuua dereva wa basi, FULL STOP!
Inasemekana Mkono alikuwa analipwa na BOT wastani wa USD 400,000/- kila mwezi, hiyo ni aidha alikwenda Mahakamani au lah! Habari za ndani ya BoT zinasema aliyekuwa anaidhinisha malipo hayo ni Liumba (labda ndio maana kawekwa benchi). Kesi kuu ya malipo hayo ilikuwa ni ya mfanyabiasha wa kihindi aitwaye Valambiah, ambaye anaidai serikali dola milioni 55 kama malipo ya vifaa vya kijeshi alivyo "supply" kwa serikali mwishoni mwa miaka ya 80.
Valambiah alishinda kesi katika Mahakama Kuu katika miaka ya hivi karibuni, BoT wakasema hawawezi kulipa pesa zote hizo kwani watafilisika. Ndipo serikali ikakata rufaa kwenye Mahakama ya rufaa. Rufaa hiyo ndio ukawa mwanya wa baadhi ya watu kujichotea pesa za wavuja jasho.
Huo ni mrija wa kula pesa ya serikali inayotokana na jasho la walipa kodi.
..huenda Dr.Mwakyembe atashinda hii zabuni ya kuitetea BOT.
..ninavyoelewa mimi gharama za wakili zinaongezeka kulingana na kiwango cha madai ktk kesi/shauri.
..sasa gavana anatafuta unafuu kutoka wapi? waandishi wa habari hawaulizi maswali ya msingi.
NB:
Dr.Ndullu alikuwa board member wa BOT miaka ya 1990. kuna fedha zilipotea miaka ile. Watanzania tulipaswa kuhoji kama yuko credible enough kuchunguza hizi fedha zilizopotea wakati wa Balali.
Mkono,mkono,rudisha fedha zetu. Gazeti moja liliwahi kuripoti kuhusu kulipwa kwa kampuni hii visivyohalali na BOT.Mkono akaja juu sana na akaitisha mkutano pale habari/maelezo na akalitaka gazeti hilo kumwaomba radhi kabla ajalifungulia mashtaka. Baadaye akaona itakuwa balaa akatulia. Huko kwao Musoma,mkono ni kama kamungu kadogo,kumbe naye ni fisadi. Imakwisha rudisha ngapi?
Mkono ni Mbunge wa Musoma vijijini lakini yeye anadai mkoa mzima hakuna Mbunge wa maana ni yeye tu .So anajiita Mbunge wa Mkoa .Lakini u mungu zaidi ni maeneo yake ya Musoma vijinini huko majita , zanaki, Makutano ya juu,Butiana, maeneo ya Magorombe, Busegwe nkMkono,mkono,rudisha fedha zetu. Gazeti moja liliwahi kuripoti kuhusu kulipwa kwa kampuni hii visivyohalali na BOT.Mkono akaja juu sana na akaitisha mkutano pale habari/maelezo na akalitaka gazeti hilo kumwaomba radhi kabla ajalifungulia mashtaka. Baadaye akaona itakuwa balaa akatulia. Huko kwao Musoma,mkono ni kama kamungu kadogo,kumbe naye ni fisadi. Imakwisha rudisha ngapi?
Inasemekana Mkono alikuwa analipwa na BOT wastani wa USD 400,000/- kila mwezi, hiyo ni aidha alikwenda Mahakamani au lah! Habari za ndani ya BoT zinasema aliyekuwa anaidhinisha malipo hayo ni Liumba (labda ndio maana kawekwa benchi). Kesi kuu ya malipo hayo ilikuwa ni ya mfanyabiasha wa kihindi aitwaye Valambiah, ambaye anaidai serikali dola milioni 55 kama malipo ya vifaa vya kijeshi alivyo "supply" kwa serikali mwishoni mwa miaka ya 80.
Valambiah alishinda kesi katika Mahakama Kuu katika miaka ya hivi karibuni, BoT wakasema hawawezi kulipa pesa zote hizo kwani watafilisika. Ndipo serikali ikakata rufaa kwenye Mahakama ya rufaa. Rufaa hiyo ndio ukawa mwanya wa baadhi ya watu kujichotea pesa za wavuja jasho.
Huo ni mrija wa kula pesa ya serikali inayotokana na jasho la walipa kodi.
Masaki,
Vallambia alishalipwa fedha zake millioni 55. Lakini hapo katikati mfanyibiashara mjanja Nolan akakimbia nazo Ulaya. Yeye alitapeliwa na mwenzake na akarudi kudai tena serikali. Ndiyo maana benki ilikataa kumlipa hata baada ya kushinda mahakamani.
Masaki,
Vallambia alishalipwa fedha zake millioni 55. Lakini hapo katikati mfanyibiashara mjanja Nolan akakimbia nazo Ulaya. Yeye alitapeliwa na mwenzake na akarudi kudai tena serikali. Ndiyo maana benki ilikataa kumlipa hata baada ya kushinda mahakamani.
Tanzania Ordered to Pay Military Supplier $72 million
By FAUSTINE RWAMBALI
THE EASTAFRICAN
THE HIGH Court of Tanzania has ordered the Bank of Tanzania (BoT) to pay $72,234,821 to a Dar es Salaam businessman, Mr Devram Valambhia, for the supply of 830 military vehicles and equipment in the 1980s.
The contract to deliver the military equipment was between the government and an Irish registered firm, Transport Equipment Ltd, whose chief executive officer was Mr Reginald John Nolan, and the Tanzania businessman, Mr Valambhia.
The High Court ordered the government to pay the outstanding debt of $57,366,110 in 1991, but the then Minister of Finance, the late Ali Kighoma Malima, disregarded the order.
The court observed that Mr Nolan had come into the contract as chief executive officer of Transport Equipment Ltd and that any payment was supposed to be paid to TEL rather than to Mr Nolan in person, as Minister Malima had instructed. Mr Valambhia was TEL's local partner who held 45 per cent shares in the contract deal, while TEL held 55 per cent shares.
The order arises from a February 12, 1991 ruling in which Mr Valambhia was awarded $57,366,110 plus interest on the contract sum.
The ruling stated: "Pursuant to a contract between the Government of Tanzania and Mr Valambhia, dated April 25,1985, and that the government acting through the Ministry of Defence and National Service, and through the Bank of Tanzania, shall pay the proceeds as at June 10, 1989 together with interest, arrears, management fees direct to the defendant (Valambhia)."
However, BoT has since appealed against the ruling, with its counsel, Mr Bosco Kimela, questioning the legality of the order "as it was not served as per laid down legal requirements and that government property was not the subject of attachment because the BoT is the government's banker."
Its counsel said: "The applicants (BoT) are the government's bankers by law. They are required to administer the government's payment agreement ... but they can only do so upon instruction by the government and upon the existence of budgetary directions that enable the applicant to effectuate payments." The appeal comes up for ruling on September 21.
According to facts of the suit, TEL entered into an agreement with the government of Tanzania to supply military equipment on April 25, 1985. The equipment included 830 military vehicles between 1986 and 1987 and no down payment was made in respect of the contract price, which was Tsh42.2 billion ($46,915,170).
Mr Valambhia worked together with Mr Nolan, and BoT then paid some $3,250,000.
Mr Valambhia was entitled to a 45 per cent share of the payment, but later, Mr Nolan tried to impeach the agreement document.
A counter affidavit filed by Maira and Company Advocates for Mr Valambhia, says that the February 12, 1989 decree, which is the subject of the proceedings, has never been set aside by any revision or appeal by any higher court in Tanzania
"The obligation of the BoT to administer and make payments such as the one between TEL and the government of Tanzania is statutory and arises from Sec.54 of the BoT Act No. 1 of 1995 which is in force and the contention that BoT does not operate any government account for purposes of payments due to judgment debtor is without any basis or merit," the affidavit says.
"The government of Tanzania as we have stated ... has been very antagonistic to the decree holder and has formed an unholy alliance with the chief executive of the judgment debtor, Mr Nolan," Maira claims.
Maira cites the example of a $2 million payment to Tannol Holdings Ltd, a company not party to the agreement, when the matter was sub judice. Tannol Holdings Ltd belongs to Mr Nolan.
The affidavit further prays that the "conduct of the government of Tanzania, in particular the office of the Attorney General's Chambers and the Treasury, during this litigation and after attracts no sympathy from this honourable court."
And in the rejoinder affidavit to the reply to the counter-affidavit filed on August 9, Maira states: "A document entitled 'Instrument' executed by the former Minister for Finance, the late Kighoma Malima, on July 29, 1993, the government agreed to pay money directly to Reginald John Nolan instead of TEL as a company."
The 'instrument' states: "I, Kighoma Ali Malima, Minister for Finance of the Government of Tanzania, in exercise of powers conferred upon me under Section 20 of the Government's Loans, Guarantees and Grants Act No 30 of 1974, do hereby appoint Mr Frank Kejo, Principal Secretary to the Ministry of Defence and National Service of Tanzania to execute on my behalf, Addendum No.1 to the contract of April 24, 1985 between Transport Equipment Ltd of Dublin, Ireland, and Tanzania, which seeks to provide for full and final settlement of the outstanding claims of M/S Transport Equipment Ltd against the government of the United Republic of Tanzania."