Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch

Nimrod Mkono na Mkono Advocates watch

CAG hakusema kwamba hawakua na mkataba, ila huwezi kuuza ng'ombe kwa kesi ya kuku.
 
Mheshimiwa Mkono ungeenda kumtetea Chenge kesi yake Uingereza, maana zinalipa vizuri lakini bahati huyu mjanja ameshaajiri mawakili wa huko huko ulaya wamtetee.
 
Ninashangaa saana na utetezi alioutoa Mheshimiwa Mkono ...Tanzania ni nchi changa Mheshimiwa Mkono kama unataka kulipwa Dolar 600 kwa saa fungua ofisi yako Uingereza au America kama utapata hata kesi moja kusimamia wewe umesajilia Tanzania unalipwa kama mtanzania anavyolipwa, labda ufanye ujanja kama uliofanya.Huo ni wizi.

Kama ni nchi changa mbona tuna hela ya kulipa mtu $500 kwa saa? Tatizo sio Mkono, ni yule aliye mlipa. Binadamu wa kawaida akipewa tenda anaweza kusema hapana ndugu umenizidishia?
 
Kama ni nchi changa mbona tuna hela ya kulipa mtu $500 kwa saa? Tatizo sio Mkono, ni yule aliye mlipa. Binadamu wa kawaida akipewa tenda anaweza kusema hapana ndugu umenizidishia?

Kuhani Mkuu, ilishatolewa hoja huko nyuma kwamba kwa utaratibu wa fedha za Serikali, mdai anapeleka hati ya madai (Invoive) kwanza. Hivyo Mkono anahusika kwa kudai kiwango kikubwa na Maafisa wa BOT wanakosa la kulipa kiwango hicho cha juu.

Pia ni vema kujenga tabia ya kusema hapana ndugu umenizidishia! Nakumbuka habari moja kutoka China, jamaa alikwenda ATM kuchukua pesa kwa bahati mbaya mashine ya ATM ikakosea kwa kumzidishia kiwango. Yule Bwana akaenda na zile pesa bila kutoa taarifa. Mpaka hivi tunavyoongea alishanyongwa kwa kosa hilo kwamba ni kuhujumu uchumi wa nnchi.
 
Huyu ni fisadi tuu na DR.SLAA alisema zamani tangia september 15 2007 ,sasa mbona hakujitokeza kujibu anakuja kujibu leo eti kuna watu wanatumia CAG ofisi kumdhoofisha kisiasa.

Huyu ni fisadi tuu tena la kimataifa ,na hapo bado atakuja kutueleza na wabia wenzake wa benki M wametoa wapi mitaji kama si kugawana hizo hizo za BOT.

kama CCM inataka kupona isiendelee kupokea pesa za hawa mafisadi hadi watakapokuwa wamefikishwa mbele ya vyombo vya dola.

Hakuna jiwe ambalo litasalia juu ya jiwe kuhusiana na mafisadi wetui na haswa wale 11 wa awamu ya kwanza.

m,apambano yanaendelea mpka kieleweke......
 
Huyu ni fisadi tuu na DR.SLAA alisema zamani tangia september 15 2007 ,sasa mbona hakujitokeza kujibu anakuja kujibu leo eti kuna watu wanatumia CAG ofisi kumdhoofisha kisiasa.

Huyu ni fisadi tuu tena la kimataifa ,na hapo bado atakuja kutueleza na wabia wenzake wa benki M wametoa wapi mitaji kama si kugawana hizo hizo za BOT.

kama CCM inataka kupona isiendelee kupokea pesa za hawa mafisadi hadi watakapokuwa wamefikishwa mbele ya vyombo vya dola.

Hakuna jiwe ambalo litasalia juu ya jiwe kuhusiana na mafisadi wetui na haswa wale 11 wa awamu ya kwanza.

m,apambano yanaendelea mpka kieleweke......

Hiki kiburi chote wanapewa na Kikwete. Kama akiamua hata kesho kuchukua hatua kuna watu wangenyamaza kabisaaaa. Kama kashfa hizi sio sababu ya mtu kujiuzulu au kuchukuliwa hatua kali na uongozi wa nchi basi sijui nini kifanyike Tanzania ili sheria ichukue mkondo wake ..... ohh no nimekumbuka, ukiiba kuku au simu Tanzania, au kugomea masomo chuo kikuu, kuna nafasi kubwa sana ya kufungwa jela kuliko kuiba mabilioni ya watanzania.
 
Na swali moja tamu sana...tumekuwa busy kuuliza utajiri wa watanzania (blacks) lakini tulipo ambiwa bakhresa alianza kwa kuuza ice cream tulikubali...kama huu ndo wakati wa kuweka ufisadi adharani nadhani its time kumzungumzia mzee SSB from shoe shiner to multi billionaire..nashangaa ata forbes hawaja mu interview??
 
...ilishatolewa hoja huko nyuma kwamba kwa utaratibu wa fedha za Serikali, mdai anapeleka hati ya madai (Invoive) kwanza. Hivyo Mkono anahusika kwa kudai kiwango kikubwa na Maafisa wa BOT wanakosa la kulipa kiwango hicho cha juu.
Pia ni vema kujenga tabia ya kusema hapana ndugu umenizidishia!...

Nziku;
Nimesoma hoja zote za huko nyuma. Hapa kulikuwa na tenda halafu mkataba. Tusitake kusema kwamba Serikali ilipokea huduma kwa mtu bila kujua gharama kabla ya kutumiwa invoice. Kiasi cha $500 Serikali ilikuwa inakijua kabla Mkono hajaanza kazi. Sasa niambie Mkono kosa lake nini?

Na katika ile taarifa ya wakaguzi ni kwamba pesa zilizolipwa zilikuwa nyingi kuliko zilizolipwa mwaka. Hawajasema ni nyingi kuliko makubaliano au kuliko mawakili wengine wanavyo chaji. Isitoshe kulikuwa na tenda. Na hata jana wakaguzi wameongea tena, wakasema hawajadai kwamba Mkono ni corrupt. Wametoa uchambuzi wa hesabu tu. Na Mkono hawezi kusema ndugu mmenizidishia kwa sababu yeye ndie alipeleka tenda.
 
Nziku;
Nimesoma hoja zote za huko nyuma. Hapa kulikuwa na tenda halafu mkataba. Tusitake kusema kwamba Serikali ilipokea huduma kwa mtu bila kujua gharama kabla ya kutumiwa invoice. Kiasi cha $500 Serikali ilikuwa inakijua kabla Mkono hajaanza kazi. Sasa niambie Mkono kosa lake nini?

Na katika ile taarifa ya wakaguzi ni kwamba pesa zilizolipwa zilikuwa nyingi kuliko zilizolipwa mwaka. Hawajasema ni nyingi kuliko makubaliano au kuliko mawakili wengine wanavyo chaji. Isitoshe kulikuwa na tenda. Na hata jana wakaguzi wameongea tena, wakasema hawajadai kwamba Mkono ni corrupt. Wametoa uchambuzi wa hesabu tu. Na Mkono hawezi kusema ndugu mmenizidishia kwa sababu yeye ndie alipeleka tenda.

Taarifa ipi hiyo unayoiongelea hapa mkuu?
 
Taarifa ipi hiyo unayoiongelea hapa mkuu?

Taarifa ni hii kuhusu ripoti, na tenda, na mkataba, na muhimu zaidi, amezidishiwa malipo kulinganisha na mategemeo gani?

BoT overpaid advocate Mkono, says CAG report

TUMA ABDALLAH
Daily News; Monday,April 14, 2008 @00:03

THE Bank of Tanzania (BoT) made excessive payment of legal fees at the tune of 5bn/- to Mkono and Company advocates during the last financial year, as part of the charges for handling the Valambia case.

Controller and Auditor General (CAG), Ludovick Utouh, says in his report on the financial statements of Public Authorities and other bodies for the 2006/07 that the amount is twice as much of what was paid in the previous fiscal year (2.9bn/-).

"This makes the total payment made as of June 30th 2006 reach 8.1bn/-", he says. According to the CAG, the amount paid is already more than 10 per cent of the 60bn/- the case’s contingent liability to the government.

"The bank may end up paying excessively high legal fees on the case, considering the fact that neither the outcome nor the time frame the matter will take is known," he cautions.

Pamoja na hii hapa:

Mkono defends Sh7.9bn pay from BoT
The Citizen
By Mkinga Mkinga 2008-04-16


Mr Mkono made the remarks in a telephone interview from the US. When the CAG is saying that I was overpaid, where does he base his findings because all payments were done according to the agreement entered between the two parties, Mr Mkono told The Citizen.

I charge $500 (Sh600,000) an hour. I won the tender for BoT legal provision services, and I am surprised to see that today that the CAG is questioning my payments, he said.

Mr Mkono added: I don’t understand it when somebody says Mkono and Company advocates was overpaid by BoT, while all payments were done according to the agreed contract.

"BoT was required to pay $500 an hour for three lawyers working in Dar es Salaam and $1,000 (Sh1.2 million) per hour for four lawyers working in Ireland and Czechoslovakia. On average they all work 8 hours a day and that is how the Sh5 billion was reached, he clarified.

He said while the CAG claimed that his firm was overpaid, BoT had contracted another law firm at the cost of $700 (Sh840,000) an hour for senior lawyers and $500 for junior ones.

Mr Ludovick Utouh said when unveiling the report in Dodoma last week that the amount paid to the Dar es Salaam-based law firm last financial year was twice what the company was paid previous year.

In 2005/6, BoT paid a total of Sh2.9 billion to Mkono and Co Advocates as the cost of defending the central bank in the case that has dragged on for a decade now.

CAG says that under normal circumstances, the amount has already exceeded 10 per cent of the sum being disputed by BoT. This is according to advocate remuneration procedures.

Asked to comment on allegations that his office was being used to tarnish the image of Mr Mkono, Mr Utouh replied, We haven’t stated anywhere that he is corrupt, have just presented the facts as we got them.
 
A good capture of Mkono's bussiness from a foreigners perspective.


In Retrospect: Tanzanias Nimrod Mkono Benin Mwangi , African Path

Benin Mwangi
Website:http://www.africanpath.com.
Email:benin@africanpath.com


Several days ago I wrote a piece which praised two Tazanian business. One of them was the founding partner of the mega successful law firm Mkono & Co. After the story was published an anonymous commenter expressed concern that because of the cloud surrounding Nimrod Mkono's law firm and the Bank of Tanzania EPA scandal that he doesn't really deserve to get credit for giving Tanzanian business a good name.

I admitted that although I saw some mention of the BoT scandal, there did not seem to be a conviction or any conclusive evidence that he was personally involved in any corruption. After doing more digging on this issue I have managed to find enough English versions of the story to get a better understanding of what happened.

Here are a few summaries from different sources trying to describe what happened. I will let you decide whether based upon this Mr. Mkono would be less deserving of future accolades for his business achievements.

Background from Mraba Wa Maggid

"THE Bank of Tanzania (BoT) paid some 30.8 million US dollars (about 40bn/-) to a suspicious local company claiming to have been assigned debts owed to 12 foreign creditors in 2005, the 'Daily News' has learnt.

This is the subject of a special audit ordered by Finance Minister Zakia Meghji on the National Bank of Commerce External Payments Arrears (NBC-EPA) Account, which is administered by BoT on behalf of the government. Under the scheme, local companies negotiated settlement of foreign creditors’ debts and received deeds of assignments, which they presented to BoT for redemption in local currency.

According to a report by BoT’s external auditors last September obtained by this newspaper, the questionable payments in relation to debts owed by 12 European, Japanese and US creditors, were paid to Kagoda Agriculture Limited, which presented deeds of assignment signed between September 10 and November 3, 2005."

Mr. Jeetu Patel Possible Ring Leader


"PROMINENT Dar es Salaam business tycoon Jayantkumar Chandubhai Patel, who is also known as ’Jeetu’ Patel, is linked to the embezzlement of billions of shillings from the Bank of Tanzania (BoT)’s external payment arrears account, THISDAY can reveal today.

Patel has been verified as the owner of one of the companies listed as beneficiaries of a total of over 133bn/- fraudulently paid out by the BoT from the EPA account in 2005.

Investigations by THISDAY have established that Jeetu Patel owns Navycut Tobacco (T) Limited, one of 13 companies said to have received huge sums of money totalling more than 90.359bn/- using false and forged documents..."

Patel and Mkono are partners in Bank M

Being a leading member of the local business community, Patel’s array of business interests includes a hefty percentage of shares in the recently-launched Bank M (Tanzania) Limited, via another company he is linked to - Noble Azania Investments."

Bank of Tanzania Governor Sacked


Tanzania’s president Jakaya Kikwete has sacked the governor of Bank of Tanzania (BoT), Daudi Ballali following an audit of the central bank’s External Payments Arrears (EPA) account by an international audit firm Ernst and Young which revealed losses of over Sh133 billion through fraudulent transactions to 22 companies in 2005. Most of those companies were either phoney or tendered fake documents.

The decision to fire Ballali comes against the background of claims by the opposition camp in parliament from mid last year that large amounts of public funds were unaccounted for at EPA account in dubious deals. Led by MP Dr Willibrod Slaa, the opposition legislators called for Ballali to resign to pave the way for proper investigation."

Tanzania Government Chooses to Recover Funds in Lieu of Prosecution

"In the last few weeks, the Tanzanian government has come under intense pressure from the public, activists and the media to explain why it was quietly recovering money that was misappropriated under the External Payment Arrears (EPA) account operated by Bank of Tanzania (BOT), the country’s central bank...

As of last week, according to a government pronouncement, nearly half of the money (Tsh 60 billion) had “mysteriously” found its way back into State coffers. The Attorney General and the Inspector General of Police have refused to disclose the names at this stage, pleading for patience because the investigation is still going on."

Mkono Denies Link to Patel

"The Citizen has reliably learnt that just few days after the EPA report was released, a total of Sh8 billion was transferred to Mr Patel's business partners through some local accounts. On Tuesday, lawyer politician Nimrod Mkono denied the allegations linking him to Mr Patel and the missing billions.

These are malicious allegations I have never been a friend of that man (Patel), so how did he transfer his money to my account? he asked. According to Mr Mkono, the MP for Musoma Rural, there had been not such transactions in his bank account. I am a very clean and credible lawyer who can't allow anybody to use my bank accounts for dubious transactions"

Benin Mwangi's Unofficial and Final Analysis

My final analysis is that this EPA scandal is deep, far reaching, and it is a much more complicated or complex scheme than I initially thought. In fact, I still do not fully understand what has happened, but do know that somehow $133 million ended up being transferred to erroneous entities and that no one in Tanzania has really been brought to justice, so to speak. As far as Mr. Mkono's involvement, I would say that 1) his involvement was through his corporation and thus not a personal involvement, but even so that is still a blemish on his record and 2) having such close proximity to the person that is reported to be the ring leader in the bank scandal raises a lot of eyebrows. And even though he denies having knowledge of Patel or of Patel laundering the stolen funds through any of Mkono's businesses businesses, it is a tough sale for him to make to the Tanzanian public. In retrospect, I think that for all of Hon. Mkono's business accomplishments he may continue to carry an asterisk behind his name.

My question is if the government has gotten INTERPOL involved in tracing the remainder of the stolen funds, then why are they only trying to recoup the funds instead of prosecuting? That is a little weird to me. What do you think about the whole thing?

It is weird to Tanzanians too. Hata wageni wanashangaa tunavyovutavuta miguu bila kuwashitaki wana EPA.
 
time to revisit this thread, now that the strung up cat is set free from within and pushing out the bag!!
 
Hoja zote zilizomwagwa ni za msingi.Hapohapo inatubidi tuanze maswali mengine.Sam kinadharia kuna misingi mitatu ya madaraka kama ulivyoeleza lakini hofu yangu ipo kwenye mahakama.Kama sijakosea hii ni idara ambayo iko chini ya wizara ya sheria na katiba. IS THERE ANY SEPARATION OF POWERS.Turudi kwa Nimrod Elisanete Mkono huyu jamaa kama utaanza kumfukua inabidi uanzie enzi zake akiwa mtumishi wa benki kuu mpaka hapo utakapomfikia utakuwa umevumbua mengi sana lakini kimsingi ni kutaka kujengana na sio kukashifiana na kuchafuana. Information is power ,knowledge is power thank you Sam.
 
Mkono sasa autaka mgodi wa Buhemba

na Kulwa Karedia
Tanzania Daima~Sauti ya Watu

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono, amesema ana uwezo wa kuendesha mgodi wa dhahabu wa Buhemba ulioko mkoani Mara kama serikali ikimruhusu kuumiliki.

Akizungumza na Tanzania Daima katika viwanja vya ofisi ndogo za Bunge, Dar es Salaam jana, Mkono alisema ana uwezo wa kutosha wa kuendesha mgodi huo, ambao serikali iliufunga mwaka juzi kwa madai kuwa madini yaliyokuwa yanachimbwa yamemalizika.Mkono alisema hakufurahishwa na kitendo cha kufungwa mgodi huo kutokana na ukweli ulio wazi kwamba hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alikataa mapema kuchimba dhahabu katika eneo hilo.

“Mimi nasema ni mzawa, naweza kuendesha mgodi huu, suala ni kujitosheleza, sasa nashangaa kuona leo hii tumeacha mashimo, ni jambo ambalo linapaswa kupatiwa ufumbuzi haraka,” alisema Mkono.

Alisema kuna dhana iliyojengeka kwamba watu weusi hawawezi kumiliki kazi ya uchimbaji wa dhahabu, kitendo alichosema hakina ukweli wowote.

Alisema matokeo mabaya ya kulalamikia mikataba mibovu, yamesababishwa na kiwango duni cha elimu walichonacho watalamu wa sekta hiyo, ambao wengi wao wamehitimu masomo ya sanaa (arts), huku akiitupia lawama serikali kwa kushindwa kusomesha wanafunzi wengi masomo ya sayansi.

“Tutaendelea kulalamika kila siku lakini tatizo litabaki palepale, kwa vile serikali haiweki misingi madhubuti ya kusomesha wataalamu wengi kwenye fani ya sayansi,” alisema.

Alisema serikali imekuwa ikitenga kiasi cha sh bilioni 130 kila mwaka kwa ajili ya masomo ya juu kwa wanafunzi, huku wengi wanahotimu masomo hayo huwa si wataalamu wa sayansi.

“Serikali imekuwa ikitenga kiasi kikubwa cha fedha kila mwaka… bilioni 130 si fedha kidogo, lakini wanafunzi tunaozalisha ni wale wa somo la sanaa tu,” alisema Mkono.

Alisema kama hatua za haraka hazitachukuliwa na serikali kuboresha mifumo ya masomo kwa wanafunzi katika shule za sekondari, ndoto y Tanzania kufikia mafanikio katika sekta ya madini itayeyuka.

Mkono alisema hali ya ufisadi ambao umeibuka kwa kasi nchini, umesababishwa na mfumo mbovu wa elimu waliyopata wataalamu wetu miaka ya nyuma.

“Ufisadi si pesa tu, nakwambia hata kwenye elimu kuna ufisadi mkubwa sana, kwani haya yanayotokea hivi sasa ni matokeo ya ufisadi kwenye elimu…kama tungekuwa na wataalamu makini waliohitimu masomo ya sayansi, ingekuwa vigumu katika sekta hii muhimu,” alisema Mkono.
 
Mwambie aende zake akalale huyo. Aturudishie pesa zetu kwanza halafu ndiyo akainvest!!
 
Ni wazo zuri kama mzawa ana uwezo wa kumiliki mgodi ni safi zaidi!mimi napenda sana wazawa wanavyoanza kumiliki uchumi wa nchi yao na hii italeta ajira kwa watanzania kama Huu mgodi ukianzwa ukiendeshwa!Hongera sana MKONO!
 
Huyu Mkono aache pumbazake na ajisafishe ktk kumi namoja bora ya ufisadi halafu ahe atoe hizo sera zake.
 
Mtanzania kajitokeza ana uwezo, mpeni huo mgodi. Nani kawaambia hao Barricks na wengine ndio wasafi?

Zimwi likujualo halikuli likakuisha.
 
Usafi ndio sera yetu, siwezi hatasikumoja kubariki wezi wa fedha za masikini. Ni vyema na haki mkono kumiliki au kuwekeza kwa fedha halali. Kwanza ajisafishe aliitwa fisadi hakwenda mahakamani kama alivyosema yeye ni mwizi na fisadi. Hatuwezi kubali kodi zetu ndizo ziwe mitaji ya wachache.

Nakataa tena nasema hapana mkono rudisha fedha zetu kwanza uende jela kama wezi wengine. ukitoka jela wekeza.
 
Back
Top Bottom