Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Jana nilikuwa na PC yangu mapambano apa Board Room, tukapiga bia tam kadhaa nikaona simuelewi elewi nikamwambia oya, sina mipango leo ningekufyatua chap chap.
Akasema ulijuajee, hatamimi nilikuwa nashindwa tu kusema. Nikamwambia ndio ivyo sina kitu akasema atazamini pambano ila leo lazima nimrudishie mpungawake, hahahaaa daah nacheka sana.
Nikamwambia poa tu. Tukapanda kigorofani hapa jirani na jina la mwanamziki mmoja dogo maarufu wa nigeria, " nimeficha jina kidogo" Kazi ikaendelea kama vita.
Mhmmmmmm, leo tumesalimiana fresh nimejifanya kama hakijatokea kitu,badae kidogo katuma msj kama 8 hivi anakumbushia mpunga wake mi nimekausha sjajibu kitu.
Naombeni ushauri wakuu nimtumie amaniendelee kukaushatu.
Akasema ulijuajee, hatamimi nilikuwa nashindwa tu kusema. Nikamwambia ndio ivyo sina kitu akasema atazamini pambano ila leo lazima nimrudishie mpungawake, hahahaaa daah nacheka sana.
Nikamwambia poa tu. Tukapanda kigorofani hapa jirani na jina la mwanamziki mmoja dogo maarufu wa nigeria, " nimeficha jina kidogo" Kazi ikaendelea kama vita.
Mhmmmmmm, leo tumesalimiana fresh nimejifanya kama hakijatokea kitu,badae kidogo katuma msj kama 8 hivi anakumbushia mpunga wake mi nimekausha sjajibu kitu.
Naombeni ushauri wakuu nimtumie amaniendelee kukaushatu.