Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Sio muuzaji mkuu ni mtu wangu kitambo sana, natumezoeana mbaka tumekuwa kama marafiki ila nashangaa.
Sijawahi kuingia mfukoni kwake miaka yote iyo juzi ndio mara ya kwanza lakini anadai kama vile maisha yameisha.
Hadi leo anakutafuta au..??
 
Unaonekana bahili Mkuu duuh, sema huyo dada nae angekausha asingekudai angeacha akupime uaminifu wako upoje utalipa au haulipi.
 
Huyo mwanamke hakufai, mkimbie!

Nilimpenda binti hadi kumuoa sababu tulipokuwa sehemu fulani alizoea ukiagiza round moja bar yeye anaagiza mbili. Mpaka leo ni mke wangu, akipata million atanigawia laki 5.

Huyo mwanamke angekuwa na akili angekuomba hela ya Sema kununua mboga kwake maana aliharibu budget jana kwa ajili ya starehe. Ukiona mwanamke anag’ang’ania hela na kurudishiana jua ni danga tu! Inashangaza humu pamoja na mahondaw wangu ati umrejeshee, ni aibu
huyo hafai kabisa ..kama mke mtarajiwa achana nae lkn kama demu tu..mpe hela yake
 
Nirudishe nini, ivinyie mnaona kaziyenu ni kumwaga mi genye tu hata mara 9 lakini swala la kugaramia nila wanaumetu.

Yes!, nijukumuletu katika mazingira yetu hasa hapa bongo, lakini mara moja tu kwa miaka nayo pia ukilipia mbaka ulipwe? Shame on you girls.
Shame on you boy kwa kukimbia deni la watu,
Ahadi ni deni, mlikubaliana kukopeshana ni muda sasa umewadia ulipe.
 
Hadi leo anakutafuta au..??
Yes, katuma msj 2 tu anaita My, namuambie niambie hasemi kitu.

Nadhani hasira zina mpungua taratibu soon atakaa sawa then ntamuita mahali tuyajenge.

Ila sitarudisha mshiko wake labda badae badae kwa njia nyingine, nataka tu ajue hakupaswa kudaidai kipumbavu.
 
Shame on you boy kwa kukimbia deni la watu,
Ahadi ni deni, mlikubaliana kukopeshana ni muda sasa umewadia ulipe.
Tulipokuwa bed kilammoja ali enjoy to the maximum why should i pay this!!.
 
Back
Top Bottom