Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
We ungemwambia mi sikulipi bana on the spot halafu angegoma kila mtu angechukua 50 zake! We ushajicommit utalipa so lipa tu mzee😅Hahahaaa sijakopa uchi mkuu, nimtuwangu miaka mingi sana na ilitokea bahati mbaya tu nilimaliza salio tena kwamatumizi yetu wawili sasa dakika za mwisho ndio tukaamua tuka jipopoe, kirafikitu nikamwambia misikopoa bana, akasema atalipia hotel alafu nimrudishie nikamwambia poa sasaleo ndio mamsj kibao anaulizia sijamjibu mbaka saizi. Sitarudisha nione atafanyaje sababu hana njaa niubahili wakishenzitu.