Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwakweli nimevurugwa shemelaShemelaaaa umechafukwaa na makasiriko kama yotee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli nimevurugwa shemelaShemelaaaa umechafukwaa na makasiriko kama yotee...
Mambo yao waachie wenyewe, yasikuumize kichwa...Hakuna kitu inakera kama hii....kmamaeeehhhh kama nyg zinaua ni bora kusubiri tu zikutoe roho.
Rudisha pesa ya watu, pesa ukope, uchi ukope mxyuuuu.
Angeenda kupiga puchu tuHakuna kitu inakera kama hii....kmamaeeehhhh kama nyg zinaua ni bora kusubiri tu zikutoe roho.
Rudisha pesa ya watu, pesa ukope, uchi ukope mxyuuuu.
Puchu haina raha wala utamu kama kitu yenyewe...Angeenda kupiga puchu tu
Nlikua natoa mwongozo shemelaMambo yao waachie wenyewe, yasikuumize kichwa...
Kwakweli 😂😂😂😂Angeenda kupiga puchu tu
Kama hana hela ya kumlipa aliyemkopa dawa ya deni ni kulipaPuchu haina raha wala utamu kama kitu yenyewe...
Eeenh bwana [emoji1787][emoji1787] asingetumia gharama yoyote zaidi ya sabuniKwakweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayanaga muongozo...Kama hana hela ya kumlipa aliyemkopa dawa ya deni ni kulipa
Mlipe af pia chini huyo demu..Mkuu, ivi mtuwako pamanent unamwambia ungekuwa na mipango unge mgegeda alafu anadakia anasema mimi nitalipia lakini urudishe na anauwezo wakati kipesa we unamjibu nini.
Alafu miakayote wewe ndio unafanya kilakitu kuanzia usafiri malazi mitungi clab namengine meeeeengi, kumbuka hapo yeye anapesazake lakini hatumii kwa namna yoyote kwa miaka, then just one day ok, one day tena kulipia loge tu, chakula mitungi usafiri kilakitu ume sot out mwenyewe.
Alafu asubui anakutumia msj eti nirudishie elayangu, tena anamaanisha kabisa unamuelewaje.
Hawa madem nitatizo wanafeli kwenye vitu vidogosana.
Yeeeees, huo ndio ukweli wenyewe kama uko hivyo then your in right truck, keep it up.Unafikiri roho ya ubinafsi inanitawala km huyo mtu wako? Kwa asili tuko wabinafsi ila tunazidiana jinsi ya kuuficha, siwezi kuumia kwa kutoa laki moja kwa mtu wakati mtu huyo huyo amewekeza zaidi ya milioni kwangu
Nilimwambia subiri akakausha mbaka usiku ndio anajibu SAWA'. Namimi sijatuma msj nyingine yoyote kwake tunaangaliana tu on line, hahahaaaMlipe af pia chini huyo demu..
Demu linaroho mbaya kama nyoka..ulivyomwambia huna utaampa baada ya yeye kuanza kudai ilibidi hata akujibu sawa baby wangu,eti mwenyewe kazira..pumbaf..
Mlipe af pia chini..easy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine wana michezo ya kupeana pesa, some time mwanamme anamlipia karibu ℅ 80 ya huo mchezowao siku akipokea milion yake mjaribu kumuambia ebu nipe laki moja ninunue mahitaji ya home utasikia majibuyake.Wanawake ni wabinafsi Sana. Wachache mnoo wasio wabinafsi. Mwanamke unampa mtaji wa biashara, anaingiza pesa. Hata zawadi ya leso tu hakupi.
Nakausha mwanangu ila najua tukikaa sawa kuna siku atajaribu kupiga mzinga kwa njia nyingine ili ku cover gape lake haya majitu yana mbinu nyingisana bora yasinge kuwepo duniani hahahahaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmezoea kula za wenzenu
Bana wee kausha mwana
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Hujui kulinganisha mambo mkuu, ukinisoma vizuri utaona tofauti ya mimi na huyo jamaa.Huna tofauti na jamaa flani mhuni mhuni alipata bibi w kizungu akawa anapewa mpunga wa kuspend kila siku..
Ila akaona haitoshi akawa anamuuza kw uhamiaji kwmba permit yke imeisha..
Ubaya na uzuri wa askari wakishpewa hela wanakutaja.mama kila akiambiwa haamini km jamaa ake ndo anamuuza.
Huyo ndo mbongo bana.
Na nyie wapenda vitonga mfanyweje 😅?Kwanza hii tabia mbaya sana, yani hadi nmepata hasira..... wanaume wa hivi wauliwe 😂😂