Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Hiyo lodge si iliteketea yote kwa moto wiki iliyopita? Ishakarabatiwa?
 
Hapana mkuu sio dadaz nimtu wangu kitambo tu, minaona sio sawa angekausha tu maana hata mimi nagaramika sana kwenye mitoko yetu alafu nimfanya kazi taasisi nashindwa kumunelewa.
Mpe tu mkuu siku nyingine atashindwa kukuhifadhi. Ila siku nyingine mwambie huna kabisa Nina Imani atafadhili show mwenyewe bila kukopesha
 
Hiyo lodge si iliteketea yote kwa moto wiki iliyopita? Ishakarabatiwa?
Bado mkuu, ila upande wa pili huku bar maisha yanaendelea kama kawaida full live bend lainiiii jioni!.
Kama wemwenyeji kidogo hapa ukisoma uzi vizuri utajua naongelea chimbo gani around this area.
 
Bado mkuu, ila upande wa pili huku bar maisha yanaendelea kama kawaida full live bend lainiiii jioni!.
Kama wemwenyeji kidogo hapa ukisoma uzi vizuri utajua naongelea chimbo gani around this area.
Nilijua yote, upande wa pili hapo gorofani napajua
 
Mpe tu mkuu siku nyingine atashindwa kukuhifadhi. Ila siku nyingine mwambie huna kabisa Nina Imani atafadhili show mwenyewe bila kukopesha
Sijawahi kumuambia afadhili hata sikumoja nataka angalau sikunilipokuwa sina nayeye afadhili minaona kawaidatu nalabda haitatokea tena maana natambua wajibuwangu kama mwanaume.
 
Sijawahi kumuambia afadhili hata sikumoja nataka angalau sikunilipokuwa sina nayeye afadhili minaona kawaidatu nalabda haitatokea tena maana natambua wajibuwangu kama mwanaume.
Sikia hamna aliyekushikia kiuno Hulu...... Hawa mafeministi wa bongo njaa tu....wanataka usawa isipohusu fedha... Huyo manzi we ndo wa kumpangia
 
Mmmmh, iviwe unaweza kumnunulia zawadi boy friend/ mumewako kweli wewe!!!.

Mbona kawuzu sana wewe!!!!.
Naweza ila bajeti haizidi buku ten, kwa mchanganuo ufuatao...
Boxa 5000
Vest 2500
Socks 2000
😁😁😁
 
Mkuu kama ni Huyo tu ndo unategemea kwenye utelezi bhasi Mpe tu leo huna nyege ndo maana unajiona mjanja ila siku zikikukaba ndo utajua hujuii...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hiyo hela utatumia kununua UTI sugu
 
Huna hela, nguvu na nyege za kutiana unatoa wapi!? Umasikini huo.
Mkuu hujawahi kupata emergency ukaishiwa katika muda flani? Kama nihivyo basi vigumu kuelewa ninachoongea.

Then ukiwaunatekemea nguvu na nyege mbaka uwe na ela mfkoni basi utamenyeka sana.
Some time ukikwama kidogo dem anaweza kuwezesha mambo tu hasakama anamishe zake kama huyu anaenidai mm
 
Back
Top Bottom