Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Sio mtu wa vurugu sababu tumezoeana sana ila nimemshangaa kudai arudishiwe pesa yake ya malazi, nawaza labda atakasirika tu namwisho sijui atafanyanini.

Kwangu mimi nisha amua akiminde poatu.
Sio poa bhana lipa pesa ya watu ulisema kesho utampa

Alafu uwezi jua mtu budget zake ziko vipi mpaka anadai hivyo. Mkuu lipa pesa ya watu haijalishi ni mtu wako kwa miaka mingapi lipa pesa
 
Sio poa bhana lipa pesa ya watu ulisema kesho utampa

Alafu uwezi jua mtu budget zake ziko vipi mpaka anadai hivyo. Mkuu lipa pesa ya watu haijalishi ni mtu wako kwa miaka mingapi lipa pesa
Hapana mkuu wanawake ndio viumbe wanao penda vyabure sana kama uyuwangu yupo serious ngoja nayeye aonje maumivu tunayo pataga sisi wanaume asubuhi pombe zikituisha baada yakutumiapesa.

Unaweza ukazani umeibiwa ama chumaulete kumbe ulikua unazungusha round ya mitungi mezani.
 
Mkuu mlipe. Ungekuwa mganga au mchungaji au ben10 hapo sawa.

Rudisha halafu kausha.
 
Nop, nimtuwangu almost 6 years sasa hatulipani kwenye hiyo michezo labda kama kunasupport namwezeshaga ila mara chache sana sababu anajiweza. Ila wakatiwote hajawahi kulipia game wala malazi hata mara moja.
Kwa mara ya kwanza jana ndio kalipia malazi baada ya kumwambia sinakitu sasa leo ndio anijazia saver kwa mameseji ya kuulizia mshikowake tulio tumia.
Lipa hela yake
 
Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu
Tuchape Kazi
By Mzilankende
 
Khaaa we kaka... nampa Pole huyo dada kwa kudate mwanaume kama wew
 
Kumbuka ninae miaka 6 now hajawahi kuchangia chochote popote.
Mkuu unafeli wapi? Ungemuuliza siku hiyo hiyo kwamba akidhamini yeye pambano kwa siku hiyo kuna tatizo gani.

Umemuahidi utamrudishia inabidi ufanye hivyo. Wewe sasa umekua mswahili.
 
Khaaa we kaka... nampa Pole huyo dada kwa kudate mwanaume kama wew
Why.

Ivi kwanini wanawake mnajifanya hamna jukumu la kutatua kimkwamo hata kidogotu. Tena mara mojatu, wakati mtu amesha kusupport kwenye mambo mengitu for years.
Wewe ukichangia sikumoja tu inakuwa ningwa, alafu bado mnataka usawa, sijui mnatakaga usawa kwenye vitu gani hasa.
 
Pay back . Mimi pisi yangu niliidrop home Kwao late na sis wake akanipa hela ya Uber she claimed Mimi ni Uber . Kesho morning akanitext 😂😂 anataka mkwanja wake nikamtumia . Utavunja relationship na heshima kisa pesa ndogo .
Mkuu, sitarudisha nataka kuweka hii kama kipimo nione atareact vipi.
Some time inabidi kuwapima hawawatu sio kwamba nashindwa kumlipa elayenyewe haifiki hata laki ilanataka nimuone atafanyaje.
 
Ningekua mimi ndio huyo mwamba, jana hiyo ndio ilikua siku ya kukuacha
Sijakuelewa hapo, ungekuwa mwamba, ama huyo mwanamke, kama unamaanisha ungekuwa huyo mwanamke uniache kivipi,sababu ya kugaramia malazi maramoja tu?????.

Wanawake sijui kwanini hamtakagi kugaramia starehe, yani mnajifanyaga kama swala la mgegedo sisi ndio tunashida sana lakini mkifika chumbani mna landuka viuno kama fenibovu na makelele ju kwa utamu.
 
Mkuu, sitarudisha nataka kuweka hii kama kipimo nione atareact vipi.
Some time inabidi kuwapima hawawatu sio kwamba nashindwa kumlipa elayenyewe haifiki hata laki ilanataka nimuone atafanyaje.
Your right , Kama upo serious with the girl vitu Kama hivyo ni bora kunpima mapema . I was serious with her na bado we were students back then .. so it was reasonable ila she gave me a lot of cash previously so sio mbaya . Mimi nakusupport kausha . Akileta nyingi tell her one day sio mbaya . Hawa bitches wa bongo they don’t know how to give . Wanajua kuchukua tu hata Akiwa billionaire . https://jamii.app/JFUserGuide them
 
Sijakuelewa hapo, ungekuwa mwamba, ama huyo mwanamke, kama unamaanisha ungekuwa huyo mwanamke uniache kivipi,sababu ya kugaramia malazi maramoja tu?????.

Wanawake sijui kwanini hamtakagi kugaramia starehe, yani mnajifanyaga kama swala la mgegedo sisi ndio tunashida sana lakini mkifika chumbani mna landuka viuno kama fenibovu na makelele ju kwa utamu.
Ulichokifanya kinakata stim aseee
 
Your right , Kama upo serious with the girl vitu Kama hivyo ni bora kunpima mapema . I was serious with her na bado we were students back then .. so it was reasonable ila she gave me a lot of cash previously so sio mbaya . Mimi nakusupport kausha . Akileta nyingi tell her one day sio mbaya . Hawa bitches wa bongo they don’t know how to give . Wanajua kuchukua tu hata Akiwa billionaire . JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala them
Absolutely tight, mtu anafanya kazi na kipatochake ni cha kati alafu ku provide
Your right , Kama upo serious with the girl vitu Kama hivyo ni bora kunpima mapema . I was serious with her na bado we were students back then .. so it was reasonable ila she gave me a lot of cash previously so sio mbaya . Mimi nakusupport kausha . Akileta nyingi tell her one day sio mbaya . Hawa bitches wa bongo they don’t know how to give . Wanajua kuchukua tu hata Akiwa billionaire . JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala them
Absolutely right, yani miaka yooote hajawahi kuchangia hata sodatu, then just one day accommodation she wants her money back.
Nimemuambia sinakitu asubiri tu nikipata nitampa hajajibu na minakaa kimya.
 
Back
Top Bottom