Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

Mkuu hujawahi kupata emergency ukaishiwa katika muda flani? Kama nihivyo basi vigumu kuelewa ninachoongea.

Then ukiwaunatekemea nguvu na nyege mbaka uwe na ela mfkoni basi utamenyeka sana.
Some time ukikwama kidogo dem anaweza kuwezesha mambo tu hasakama anamishe zake kama huyu anaenidai mm

Maana yangu ni kwamba kama hauna hela mfukoni unapataje ujasiri wa kukubali mkatiane halafu umlipe hela mnayotumia huko lodge?

Unavunga tuu, jaribu ku control hisia zako na hali unayokuwa nayo around. La sivyo ndio hapa lawama hizi. Hapo inabidi tuu umlipe kwa kuwa nyege zilikufanya ukubali utalipa, nyege zimekutoka sasa unataka usimlipe, kuwa muungwana acha maelezo mengi.....umeyataka mwenyewe
 
Nalielewa dhumuni lako mkuu ila approach yako ndio mbovu. kama unataka mwanamke akutoe out siku mojamoja jaribu tu kumwambia kwa utani "baby hujawahi hata siku moja kuntoa out" uone atasemaje.

Ila kumdhulumu hela uliyoahidi kumlipa ni kutaka kuonekana mswahili tu na kutafuta kudharauliwa.

Mlipe hela yake then siku nyingine ukiwa unapiga nae story utatoa povu lako la kutokugharamikiwa na mwanamke kwenye mtoko.

Halafu dem anaonekana yuko peace sana ila unataka kuharibu ukaribu wenu kwa huo utoto unaotaka kufanya.

DON'T BE STUPID, BE A MAN.
 
Mkuu kama ni Huyo tu ndo unategemea kwenye utelezi bhasi Mpe tu leo huna nyege ndo maana unajiona mjanja ila siku zikikukaba ndo utajua hujuii...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hiyo hela utatumia kununua UTI sugu
Hahahahaaa genye haziuwi mkuu ngoja nimuonyeshe kwamba hatayeye anaweza kutoapesayake kwaajili ya starehe zetu sio lazima mimituuuuuu mbaka mwisho.
 
Sio mtu wa vurugu sababu tumezoeana sana ila nimemshangaa kudai arudishiwe pesa yake ya malazi, nawaza labda atakasirika tu namwisho sijui atafanyanini.

Kwangu mimi nisha amua akiminde poatu.
We jamaa unajuaje Kama bajeti yake imepinda je?
Kuwa mstaarabu unaweza kutwa na issue anayoweza kuisovu na akakupotezea ukaja kutuletea Uzi wa kuomba ushauri hapa.
 
Usimpe! Ila mwambie usiwe kumlipa kwani starehe mmepata wote. Mzoeshe nae awe analipia
Mkuu nakuelewa sana na ndio dhumunilangu pia. Kama ananipenda naamini haitakua ishu nandio mana nakausha nione yupo serious kiasigani kudai mshikowake.
 
Hapana mkuu wanawake ndio viumbe wanao penda vyabure sana kama uyuwangu yupo serious ngoja nayeye aonje maumivu tunayo pataga sisi wanaume asubuhi pombe zikituisha baada yakutumiapesa.

Unaweza ukazani umeibiwa ama chumaulete kumbe ulikua unazungusha round ya mitungi mezani.
Ngoja aonje machungu kidogo.
Mkuu unapozungusha bia salio auhesabu ila kesho asubuhi ukiamka ndio unasikilizia machungu.
 
Ukiona anakudai ujue performance ilikuwa zero.

Yaani mkuu ganda la ndizi afu bado ulienda ukawafelisha wanaume wenzio katika kuwawakilisha?

Unge perform vizuri aisee leo angekutoa hata lunch akakuongeza zingine.
 
Ngoja aonje machungu kidogo.
Mkuu unapozungusha bia salio auhesabu ila kesho asubuhi ukiamka ndio unasikilizia machungu.
Hahahaa yaah, hatayeye nadhani baada ya kufurahiya mgegedo sasa anawaza elayake hahahahaa.
 
Hahahaaa sijakopa uchi mkuu, nimtuwangu miaka mingi sana na ilitokea bahati mbaya tu nilimaliza salio tena kwamatumizi yetu wawili sasa dakika za mwisho ndio tukaamua tuka jipopoe, kirafikitu nikamwambia misikopoa bana, akasema atalipia hotel alafu nimrudishie nikamwambia poa sasaleo ndio mamsj kibao anaulizia sijamjibu mbaka saizi. Sitarudisha nione atafanyaje sababu hana njaa niubahili wakishenzitu.
Kwa aibu uliyotia rudisha tu hela afu uunyuti.

🤣🤣🤣

Unavyojifanya mbabe unatia aibu.

Au ulilewa sana mkuu ukamtambia kumpa vitu afu ukaishia kuwa hopeless?
 
Pay back . Mimi pisi yangu niliidrop home Kwao late na sis wake akanipa hela ya Uber she claimed Mimi ni Uber . Kesho morning akanitext [emoji23][emoji23] anataka mkwanja wake nikamtumia . Utavunja relationship na heshima kisa pesa ndogo .
[emoji28] Vyema sana .
 
Jitahidi uongee nae urefund hata nusu ya gharama, Ila kama hauna pia ongea nae imani inanituma atakuelewa miaka 6 si haba kijana
 

ukiona anakudai ujue performance ilikuwa zero.

yaani mkuu ganda la ndizi afu bado ulienda ukawafelisha wanaume wenzio katika kuwawakilisha?

mxxxieu unge perform vizuri aisee leo angekutoa hata lunch akakuongeza zingine.
Hahahaaa angekuwa mpya ningezani labda sija mfyatua katika ubora wangu lakini ananijua vizuri miaka 6 before, nandio maana akaamua ku accommodate, she knows what she's getting.
 
kwa aibu uliyotia rudisha tu hela afu uunyuti.

🤣🤣🤣

unavyojifanya mbabe unatia aibu.

au ulilewa sana mkuu ukamtambia kumpa vitu afu ukaishia kuwa hopeless?
Hahahahaa mkuu hebu soma hilojina hapo kwenye avatar yangu alafu omba tafsiriyake ndio utajua nikabilagani wanatumia hiyo lugha alafu ujecomment tena hapa.
 
Jitahidi uongee nae urefund hata nusu ya gharama, Ila kama hauna pia ongea nae imani inanituma atakuelewa miaka 6 si haba kijana
Yes, nimesha muambia tangu sa 11 jioni kwamba sina asubiri tu hajajibu mbaka saizi.
 
nalielewa dhumuni lako mkuu ila approach yako ndio mbovu. kama unataka mwanamke akutoe out siku mojamoja jaribu tu kumwambia kwa utani "baby hujawahi hata siku moja kuntoa out" uone atasemaje.

ila kumdhulumu hela uliyoahidi kumlipa ni kutaka kuonekana mswahili tu na kutafuta kudharauliwa.

mlipe hela yake then siku nyingine ukiwa unapiga nae story utatoa povu lako la kutokugharamikiwa na mwanamke kwenye mtoko.

Halafu dem anaonekana yuko peace sana ila unataka kuharibu ukaribu wenu kwa huo utoto unaotaka kufanya.

DON'T BE STUPID, BE A MAN.
Don' be stupid, be a man,
YES!. i am a man enough.

Tuache kuwaendekeza wanawake some time wana makusudisana sio ishu kama hiiyangu tu namengine mengi wanaskilizia pesazao sana haijalishi anakipato ama hana they just ndo'nt want to spend they're income.
 
Back
Top Bottom