We ungemwambia mi sikulipi bana on the spot halafu angegoma kila mtu angechukua 50 zake! We ushajicommit utalipa so lipa tu mzeeπHahahaaa sijakopa uchi mkuu, nimtuwangu miaka mingi sana na ilitokea bahati mbaya tu nilimaliza salio tena kwamatumizi yetu wawili sasa dakika za mwisho ndio tukaamua tuka jipopoe, kirafikitu nikamwambia misikopoa bana, akasema atalipia hotel alafu nimrudishie nikamwambia poa sasaleo ndio mamsj kibao anaulizia sijamjibu mbaka saizi. Sitarudisha nione atafanyaje sababu hana njaa niubahili wakishenzitu.
Unaonekana umeachwa sana mremboπ shukuru mungu ulikutana na Mgodi mapema maana hadi sasa ungekuwa na Yutong 3Ningekua mimi ndio huyo mwamba, jana hiyo ndio ilikua siku ya kukuacha
Yeah iko hivyo mtu wanguYeeeees, huo ndio ukweli wenyewe kama uko hivyo then your in right truck, keep it up.
Ukiwa kama hivyo pia kunauwezekano mkubwa wa kupata mshiko mwingi zaida, mkono unao toa ndio unaopokea zaidi.
Hiyo ya kwako mlikubaliana kuwa atarudisha? Ulipaswa umwambie haitarudi kama tunaenjoy tuenjoy kama haiwezekani sawa.Hapana mkuu sio dadaz nimtu wangu kitambo tu, minaona sio sawa angekausha tu maana hata mimi nagaramika sana kwenye mitoko yetu alafu nimfanya kazi taasisi nashindwa kumunelewa.
Nimeachwa hadi nahisi mimi ndio nimechaguliwa wa mfano kwenye haya mapenzi πππUnaonekana umeachwa sana mremboπ shukuru mungu ulikutana na Mgodi mapema maana hadi sasa ungekuwa na Yutong 3
Sio muuzaji mkuu ni mtu wangu kitambo sana, natumezoeana mbaka tumekuwa kama marafiki ila nashangaa.Nature ya wanawake wetu hiyo mkuu, wewe zoea tu ni kawaida kwao kufanya hivyo. Ungekuwa umedate na mataifa mbalimbali ungeiona tofauti kubwa tu, wa kwetu wapo katika kupokea tu, siku akikupa anahisi kupoteza sana.
Ulipokosea ni kukubaliana malipo, wtf umlipe girlfriend wakati mnaenjoy pamoja, au ulimnunua kwa night moja? Angesema twende then kesho rudisha hela yangu ningemwambia tuahirishe, then sidhani kama tungetafutana coz hana tofauti na muuzaji.
Hahahah ila riziki ya mbwa iko miguuni kwake π Mungu sio Rashidi banaNimeachwa hadi nahisi mimi ndio nimechaguliwa wa mfano kwenye haya mapenzi πππ
Nshatoboka nikitoboka tena natoboka mara ya pili ujueππNa nyie wapenda vitonga mfanyweje π ?
Mapenzi wote mnainjoy ila kila siku unataka wewe ubebwe tu! Siku moja moja na wewe utoboke mzee...
Hata ikiwa mara 10 sio hatari, kumbuka unaemringia anaweza kukulisha kwa miaka 60 bila kelele!Nshatoboka nikitoboka tena natoboka mara ya pili ujueππ
Huruma???? Nmekuzaa πHata ikiwa mara 10 sio hatari, kumbuka unaemringia anaweza kukulisha kwa miaka 60 bila kelele!
Tuwe na mioyo ya shukurani na huruma!
Taratibu basi!Hakuna kitu inakera kama hii....kmamaeeehhhh kama nyg zinaua ni bora kusubiri tu zikutoe roho.
Rudisha pesa ya watu, pesa ukope, uchi ukope mxyuuuu.
Kmmmk walai π hebu nione ofisini kwangu!Huruma???? Nmekuzaa π
Ni mkeo mtarajiwa?Sio muuzaji mkuu ni mtu wangu kitambo sana, natumezoeana mbaka tumekuwa kama marafiki ila nashangaa.
Sijawahi kuingia mfukoni kwake miaka yote iyo juzi ndio mara ya kwanza lakini anadai kama vile maisha yameisha.
Pesa ya watu ushalipa au unatujazia essay tu humu,Hapana sijawaza kuoa bado mkuu.
Mchango ukipita nitachangia elf 7Pesa ya watu ushalipa au unatujazia essay tu humu,
Kama huna sema uchangiwe ila dawa ya deni ni kulipa sio kukimbia yakheee.
Nirudishe nini, ivinyie mnaona kaziyenu ni kumwaga mi genye tu hata mara 9 lakini swala la kugaramia nila wanaumetu.Pesa ya watu ushalipa au unatujazia essay tu humu,
Kama huna sema uchangiwe ila dawa ya deni ni kulipa sio kukimbia yakheee.