mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
nia yako ni nzuri.
Ila ngoja Kwanzaa aumie zaidi atakukunbuka.
Ila ngoja Kwanzaa aumie zaidi atakukunbuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haikufai kabisa kama hupendi kujisomeaDah hivi mwalimu kwa hapa dar nitapata wapi maana naona uvivu kusoma
Heheheheh hio inaitwa Take risksKuna jamaa amechukua mkopo Benki wa miaka saba,kama mil 12 hivi.akaweka forex.Alikula kama wiki moja hivi,baada ya hapo wamekomba mamilioni yote.Mchizi kachanganyikiwa mnoo,maana take home yake kwa sasa ni 310k.
Hivi unaijua FOREX vizuri??? Inshort hiyo ni miradi ya watu uko Ulaya, Ingekuwa rahisi kila mtu angekimbilia huko.Acha kufuatilia hustling za watu, huenda yeye anaamin one day atatoboa kupitia forex
Tatizo wew unamkatisha tamaaa
Nawaza kumuacha lakini roho yaniuma asee, he Is like a brother to me. I real wanna help him.Amesha pata uraibu wa forex,maana Kama umemshauri hataki mwache apigwe atakuja ashtuke tu na maana wasemi hunena kuwa kupanga ni kuchagua.
Naona ameanza kunichukia sasa kwa ushauri ninao mpa. Nataka nimuoneshe huu UZI aone maoni ya watu Ili akili Imkae sawa.Mbao ya chuma
Hii biashara haina Disclaimer kwamba unaweza kufanikiwa ama kupoteza pesa zako?
Mwambie asome disclaimer na aielewe vizuri
Asee hujui tu hali Iliyopo ndo maana unasema hivoSiku zote wanaokatisha watu tamaa ni watu wetu wa Karibu .
Kweli kabisa. Ila namuhurumia sana. As time goes on nitamuacha nione mwisho wake.nia yako ni nzuri.
Ila ngoja Kwanzaa aumie zaidi atakukunbuka.
Ungekuwa na nia njema kweli ungeviweka hivyo vitabu hapa waziUsimkatishe tamaa.
Mimi nimeacha kazi nilikuwa meneja mauzo Vodacom kanda ya kaskazini nikaaacha kazi.
Nimejenga sasa nina usafiri nimeoa....
Ninaishi maisha yangu ninayotaka.
Huyo anakosea mahali anichek nimtumie vitabu 9 tu akimaliza kusoma atafaidi.
Tatizo letu hatutaki kusoma...tunapenda kutumia maarifa ya waliosoma huko kwenye magrup.
Ukiendelea kumshauri hata huo urafiki utaukosa,maana kwa Sasa yeyote anayempinga anaona Kama adui anayemkusudia mabaya kwake,Kama unaweza mshitaki kwa wazazi wake.Nawaza kumuacha lakini roho yaniuma asee, he Is like a brother to me. I real wanna help him.
Chai.Usimkatishe tamaa.
Mimi nimeacha kazi nilikuwa meneja mauzo Vodacom kanda ya kaskazini nikaaacha kazi.
Nimejenga sasa nina usafiri nimeoa....
Ninaishi maisha yangu ninayotaka.
Huyo anakosea mahali anichek nimtumie vitabu 9 tu akimaliza kusoma atafaidi.
Tatizo letu hatutaki kusoma...tunapenda kutumia maarifa ya waliosoma huko kwenye magrup.
Kwangu forex ndio inaniweka mjini..nimepaga Nyumba kwa sababu ya forex na ninaishi kwa sababu ya forex..huyo kuna kosa analofanya..na ni la kawaida nalo ni kwamba hana business plan ya daily au malengo..na hasa anawaza utajili wa haraka kupitia forex kitu ambacho sio ukweli...
Lakini huenda anategemea signals za kwenye magroup hayo anayolipia kitu ambacho ni kosa kubwa sana kwenye forex
Zaidi atafute mwalimu wa karibu Ili amfundishe hakika atafanikiwa
Overtrading inamtesa
Haikufai kabisa kama hupendi kujisomea
Hahahahah wewe hujui unachokifanyaForex ni wizi, ukisha deposit pesa yako, ukianza kutrade tu mapicha picha ya red yanaanza ukija kushtuka pesa imeshateketea kwenye account, hii ni kamari ya matajiri kwa walalahoi wa nchi masikini kama tanzania ni kujiongezea umasikini tu